Kahama VS Njombe/Mafinga

HAHaha we jamaa unachekesha et mafinga na makambako kubwa mafinga labda wajenge hata ule upande wa jeshi na Sao hili kidogo ndo wanaweza kuisogelea makambako mafinga mji upo upande mmoja unaenda isalavanu makambako inasambaa MJOMBA karudie tena kutembea unachekesha uma MJOMBA hata data zinakukataa
 
Mim naongea k2 nacho kifahamu makambako imezidiwa na mafinga amin maneno yangu makambako nmekaa mafinga nmekaa najuwa k2 nacho ongea
Na uzuri Mimi Kila wiki napita kwenye hii miji ko naijua vilivyo sio kwa story huu Uzi unahitaji fact sio story za mitaani ko watu tunayajua kama njaa haya maeneo ko tunachoongea tunauelewa nacho sio story
 
Ujatembea mafinga mzee unaongea k2 ambacho ukjui mafinga next level
1)Iringa mjin
2) njombe mjin
3)mafinga
4)makambako inashika mkia
 
Wew unazungumzia mirad ukienda chato kwa magu kuna mirad mikubwa sana mirad sio kigezo cha kusema makambako ipo juu bado sana mkuu
Kuanzisha miradi tu ujue Hilo eneo ni tayari Lina umuhimu ko ni fursa
Mim naongea k2 nacho kifahamu makambako imezidiwa na mafinga amin maneno yangu makambako nmekaa mafinga nmekaa najuwa k2 nacho ongea
NA ujue kupitia huu mji WA viwanda
 

Attachments

  • 1702914137702.jpg
    153.2 KB · Views: 2
Ujatembea mafinga mzee unaongea k2 ambacho ukjui mafinga next level
1)Iringa mjin
2) njombe mjin
3)mafinga
4)makambako inashika mkia
Hayo ni Mawazo yako sisi tuna deal na takwimu sio maneno ya kujifariji ili Hali mnapigwa gap leta fact hapa si maneo ya mtaani na utambue item of population mafinga ni ya mwisho nyanda za juu kUsini KATIKA miji mtaani yasiyo na fact Yani iringa usicho kijua wenzenu MKOA WA njombe wapo busy Wana create mji WA viwanda na biashara na centre ni makambako ko utambue Hilo iringa mkazane na utalii tu ko Kaa kwa kutulia project zinaendelea utafyata mkia tu
 
Ujatembea mafinga mzee unaongea k2 ambacho ukjui mafinga next level
1)Iringa mjin
2) njombe mjin
3)mafinga
4)makambako inashika mkia

Ujatembea mafinga mzee unaongea k2 ambacho ukjui mafinga next level
1)Iringa mjin
2) njombe mjin
3)mafinga
4)makambako inashika mkia


Ujatembea mafinga mzee unaongea k2 ambacho ukjui mafinga next level
1)Iringa mjin
2) njombe mjin
3)mafinga
4)makambako inashika mkia
 

Attachments

  • 1732272516468.jpg
    200.8 KB · Views: 5
Ujatembea mafinga mzee unaongea k2 ambacho ukjui mafinga next level
1)Iringa mjin
2) njombe mjin
3)mafinga
4)makambako inashika mkia
Makambako Ina mitaa 54 mafinga Ina mitaa mingapi karibia nusu nzima mmeachwa unatuletea stori za mitaani hapa na kupitia plan ya njombe kuligeuza eneo hili kuwa mji wa viwanda na biashara gap linaenda kuwa kubwa mno eneo hili makazi yanaenda kushikana ndo maana tulikwambia hii mikoa inafahamika na fursa zilizopo zinaeleweka mfano iringa miji yake ni midogo midogo hii kutokana jiografia yake ya milima ukienda mafinga imeathiriwa na mmsitu wa Sao hili na eneo la jeshi na magereza maana eneo lililo jengeka mafinga ni kutoka changalawe hadi kinyanambo c km 14 tena kuelekea isalavanu na luganga imejengeka kidogo eneo la halmashauri na jeshini hadi kwa wachina na lumwago kwa mkoa wa njombe ni sawa na sub town ya kipagamo kuanzia jeshini hadi njiapanda ya mgololo idofi jinsi panavojengeka patakuwa sawa na Mafinga panatanika kuelekea saja na mlowa ndo maana tulisema unavolinganisha sehemu jaribu kuzunguka maeneo husika na kusoma maandiko yalisha fafanua toka njombe ipo mkoa wa iringa haya angalia jiografia ya iringa na hii ndo inaifanya iringa kushinda kutanuka njombe Ina Ina uwezo wa kutanuka halmashauri tatu zipo kwenye tambarare na makazi yanakutana ndo maana wameamua uwe ni mji wa viwanda na biashara iringa HiYoπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 

Siku zingine muache story za mitaani πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡UTAWALA​

Halmashauri ya Mji Mafinga ina jumla ya Tarafa 3, Kata 9, Vijiji 11, Vitongoji 49, Mitaa 30,kwa mchanganuo ufuatao:-

Jedwali Namba 2 Mgawanyo wa eneo la Utawala.

TarafaKataVijijiMitaaVitongoji
IfwagiBoma060
Wambi040
Kinyanambo050
Upendo050
Saohill050
Changarawe050
Rungemba3013
Jumla Ndogo11 20 49
SadaniIsalavanu4016
MalangaliBumilayinga4020
Jumla Kuu11 30 49


Pamejengeka kutoka changalawe paka kinyanambo c km 14 baada ya hapo ni makwava ndo unaenda lungemba kidogo na mji imejengwa kuelekea isalavanu ambapo kwa mkoa wa njombe ni sawa na sub town ya kipagamo kuanzia jeshini hadi njia panda ya mgololo km 14 unajengeka kwa staili ya mafinga hata ukubwa wa centre ya kipagamo inaenda kulingana na center ya mafinga ambayo ndo kata ya boma kuanzia jam beki hadi benk ya nmb ni km 1 na nusu CBD HAPO CBD IMEISHA ambapo kwa kipagamo ni sawa kutoka kituo Cha mafuta negelo hadi check point mpya ni km 1 na nusu eneo kubwa mafinga limeathiriwa na msitu wa Sao hill ,jeshi na magereza hii miji tunaifahamu vizuri sanaChangarawerungemba Mji umeishaMji uelekeo wa isalavanu na hii ni Barabara ya mgololo Eneo kubwa la luganga lipo hiviCbd imeanza jam beki hadi benk ya nmb inaanzia hapaπŸ‘‡πŸ‘‡Mwisho hapaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡km 1.5View kwa ujumla ndo hiiUKIwa kigamboni Angalia hapa tunavosema eneo kubwa limeathiriwaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Ujatembea mafinga mzee unaongea k2 ambacho ukjui mafinga next level
1)Iringa mjin
2) njombe mjin
3)mafinga
4)makambako inashika mkia
Baada ya kulalamika Muda mrefu hatimaye iringa manispaa nayo wamewafungia taa ikiwa njombe karibia sub town zote zinataa za kuongozea magari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…