ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #19,221
Njombe na Utalii wa Mashamba kama Ulaya mwanangu ππTembea uone dunia ilivyo pana siyo unajifungia Njombe huko na kuona kama uko ulaya, naona umeanza kupost vitongoji sasa. Geita ina miji mingi midogo midogo lakini iko moto sana sababu ya kuwa na migodi ya dhahabu. Kwa mfano ukiachana na katoro, kuna Lwamgasa na Nyarugusu ambako watu wamefanya kufuru kwenye sector ya ujenzi wa makazi bora ,ingia hata google earth ujionee sio unajifungia na kuanza kusifia vitu vya ajabu
Data za nini Sasa kwenye vitu vinavyoelewekaWeka data, mbona unaanza kutokwa na maneno tu π€
Nimegundua we jamaa bado Sana hata Serikali za mitaa hujui katoro Bado ni Kijiji kwanza tambua Hilo pili makambako ilishatoka huko toka 2012 now inaenda kwenye hadhi ya manispaa ndo maana hata ukifika makambako miundombinu tu utajua ni nini tunachoonge acha kukaa kwenye vijiji vya migodi na ukaanza kutuchanganyia mada hapaUnajipa matumaini eeπππ kwa wilaya za hovyo hovyo haziwezi gusa kwa katoro π makambako na viunga vyake hivi apo π yaani hii linganisha na ushirombo View attachment 3113747kwenye hizo kata za makambako town council zipi hazipo mjini
Data za nini Sasa kwenye vitu vinavyoelewekaWeka data, mbona unaanza kutokwa na maneno tu π€
UNaijua kwel miji standard ww Sasa hapo miaka yote patabaki ni Kijiji zaidi zaidi kitazidi kuongezeka ukubwa mji mnarundikka majengo no Barabara Sasa ni mji huo au ni Kijiji
HAHahaaaa we jamaaa unachekesha kumbuka kahama ilipewa hadhi ya mji mwaka 2012 na baadae ndo kupewa manispaa katoro Bado ni Kijiji tambua hiloUnajua ilikuwaje kahama ikawa manispaa wakati ni wilaya, hicho ndicho kitatokea kwa katoro, kwa sasa bado ina status ya mji mdogo, na itakuwa manispaa hutaamini sababu inakua kwa kasi sana, angalia picha nilizopost 90% ni majengo mapya
Miji yako yote hiyo ni old fashioned, nyumba za hivyo paa zote zina kutu that's why miji haina mvuto wowote, hata kama imepangwa tatizo linarudi ni nini kimepangwa.UNaijua kwel miji standard ww Sasa hapo miaka yote patabaki ni Kijiji zaidi zaidi kitazidi kuongezeka ukubwa mji mnarundikka majengo no Barabara Sasa ni mji huo au ni Kijiji
Mpaka useme enjoy the view Katoro CBD πππ₯π₯Mji ni miundo mbinu makambako Ina km 30 za lami za mitaa hebu twambie hivyo vijiji vyako vina km ngapi nje na tanroad way
View attachment 3113835View attachment 3113838View attachment 3113839
Hapo hakuna juhudi za government ni watu wameweka pesa, eti mtu anasema watu wamejazana ni maskini πππ huo unyama wamefanya kwa kutumia makaratasi ama π€π€π π wake up guysMiji yako yote hiyo ni old fashioned, nyumba za hivyo paa zote zina kutu that's why miji haina mvuto wowote, hata kama imepangwa tatizo linarudi ni nini kimepangwa.
Mpaka useme enjoy the view Katoro CBD πππ₯π₯View attachment 3114130View attachment 3114131View attachment 3114132View attachment 3114133View attachment 3114134View attachment 3114135
HAHAha mji ni mpangilio Mzee mji ukiwa na mpangilio unaleta view nzuri na unakuwa smart kajifunze dodoma kwa nini wameupangilia ndo maana nilikwambia ww yanakuchanganya mapaa Sasa Kuna nn Cha ziada hapo huo ni uchafu tu kitabaki ni Kijiji. Miaka yote angalia majiji kama dodomaMiji yako yote hiyo ni old fashioned, nyumba za hivyo paa zote zina kutu that's why miji haina mvuto wowote, hata kama imepangwa tatizo linarudi ni nini kimepangwa.
Mpaka useme enjoy the view Katoro CBD πππ₯π₯View attachment 3114130View attachment 3114131View attachment 3114132View attachment 3114133View attachment 3114134View attachment 3114135
Si unaona kuna vitu vya maana kabisa hapo na mijengo ya adabu, au unaona kutu hapo Dom π€π sasa ebu leta njombe na makambako tuchekeHAHAha mji ni mpangilio Mzee mji ukiwa na mpangilio unaleta view nzuri na unakuwa smart kajifunze dodoma kwa nini wameupangilia ndo maana nilikwambia ww yanakuchanganya mapaa Sasa Kuna nn Cha ziada hapo huo ni uchafu tu kitabaki ni Kijiji. Miaka yote angalia majiji kama dodomaView attachment 3114368View attachment 3114372
Hapo cha maana naona round about tu vingine ni uharoMiji haijilundiki kama gulio lazima upangiliwe na muwe mnajifunza hata kwenye miji mingine hii inasaidia kutengeneza mji kuwa mkubwa zaidi lazima upangiliwe ndo maana watalaam wa mipango miji hutembelea miji mbalimbali kujifunza ko pesa lazima itumike na watu waelimishwe maana ya mji ni nini inatakiwa uwaje ko nyerere hakuwa mjinga kupima maeneo aliyo hisi itakuwa miji wakati wa ujenzi wa reli ya TAZARA matunda yake yanaonekana Sasa .sio kushindana kunyanyua mapaa unaona ndo mji angalia HiYo ππLusaka Zambia ππView attachment 3114373
makambako πππ
View attachment 3114374
Mpangilio wa miji TZ nzima ni tatizo, sizani kama mipango miji wanafanya kazi yao ipasavyo katika maeneo mengi, Ni dodoma pekee ndio itakuwa jiji lililopangwa vizuri hapa bongo, Dar, Arusha na Mwanza zina uharo mwingi tu hapo mbeya sijaitaja badoMiji haijilundiki kama gulio lazima upangiliwe na muwe mnajifunza hata kwenye miji mingine hii inasaidia kutengeneza mji kuwa mkubwa zaidi lazima upangiliwe ndo maana watalaam wa mipango miji hutembelea miji mbalimbali kujifunza ko pesa lazima itumike na watu waelimishwe maana ya mji ni nini inatakiwa uwaje ko nyerere hakuwa mjinga kupima maeneo aliyo hisi itakuwa miji wakati wa ujenzi wa reli ya TAZARA matunda yake yanaonekana Sasa .sio kushindana kunyanyua mapaa unaona ndo mji angalia HiYo ππLusaka Zambia ππView attachment 3114373
makambako πππ
View attachment 3114374
ni kweli miji mingi haijapangiliwa ila sio kwa ujenzi wa mlundikano wa aina hii hata Barabara za mitaa ni shida shida hapo ni elimuMiji yako yote hiyo ni old fashioned, nyumba za hivyo paa zote zina kutu that's why miji haina mvuto wowote, hata kama imepangwa tatizo linarudi ni nini kimepangwa. Mpaka useme enjoy the view Katoro CBD πππ₯π₯View attachment 3114130View attachment 3114131View attachment 3114132View attachment 3114133View attachment 3114134View attachment 3114135