Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Ni mzee mama wewe JF umeivamia lini?Mzee baba sie kilimo cha kisasa hatuachi kwa vile ni sustanable mambo ya sehemu ya changamoto ambazo zinaendelea kutatuliwa na serikali hata kwenye mazao ya misitu kuna kodi zaidi ya 30 lakini serikali inazidi kuzitatua
Kwamba tuendako soko la mbao soft wood litapotea nk hizo ni hadithi lingeanza kupotea kwa waliotuletea hiki kilimo yaani wazungu.Yaani unatakiwa kusema kwamba tunakoelekea horticulture ndio inakwenda kuwa hot industry ungeeleweka boss