Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

MKUU WA MKOA NJOMBE 👇👇👇👇👇Nilipata Pia nafasi ya kuonana na Marafiki zetu viongozi wa Shirikisho la Riadha China -Tumezungumza mengi ya kushirikiana kwenye eneo la kimichezo na wana Njombe,kwingineko tumeyazungumza na ya uwekezaji na biashara za pamoja-China ni moja ya wadau wa parachichi zetu,miradi ya chuma Maganga Matitu,uongezaji wa thamani kwenye zao letu la miti.Yapo mengi katika Mageuzi ya Uchumi wa China nimejionea na nimejifunza na kujifundisha.
 
Mbamba Bay Port,Lake Nyasa.
Screenshot_20240926-083929.jpg
Screenshot_20240926-084008.jpg
Screenshot_20240926-083951.jpg

View: https://youtu.be/bxsmxclzr9U?si=-T3jzJtYULhOByFu
 
Tunavosema mkoa wa njombe unamipango mikubwa tunamaanisha hichi chuo kina campus mbili ndani ya mkoa Kuna lunyanywi njombe na ilembula ngazi ya afya mkoa wa njombe una stimulate sub town zote kwa kujenga miundombinu muhimu kwa kushirikian na makanisa miaka si mingi mkoa wa njombe utakuwa na Jiji kubwa Sana nyanda za juu kUsini kutokana na kuziunganisha sub town zote kwa lami na uzuri tayar zimeungana pia miradi inayooenda kuchochea zaidi ni viwanda vya chuma , uwanja wa Kanda wa ndege ,bandari kavu, ujenzi wa vyuo vikuu, na ujenzi wa soko la Kanda hakika njombe inakwenda kuwa kitovu Cha uchumi nyanda za juu kUsini kama ilivyo dodoma Kanda ya kati swala ilikuwa ni Muda tu njombe eneo lake limeungana Sana kimakazi
View: https://www.instagram.com/p/DAd4R65NU_b/?utm_source=ig_web_copy_link
 
ENEO AMBALO LINAJADILIWA KUWEKWA ALAMA YA MKOA WA NJOMBE mkoa wa njombe asilimia 70 wameanza kufanikiwa kuwa na mji mkubwa nyanda za juu kUsini baada ya makazi kuungana njombe na makambako na visubtown vya ilembula na igwachanya na watafanikiwa zaidi zikimalizika project za viwanda vya chuma,ujenzi wa vyuo,ujenzi wa soko la Kanda ,uwanja wa ndege wa kanda, bandari kavu nk
WhatsApp Image 2024-07-29 at 13.31.30 (1)(0).jpeg
hq720(0).jpg
WhatsApp Image 2024-07-29 at 13.31.30 (1)(0).jpg
WhatsApp Image 2024-07-29 at 13.31.30 (1)(0)~2.jpg
WhatsApp Image 2024-03-20 at 6.43.09 PM.jpeg
WhatsApp Image 2024-03-20 at 6.43.09 PM (1).jpeg
100_9535.JPG
maxresdefault(0).jpg
 
Mji usiojulikana lakini una balaa lake 👇👇KATORO
Hiyo miji ya njombe etc ina paswa ijifunze hapa 💥💥 with a population of around 70,000 people
1727157280400.jpg
1726865044658.jpg
1726865184735.jpg
1726865104710.jpg
1727089569260.jpg
 
Ukitoa hilo jengo la soko njombe imeisha ,nothing attractive pamechakaa fully rusty houses
ENEO AMBALO LINAJADILIWA KUWEKWA ALAMA YA MKOA WA NJOMBE mkoa wa njombe asilimia 70 wameanza kufanikiwa kuwa na mji mkubwa nyanda za juu kUsini baada ya makazi kuungana njombe na makambako na visubtown vya ilembula na igwachanya na watafanikiwa zaidi zikimalizika project za viwanda vya chuma,ujenzi wa vyuo,ujenzi wa soko la Kanda ,uwanja wa ndege wa kanda, bandari kavu nk
View attachment 3111768View attachment 3111769View attachment 3111772View attachment 3112124View attachment 3112125View attachment 3112126View attachment 3112127View attachment 3112130
 
Ukitoa hilo jengo la soko njombe imeisha ,nothing attractive pamechakaa fully rusty houses
Asee Bora ungekaa kimya umetuletea picha za Kijiji Cha katoro Bado unakuja kuiongelea njombe kama huijui Kaa kimya maana majengo yaliyopo mkoa wa njombe geita haifiki hata nusu
Ukitoa hilo jengo la soko njombe imeisha ,nothing attractive pamechakaa fully rusty house

1727770390160.jpg
1727770491270.jpg
1708603121710.jpg
1709302308778.jpg
FB_IMG_16777220132761310.jpg
 
Asee Bora ungekaa kimya umetuletea picha za Kijiji Cha katoro Bado unakuja kuiongelea njombe kama huijui Kaa kimya maana majengo yaliyopo mkoa wa njombe geita haifiki hata nusu


View attachment 3112378View attachment 3112379View attachment 3112380View attachment 3112381View attachment 3112382
Umeanza kupost jengo moja moja ili ufiche uchafu wa njombe sio 🤔😂😂. Post the whole town, yaani huu nao ni mji wa kusifia kweli hivi 👇👇🤣
hq720(0).jpg
WhatsApp Image 2024-03-20 at 6.43.09 PM.jpeg
 
Asee Bora ungekaa kimya umetuletea picha za Kijiji Cha katoro Bado unakuja kuiongelea njombe kama huijui Kaa kimya maana majengo yaliyopo mkoa wa njombe geita haifiki hata nusu


View attachment 3112378View attachment 3112379View attachment 3112380View attachment 3112381View attachment 3112382
Usiingize Geita huiwezi ,dili na KATORO just a small town lakini kwa uzuri huwezi leta miji michafu michafu kulinganisha, baada ya miaka mitano mbele katoro patakuwa na majengo makubwa sababu ni fastest growing town 👇
1727792106979.jpg
1727792223257.jpg
1727792085771.jpg
1727792039702.jpg
 
Usiingize Geita huiwezi ,dili na KATORO just a small town lakini kwa uzuri huwezi leta miji michafu michafu kulinganisha, baada ya miaka mitano mbele katoro patakuwa na majengo makubwa sababu ni fastest growing town 👇View attachment 3112479View attachment 3112467View attachment 3112470View attachment 3112472
ACha umbumbu na ww tunakwambia hivi mkoa WA geita kimajengo madhari ya mji kwa mkoa WA NJOMBE haikamati hata kidogo hata marehemu magafuli ni wageita mwaka 2019 alikili Hilo na kubaki anashangaa kuona jinsi makambako na NJOMBE zilivo ungana na makazi ya kisasa yalivo shamili ko ACha kuchunga ngombe nenda mkoa WA NJOMBE kajifunze miji inakuaje sio kutuletea vijiji VYA katoro hapa geita kwa njombe bado Sana
1727829438623.jpg
1727829880048.jpg
01.JPG
1727829929520.jpg
1727829804718.jpg
1727829891749.jpg
1727829956190.jpg
1727829761683.jpg
1727829678790.jpg
 
Usiingize Geita huiwezi ,dili na KATORO just a small town lakini kwa uzuri huwezi leta miji michafu michafu kulinganisha, baada ya miaka mitano mbele katoro patakuwa na majengo makubwa sababu ni fastest growing town 👇View attachment 3112479View attachment 3112467View attachment 3112470View attachment 3112472
Yan unatuletea picha za ofisi za visima vya mafuta FUTA aibu HiYo Mzee njombe Ina visima vyenye ofisi kama hizo si chini ya kumi toa uchafu huo
mexons5.jpeg
WhatsApp-Image-2021-03-29-at-16.03.50.jpeg
1705652283529.jpg
 
Usiingize Geita huiwezi ,dili na KATORO just a small town lakini kwa uzuri huwezi leta miji michafu michafu kulinganisha, baada ya miaka mitano mbele katoro patakuwa na majengo makubwa sababu ni fastest growing town 👇View attachment 3112479View attachment 3112467View attachment 3112470View attachment 3112472
Tunavo kwambia geita kwa majengo kwa njombe bado ipo nyuma naona huelewi wenzio shinyanga walisha kimbia Uzi huu mkoa wa njombe umesha iacha mikoa mingi Sana kimiundombinu upo Kasi Sana haya Sasa tupe majengo hapo geita gorofa kumi zenye floor kuanzia tano kwenda juu njombe now zipo zaidi ya kumi baadhi ni hizi
1727833019031.jpg
1727833049329.jpg
01.JPG
1727770390160.jpg
1727770491270.jpg
FB_IMG_16706445158644048.jpg
1727833772323.jpg
 
Back
Top Bottom