Mnaomba ligi wakati uwezo hamna umebaki unasifia mapaa tu tafuta vijiji vyenzake ndo uwe unashindanisha sio makambako ipo full Kila idara kuanzia hotel hadi makanisaWatu wanafanya vitu, but kwa nini upost picha moja moja π€£ π€£ π€£ π View attachment 3115178View attachment 3115179View attachment 3115180View attachment 3115181
Viwanda vyetu ni migodini, π€£π€£ nyie wasipo wawekea viwanda mtakuwa joblessLeta viwanda kama hivi Mzee ndo miji ya viwanda na biashara inavoenda duniani Cha kwanza miundombinuView attachment 3115309View attachment 3115311
Acha kujitetea tunavo kwambia mkoa wa njombe una fursa za kuzidi Mzee mtu hawez kosa Kaz uwe unaelewa ndo maana Kuna KAULI inasema njombe hata ukipanda kidole CHAKO kinaota madini yapo ya kutosha chuma , makaa ya mawe titanium, vanadium,ulanga ,Shaba nk huu Uzi ulipalamia kumbe hata mkoa wa njombe huu jui vizuri wenzio walisha nyosha mikonoViwanda vyetu ni migodini, π€£π€£ nyie wasipo wawekea viwanda mtakuwa jobless
Unaijua dhahabu wewe, unafahamu inaajiri watu kiasi gani π₯Ί yaani tuna dhahabu, tuna ziwa lenye samaki wengi, tuna ardhi inayoivisha mpunga (hatuna njaa) pia nisisahau Ng'ombe tunao wa kutosha piaπππ.kiwanda kimoja kina ajiri watu wangapi, Geita pekee ina watu zaidi ya 3millon na hakuna migration ya watu kukimbilia kwenda Dar unazani ni kwa nini, fungua huo ubongo wako π€π€π€π€Acha kujitetea tunavo kwambia mkoa wa njombe una fursa za kuzidi Mzee mtu hawez kosa Kaz uwe unaelewa ndo maana Kuna KAULI inasema njombe hata ukipanda kidole CHAKO kinaota madini yapo ya kutosha chuma , makaa ya mawe titanium, vanadium,ulanga ,Shaba nk huu Uzi ulipalamia kumbe hata mkoa wa njombe huu jui vizuri wenzio walisha nyosha mikonoView attachment 3115638View attachment 3115639Huo ni mlima wa chuma mzee
Hivi vitu huwezi kuvikuta huko πAcha kujitetea tunavo kwambia mkoa wa njombe una fursa za kuzidi Mzee mtu hawez kosa Kaz uwe unaelewa ndo maana Kuna KAULI inasema njombe hata ukipanda kidole CHAKO kinaota madini yapo ya kutosha chuma , makaa ya mawe titanium, vanadium,ulanga ,Shaba nk huu Uzi ulipalamia kumbe hata mkoa wa njombe huu jui vizuri wenzio walisha nyosha mikonoView attachment 3115638View attachment 3115639Huo ni mlima wa chuma mzee
Au unamaanisha Geita hakuna fursa ππππ€ na kama kuna fursa huko mbona daily vijana wanakimbilia Dar? That's why government inaanza kuwaletea viwanda mpate ajira huko huko njombe mpunguze kuhama kwenda Dar πππAcha kujitetea tunavo kwambia mkoa wa njombe una fursa za kuzidi Mzee mtu hawez kosa Kaz uwe unaelewa ndo maana Kuna KAULI inasema njombe hata ukipanda kidole CHAKO kinaota madini yapo ya kutosha chuma , makaa ya mawe titanium, vanadium,ulanga ,Shaba nk huu Uzi ulipalamia kumbe hata mkoa wa njombe huu jui vizuri wenzio walisha nyosha mikonoView attachment 3115638View attachment 3115639Huo ni mlima wa chuma mzee
Unauliza viwanda, hivi apo viwanda vyetu huku ππAcha kujitetea tunavo kwambia mkoa wa njombe una fursa za kuzidi Mzee mtu hawez kosa Kaz uwe unaelewa ndo maana Kuna KAULI inasema njombe hata ukipanda kidole CHAKO kinaota madini yapo ya kutosha chuma , makaa ya mawe titanium, vanadium,ulanga ,Shaba nk huu Uzi ulipalamia kumbe hata mkoa wa njombe huu jui vizuri wenzio walisha nyosha mikonoView attachment 3115638View attachment 3115639Huo ni mlima wa chuma mzee
Hivi ni ambovyo vipo mji wa Geita pekee, Bado vilivyoko Mbogwe DC, Geita DC, Nyang'hwale DC etc, hapo hatujaigusa Kahama na ShinyangaUnauliza viwanda, hivi apo viwanda vyetu huku ππView attachment 3115967View attachment 3115968
Au unamaanisha Geita hakuna fursa ππππ€ na kama kuna fursa huko mbona daily vijana wanakimbilia Dar? That's why government inaanza kuwaletea viwanda mpate ajira huko huko njombe mpunguze kuhama kwenda Dar πππ
Huku kijana ukimuambia habari za kwenda Dar swali la kwanza atakalokuuliza ni " NiKAFANYE NINI" na sizani kama utaweza kulijibu π€π€
Hahahaaa πππ usijitete madini yenu wanafaidi wazungu mnaachiwa mashimo na vumbiAu unamaanisha Geita hakuna fursa ππππ€ na kama kuna fursa huko mbona daily vijana wanakimbilia Dar? That's why government inaanza kuwaletea viwanda mpate ajira huko huko njombe mpunguze kuhama kwenda Dar πππ
Huku kijana ukimuambia habari za kwenda Dar swali la kwanza atakalokuuliza ni " NiKAFANYE NINI" na sizani kama utaweza kulijibu π€π€
Hizo ofisi zipo Kila mji MJOMBA acha ushamba angalia HiYo ya makambakoHivi vitu huwezi kuvikuta huko πView attachment 3115947View attachment 3115948
Endelea kujifariji Huku watu wanaonesha kuwa pesa Iko Wanaendelea kushusha mahotel makambako sio kutegemea migodi anayofaidi mzunguUnaijua dhahabu wewe, unafahamu inaajiri watu kiasi gani π₯Ί yaani tuna dhahabu, tuna ziwa lenye samaki wengi, tuna ardhi inayoivisha mpunga (hatuna njaa) pia nisisahau Ng'ombe tunao wa kutosha piaπππ.kiwanda kimoja kina ajiri watu wangapi, Geita pekee ina watu zaidi ya 3millon na hakuna migration ya watu kukimbilia kwenda Dar unazani ni kwa nini, fungua huo ubongo wako π€π€π€π€