HAHaha we jamaa unachekesha et mafinga na makambako kubwa mafinga labda wajenge hata ule upande wa jeshi na Sao hili kidogo ndo wanaweza kuisogelea makambako mafinga mji upo upande mmoja unaenda isalavanu makambako inasambaa MJOMBA karudie tena kutembea unachekesha uma MJOMBA hata data zinakukataa