Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Unafikiri ni Kwanini Hizo mission hazijajenga huko Shinyanga au sijui wapi, au unadhani vikiwa vya dini inamaanisha ni Malaika walishuka wakajenga? Hizi akili za migodini jamani[emoji2][emoji2]
Kwani huko hakuna hizo dini? Au nyie huko hamuhitaji Vyuo?
Iringa ni Miongoni mwa mikoa minne Tajiri Tz, (fact)
Kuwa na madini pekee haitoshi, Fanyeni kazi kwa bidii huko mpunguze umaskini. Period.
Njoo kwetu kilolo uone tofauti ya Kilimo na Madini.


Tofauti kubwa ya mikoa ya kanda ya ziwa na huko ni 1!.
Huku umaskini umetaradadi..huku nyumba za tembe kawaida sana kuziona...ila Iringa vijijini hukuti tembe ya huku..huko unakuta nyumba ya tofali za kuchomwa na sola juu au umeme kbs!
Ila huku matajiri ni wengi..huko matajiri sio wengi..ila wakaaz wa huko wametupga gape kubwa sana kwenye makazi!
Mikoa hyo (Ir.Mby Njmbe) ni ngumu kulala bila kula kisa huna chakula..huku kawaida tu!
 
hahaha mmeanza kurudi eee? Haya tuletee za kahama maana wew pia ulibisha sana
Soko kuu jipya la Njombe
images (21).jpeg

Likikamilika
 
Unafikiri ni Kwanini Hizo mission hazijajenga huko Shinyanga au sijui wapi, au unadhani vikiwa vya dini inamaanisha ni Malaika walishuka wakajenga? Hizi akili za migodini jamani[emoji2][emoji2]
Kwani huko hakuna hizo dini? Au nyie huko hamuhitaji Vyuo?
Iringa ni Miongoni mwa mikoa minne Tajiri Tz, (fact)
Kuwa na madini pekee haitoshi, Fanyeni kazi kwa bidii huko mpunguze umaskini. Period.
Njoo kwetu kilolo uone tofauti ya Kilimo na Madini.


Ila na ww usijidai kisa kilolo mna kilimo cha imwagiliaji..nidanganye kwingine sio hiyo sekta..! mtu unajipinda kulima nyanya then unakuja uza tenga kwa 3000??😏😏 yaan kafaida kanakuwa kadoogoo ...hapana aisee..nyie limeni tu kwakwel na vifaida vya laki 6 miez 3😏😏!

^
huku bwana unalal.maskn unaamka.tajiri😂😂..unalala.tajiri after a short tym u akuwa maskini! sasa huku wenye akili kama kina Manengelo lazima tutusue tu..starehe zinakaa kando na kusoma mchezo kwa ustadi mkubwa! endelen kulima fingamba be!
 
Those are not conducive liveable towns ni maeneo ya kuchuma na kusepa ndio maana hukuti uwekezaji wa maana coz investors wanajua kwamba siku mashimo yakizingua kutema watapata lifetime losses so wako skeptical sana
Eti mmja anasema kwa nini isiwe mkoa yaani uweke taasisi nyeti za serikali kwenye machimbo hilo halipo itabakia hivyo hivyo
Chunya kuna migodi kama Kahama lakini miundombinu ya chunya iko vizuri kuliko Kahama hata mji unakua na watu wanajenga magorofa sana tuu kwa vile machimbo yako mbali na mji wakichimba wanakuja kuuza mjini tofauti na Kahama mashimo hadi mjini nani aishi huko kwa manamba
Tena aliyepiga picha ya Hotel SUB MARINE,apige na kwa nje,hicho kijinjia cha kuingia hapo kimejaa vumbi na makolongo ,kutwa nzima wanamwaga maji ili wateja waliomo ndani wasichafuke na vumbi,tena hiyo njia yakuingia Hotelini hapo haitoki upande wa ni makolongo tupu,ni mita 50,kutoka kwenye Lami,wenyewe wanaita kutoka PHANTOM.
 
Atleast Njombe hyo hali.yenu ya hewa mngeitumia kwenye fursa za kulima maua na kuexport maua holaa..nimetuma sana miche ya🍓🍓🍓 ajabu mnataka niwataftie masoko..khaa..
 
Iringa haipo katika mikoa tajiri 5, punguza uongo basi, unapozungumzia ngono kahama kwenye madini, kila mkoa ngono inafanyika, ata Iringa ngono zinafanyika ndio maana ni wa 3 kwa Ukimwi. Usisifie kitu kwa kuwa unatoka huko. Vyuo Voulu Iringa ni vya dini 2(Ruaha cha Wakatoliki na Tumaini Luther), na Serikali Cha Walimu Mkwawa, sasa unasemaje hivyo vyuo vyotew vimejengwa na Wananchi wakati viwili ni vya Private ?. Iringa ni ya kawaida sana kwa sisi tunaoujua, hauna mchanganyiko wa watu, Wahehe tu mkoa mzima, akili zimesinyaa pale. Tofauti na njombe kuna Wapangwa, Wabena, Wakinga, Wahanji, Wamanda na Wasangu au Kahama ambapo makabila ya nchi yote yapo pale.

Unafikiri ni Kwanini Hizo mission hazijajenga huko Shinyanga au sijui wapi, au unadhani vikiwa vya dini inamaanisha ni Malaika walishuka wakajenga? Hizi akili za migodini jamani[emoji2][emoji2]
Kwani huko hakuna hizo dini? Au nyie huko hamuhitaji Vyuo?
Iringa ni Miongoni mwa mikoa minne Tajiri Tz, (fact)
Kuwa na madini pekee haitoshi, Fanyeni kazi kwa bidii huko mpunguze umaskini. Period.
Njoo kwetu kilolo uone tofauti ya Kilimo na Madini.
 
Bado walipiga tu x nyumba za kuvunja, naona nguvu nyingi walielekeza kwenye miradi ya road za ludewa, makete na hii ya iringa to mbeya pia mradi mpya wa umeme gridi ya maka to songea
Wataanza mwaka huu au mapema mwakani wametangaza tender nimeona kwenye bajeti na tangazo la tender
 
Ila na ww usijidai kisa kilolo mna kilimo cha imwagiliaji..nidanganye kwingine sio hiyo sekta..! mtu unajipinda kulima nyanya then unakuja uza tenga kwa 3000??😏😏 yaan kafaida kanakuwa kadoogoo ...hapana aisee..nyie limeni tu kwakwel na vifaida vya laki 6 miez 3😏😏!
^
huku bwana unalal.maskn unaamka.tajiri😂😂..unalala.tajiri after a short tym u akuwa maskini! sasa huku wenye akili kama kina Manengelo lazima tutusue tu..starehe zinakaa kando na kusoma mchezo kwa ustadi mkubwa! endelen kulima fingamba be!
iringa toka itengwe na njombe, hawana cha kujivunia sana zaidi ya wilaya ya mufindi. Kwingine hakuna ishu, kugumu. Mufindi ndio wilaya ya kiuchumi zaidi kwa mkoa wa irnga
 
iringa toka itengwe na njombe, hawana cha kujivunia sana zaidi ya wilaya ya mufindi. Kwingine hakuna ishu, kugumu. Mufindi ndio wilaya ya kiuchumi zaidi kwa mkoa wa irnga
Iringa town wakikaa bila kujipanga itabaki old town maana Mafinga inatembea speed hatari japo sio leo au kesho si unajua mtu akitangulia
 
Kahama Tunduma Makambako Mafinga ni wilaya zaidi ya mikoa.Kuna mzunguko wa pesa balaa.Kuna guest kibao
 
Back
Top Bottom