Mbona unapost jengo moja 🤣🤣 weka aerial view, mbona unapenda kuficha ficha
Duh panaonekana vizuri kushinda wilaya nyingiHapana makao makuu ya Geita vijijini yapo Nzera
Sasa mbona unarudia zile zile unabadilisha angle tu😂😂😂😂😂Leta na wewe ya moja moja tuone sio unajibalaguza hapa na kutuletea gorofa moja mbili tatu hizo njombe ni nyumba za kuishi na ofisi za visima vya mafuta leta hotel Kali kama hizi
View attachment 3112952View attachment 3112955View attachment 3112957View attachment 3112958
Pana hadhi ya kuwa wilaya pamezungukwa na migodi ya dhahabu lakini pia , changamoto ni geographical location inawawia vigumu kutengeneza wilaya mpyaDuh panaonekana vizuri kushinda wilaya nyingi
Tumekupa uwanja leta gorofa za huko umeshindwa Koo Kaa kimyaHa
Sasa mbona unarudia zile zile unabadilisha angle tu😂😂😂😂😂
Kwenye ukweli nitapongeza lakini siwezi kusifia na kutetea sehemu mbovu mimi, weka aerial view ya makambako kama huwezi nitakusaidia nikiipataMajengo ya utawala eneo hili na hospitali ya rufaa View attachment 3113059View attachment 3113060View attachment 3113062View attachment 3113064View attachment 3113110View attachment 3113111
Tumekupa uwanja leta gorofa za huko umeshindwa Koo Kaa kimyaHa
Kwenye ukweli nitapongeza lakini siwezi kusifia na kutetea sehemu mbovu mimi, weka aerial view ya makambako kama huwezi nitakusaidia nikiipataKwenye ukweli nitapongeza lakini siwezi kusifia na kutetea sehemu mbovu mimi, weka aerial view ya makambako kama huwezi nitakusaidia nikiipata
Sasa mbona unarudia zile zile unabadilisha angle tu😂😂😂😂😂
Kwenye ukweli nitapongeza lakini siwezi kusifia na kutetea sehemu mbovu mimi, weka aerial view ya makambako kama huwezi nitakusaidia nikiipata
Kwenye ukweli nitapongeza lakini siwezi kusifia na kutetea sehemu mbovu mimi, weka aerial view ya makambako kama huwezi nitakusaidia nikiipata
"MJI WA MAKAMBAKO ( watu,makabila,utamaduni,maendeleo na uchumi ) - YouTube"
View: https://m.youtube.com/watch?v=VPdYvCq-r4g&pp=ygUJTWFrYW1iYWtv#bottom-sheet%5B/UR
Hii makambako kwa katoro haitoboi, inapelea pakubwa
KAENdelee kulala makambako haiwez kushindana na vijiji vyako hivyoHii makambako kwa katoro haitoboi, inapelea pakubwa
EHii makambako kwa katoro haitoboi, inapelea pakubwa
Hebu leta vitu kama hv hapo bush kwako hivi baadhi makambako hiyoHii makambako kwa katoro haitoboi, inapelea pakubwa
Tutolee vijiji vyako humu huu Uzi si wa vijiji
Angalia vizuriKAENdelee kulala makambako haiwez kushindana na vijiji vyako hivyo
EView attachment 3113411View attachment 3113412View attachment 3113413View attachment 3113414View attachment 3113415View attachment 3113416View attachment 3113417
Acha kupaniki,Tutolee vijiji vyako humu huu Uzi si wa vijiji
Tembea uone dunia ilivyo pana siyo unajifungia Njombe huko na kuona kama uko ulaya, naona umeanza kupost vitongoji sasa. Geita ina miji mingi midogo midogo lakini iko moto sana sababu ya kuwa na migodi ya dhahabu. Kwa mfano ukiachana na katoro, kuna Lwamgasa na Nyarugusu ambako watu wamefanya kufuru kwenye sector ya ujenzi wa makazi bora ,ingia hata google earth ujionee sio unajifungia na kuanza kusifia vitu vya ajabuKatoro level zake ni ilembula View attachment 3113195View attachment 3113198