Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 921
- 937
Hapana makao makuu ya Geita vijijini yapo Nzera
Ok kwahiyo ni makao makuu ya wilaya ya geita vijijini sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok kwahiyo ni makao makuu ya wilaya ya geita vijijini sio?
Ndo maana tumekwambia hicho ni Kijiji hakuna jipya hapo leta gorofa zenye floor kuanzia tano kwenda juu Hapo tutaona mji unafuture unaleta takataka hizi za nnKula chuma hicho kwanza 👇👇 KATORO View attachment 3112819View attachment 3112820
Haha njoo njombe ubaki mdomo wazi nilisha kwambia unajitejenya wwYaani njombe bado ni outdated town huwezi linganisha na modern town kwa uzuri
Njombe ni Kali kuzidi Kahama Wala Haina ubishi.Post humu tuione hiyo makambako isije kuwa ni sawa na ule ule uchafu wa njombe 😂😂
Ndo maana tumekwambia hicho ni Kijiji hakuna jipya hapo leta gorofa zenye floor kuanzia tano kwenda juu Hapo tutaona mji unafuture unaleta takataka hizi za nn
Njombe na kahama ni wale wale, yaani uharo mwingi siteteagi ujinga mimi huwa nanyoka na reality, weka makambako hapa nayo ipelekewe motoNjombe ni Kali kuzidi Kahama Wala Haina ubishi.
Kahama ni Halmashauri ya Mji,hiyo takataka unaita Katoro ndio nini?
Haha njoo njombe ubaki mdomo wazi nilisha kwambia unajitejenya ww
Njombe na kahama ni wale wale, yaani uharo mwingi siteteagi ujinga mimi huwa nanyoka na reality, weka makambako hapa nayo ipelekewe moto
Ndio nini hiki, mbona kama umeanza kupaniki 🤔Bei Facebook anmelden
Melde dich bei Facebook an, um dich mit deinen Freunden, deiner Familie und Personen, die du kennst, zu verbinden und Inhalte zu teilen.www.facebook.com
UNa hangaika na kuhamisha mada tumekwambia huo mkoa wako wote wa geita utuletee majengo yenye gorofa kuanzia tano kwenda juu yasiwe chini ya kumi umebaki unahangaika na picha za zamani hapaNije kufanya nini 😂 🤣 🤣 👇 hapa kuna uzuri gani zaidi ya kutu kila kona View attachment 3112858
UNa hangaika na kuhamisha mada tumekwambia huo mkoa wako wote wa geita utuletee majengo yenye gorofa kuanzia tano kwenda juu yasiwe chini ya kumi umebaki unahangaika na picha za zamani hapa
Haya sema kuna kipi cha maana hapa, na hii ndio stendi ya mkoa au 🤔🤔Njombe bus terminal
View attachment 3112909
MLeta hizo picha mpya za mji wa njombe tucheke, unaanza kuleta mambo ya mkoa hapa
Hili jengo ebu fanya kama unalifuta uone uozo unaobaki hapo njombe, 👇Njombe marketView attachment 3112912
Leta ya geita hapa kumbuka hii ipo njombe bado ya makambako ipo kwenye ujenziHaya sema kuna kipi cha maana hapa, na hii ndio stendi ya mkoa au 🤔🤔
Post hapo palipoungana tuone unaleta maneno ya nini weka full imageAcha ujinga kwa taarifa yako mji wa njombe na makambako imesha ungana ni sawa na nyamaga na ilemela mwanza
M
P
Post hapo palipoungana tuone unaleta maneno ya nini weka full image