Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 921
- 937
Barabara za mitaa zipo sema vumbi tu kama kawaida ya selikari kuwekwa lami hadi makelele na wanakusanya kodi za maana tu,ni kweli miji mingi haijapangiliwa ila sio kwa ujenzi wa mlundikano wa aina hii hata Barabara za mitaa ni shida shida hapo ni elimu
Barabara za mitaa zipo sema vumbi tu kama kawaida ya selikari kuwekwa lami hadi makelele na wanakusanya kodi za maana tu,
Lami Katoro iko sehemu ndogo, ukuaji ma mji ni mkubwa kuliko juhudi za miundo mbinu, lakini bado huwezi ukailinganisha Katoro na vitu vya ajabu kama makambakoView attachment 3114703
Ndo maana tulikwambia hapo bado ni Kijiji geita tc ndo inaweza ikaongea mji ni miundombinu tu si mapaa
Picha ya pili ni Lusaka, uharo wa juu ndio Makambako πππ kuwa na round -about sio kigezo cha kuwa mji wa maana π€π€Kupitia reli ya TAZARA mkoa wa njombe ulishapata SoMo toka enzi hizo kutoka Lusaka Zambia wakati bado ni wilaya ya iringa jinsi ya kutengeneza mji wa viwanda na biashara angalau Sasa mambo yameanza kuonekana na maandiko yaliandikwa ya kutosha kulingana walivojifunza kwenye nchi za jumuiya ya SADC angalau miundo mbinu imeanza kuoneka maana maeneo yalishatengwa toka miaka HiYo kujifunza hakuna mwisho View attachment 3114709View attachment 3114705View attachment 3114707
Ila nyie watu wa Lake zone mnatia aibu sana.Katoro, modernity hauwezi kuikwepa other services zitawekwa patazidi kuwa pamoto and the government must see through πView attachment 3114855View attachment 3114856View attachment 3114857View attachment 3114858View attachment 3114859View attachment 3114860View attachment 3114862
Katoro inakosa miundombinu muhimu ila panavutia sana asee...Ila nyie watu wa Lake zone mnatia aibu sana.
Mko wengi ila Sasa karibia wote maskini.Mfano idadi ya Magari yanayofanya safari za Dar-Njombe ni mengi kushinda Katoro&Geita combined.
Unajua Kwa nini?
Ni Kijiji tuu hicho hakuna Cha maana.Hadi Ubaruku imepazidi mbali.sanaKatoro inakosa miundombinu muhimu ila panavutia sana asee...
Naiona Kahama ijayo hapo
Kwanini watu wanakimbilia Katoro na si Ubaruku mkuu?Ni Kijiji tuu hicho hakuna Cha maana.Hadi Ubaruku imepazidi mbali.sana
Wewe ni mgonjwa sio Bure.Yaani umewahi ona wapi Mtu ahame kwenye pesa aje huko Vijijini kwenu?Kwanini watu wanakimbilia Katoro na si Ubaruku mkuu?
Katoro kuna fursa nyingi na future nzuri.
Kwanini Mbarali ten@?Wewe ni mgonjwa sio Bure.Yaani umewahi ona wapi Mtu ahame kwenye pesa aje huko Vijijini kwenu?
Unaijua Mbarali(Ambako Kuna Ubaruku) na Mapato yake? Leta Mapato ya Geita DC ambako Kuna Katoro tulinganishe,soma namba hapo ππ
View attachment 3114873
Mbarali ndio Wilaya namba 2 Kwa Mapato Mkoa wa Mbeya baada ya Mbeya CC.
Mapato ya Mbarali ya miezi 3(July-Septemba) ndio Mapato ya Mwaka mzima ya Geita DC ambayo Katoro ipo ππππ
View: https://www.instagram.com/p/DAkqlw2tM4H/?igsh=MWFtMHlsZDd6NmZtag==
Unakuwa mjinga,Ubaruku ndio Makao Makuu ya Wilaya ya Mbarali na ndio Mji Mkubwa zaidi huko Mbarali.Kwanini Mbarali ten@?
Hapa ni Ubaruku vs Katoro mkuu...
Ubaruku ina future kama Katoro?
Kuna mabasi ya Katoro - Dar yanaanza safari jioni moja kwa moja, harafu huku hatuitukuzi Dar kama nyie huko, huko nazani kila mtu wa njombe anandoto ya kwenda Dar π€π€but sio huku πππ ndio maana tunajenga huku huku tuna kila kituIla nyie watu wa Lake zone mnatia aibu sana.
Mko wengi ila Sasa karibia wote maskini.Mfano idadi ya Magari yanayofanya safari za Dar-Njombe ni mengi kushinda Katoro&Geita combined.
Unajua Kwa nini?
Blaaa blaaa ππππKuna mabasi ya Katoro - Dar yanaanza safari jioni moja kwa moja, harafu huku hatuitukuzi Dar kama nyie huko, huko nazani kila mtu wa njombe anandoto ya kwenda Dar π€π€but sio huku πππ ndio maana tunajenga huku huku tuna kila kitu
Kitu kingine usichokijua Katoro ni kama Kariakoo kwa wholesalers, hapa ni kama bandari kavu
Leta data zote mbona unaanza kunipa kazi tena mimi, weka data zote na ulinganishe mwenyewe ππ€π€Wewe ni mgonjwa sio Bure.Yaani umewahi ona wapi Mtu ahame kwenye pesa aje huko Vijijini kwenu?
Unaijua Mbarali(Ambako Kuna Ubaruku) na Mapato yake? Leta Mapato ya Geita DC ambako Kuna Katoro tulinganishe,soma namba hapo ππ
View attachment 3114873
Mbarali ndio Wilaya namba 2 Kwa Mapato Mkoa wa Mbeya baada ya Mbeya CC.
Mapato ya Mbarali ya miezi 3(July-Septemba) ndio Mapato ya Mwaka mzima ya Geita DC ambayo Katoro ipo ππππ
View: https://www.instagram.com/p/DAkqlw2tM4H/?igsh=MWFtMHlsZDd6NmZtag==