Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Njombe mii ndio dampo kumbuka ina hadhi sawa na Kahamaoooooooky hapo ni singida tupe za kahama sasa ndo ligi yetu ilipo au mmeamua kuazma za singda na swax ziwasapport huko dampo kuu la kahama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njombe mii ndio dampo kumbuka ina hadhi sawa na Kahamaoooooooky hapo ni singida tupe za kahama sasa ndo ligi yetu ilipo au mmeamua kuazma za singda na swax ziwasapport huko dampo kuu la kahama
Weka picha alafu identify moja baada ya nyingine kwa sababu aliyeweka Ngulipo hakufanya hivyoHahaha umeshatetemeka tayari? Au unadhani tumepiga picha hotel za dar ndo maana umeomba majina yake? Hapo kuna FM HOTEL, AGREEMENT HOTEL, GLORY, CHANI MOTEL etc Tunaomba za kahama sasa
Lol! Ningekuwa sikujui sasa Njombe yani sina hata mwaka nilikuwa huko nikaapa kutorudi tena kwa ulozi wenu alafu hakuna hata waremboharafu njombe kajengo kama hako ka buzwagi view na gold ni nyumba wanazoishi matajiri wanaomiliki hotel hizo ulizoona picha hapo. Kwenu ndo hotel etii na huyo mmiliki wake anaishi nyumba ya vp
Tunaizungumia Njombe kama mji na sio mkoa ukitaka umkoa wake basi utahusisha na wilaya zake, hapa ni Njombe mji, Mafinga mji na Kahama mjiHahahah daaaaah kwahio kahama gorofa refu ni submarine floor 4 tu harafu ulinganishe na njombe mkoa? Mnaota. Leteni picha nyingine. Hapo kajengo ka maana naona. Kamoja tu ka submarine.
mwanhuzi sikuwahi fika ila niliuwa napasikia tu kama mandang`ombeHaha unaijua lalago! Mwanhuzi je!
Hii route kwa kwenda Dar ni ndefu mno.Lakini ni ya muhimu mno kuifungua.Maana itaunganisha Njombe na Morogoro.Na itafungua Biashara kwa kiasi kikubwa.Maeneo ya Lupembe Madeke huko Bado ni very potential kwa ukuaji wa mji wa Njombe.Wabena wakinga wanachapa sana kazi Na wapo proud kuona Njombe inakimbia.Inapita Njombe(Stop Lupembe), inaenda Lupembe, inashukia karibu na Chitta huko (Moro), then Mlimba - Kihansi, Mbingu - Mngeta, Ifakara - Kidatu, Mikumi. Kipande kisumbufu Ni Ifakara - Lupembe.
Sehemu nyingi zilizozunguka migodi watu wake ni maskini sijui kwaniniLakini kahama ni mji wa watu masikini licha ya kuwa na migodi
Buzwagi view hotel n sio Hotel Mzee babaView attachment 1176823Buzwagi view
View attachment 1176824Gold hotelView attachment 1176826Submarine hotel
Hayo mapato mnayoongoza mnayatumiaga wapi wakati Kahama imejaa mashimo mitaro slums na umaskini kwa kwenda mbelekumbe hijui kahama wewe, sasa kwataarifa kahama ingeweza kuwa mkoa kabla hata ya geita, kahama na ilala zinafukuzana kwa mapato , NJOMBE? asee bado sana kufananisha kahama na njombe
Watu wa Mafinga na Makambako waje humu watulie zile picha za magorofa ya kuzidi hasa Mafinga kuna njenge zimesimamishwa ni noma na nusuB
Buzwagi view hotel n sio Hotel Mzee baba
Hiyo nnguest house tu yenye bar na restaurant.Nimelala hapo Mara kibao tembea uone hotel.Ukifika Mafinga,Njombe na Makambako utaziona nyingine Sana
Nijuacho Mie Magufuli alipokuwa Njombe alisema Mikoa Mingine waende wakajifunze Njombe kuhusu Ujenzi wa Nyumba Bora.Njombe pia ni Wilaya iliyoongoza kwa kuwa Na vyoo Bora Tz NzimaBinafsi yangu kati ya hiyo miji ningechagua Njombe. Watu wanadhani njombe ni mbao ambazo kimsingi wana supply East Africa yote mpaka Sudan kusini. Njombe INA supply viazi mviringo, inatoa parachichi nyingi nje ya nchi kuliko, thamani ya ardhi njombe ni kubwa kuliko kahama. Watu wa njombe ni wachapakazi sana pia naona hata kariakoo hapa wanunuzi wakubwa wa majengo ni wananjombe. Kahama ni pazuri lakini hali ya hewa na fursa za madini hazitabiriki,
Hakuna mtu mwenye akili timamu ataweka mkoa huko kwenye mashimo na manamba wa migodini hilo halipo na halitakaa litokee si bora Igunga imepangiwa na ustaarabu sio Kahama huko kwa wachuuzikumbe hijui kahama wewe, sasa kwataarifa kahama ingeweza kuwa mkoa kabla hata ya geita, kahama na ilala zinafukuzana kwa mapato , NJOMBE? asee bado sana kufananisha kahama na njombe
Shida ya Iringa ni kuwa hakuna maeneo potential ya kuifanya ichangamke.Mji unakuwa kwa shida.Njombe ule mji unategemea maeneo ya Pembeni.Miti,Kilimo Cha Parachichi,Viazi,Chai, Ngano,Maharage kinawafanya wananchi wake wawe Na uhakika wa kipato.Miradi ya Makaa ya Mawe na Chuma huko Ludewa huenda yakaleta fursa mpyaKusini nilifika kitambo ila kwa info zako itabidi nirudi tena maana njombe nilikuwa napita tu na sikuona kama ulikuwa ni mji promising (naongelea kama miaka tisa nyuma). Ulipoulinganisha na potential ya Iringa ndipo nikashtuka, kwani kuna kitu gani kipya maana mbao, mazao na manpower ya ukweli vimekuwepo muda mrefu tu
Dosmeza HotelWeka picha alafu identify moja baada ya nyingine kwa sababu aliyeweka Ngulipo hakufanya hivyo
Watu wa kahama Wana Pesa?Mimi nipo Njombe lakini nishawahi kufika Kahama mara kadhaa, kusema ukweli, huwezi kulinganisha mji wa Kahama na mji wa Njombe hata kidogo. Kahama mzunguko wa hela ni mkubwa sana ukilinganisha na Njombe. Kahama ni mji ulio changamka zaidi ya Njombe
Sema ulishindwa ushindani wa biashara nani akuroge kwa lipi?Lol! Ningekuwa sikujui sasa Njombe yani sina hata mwaka nilikuwa huko nikaapa kutorudi tena kwa ulozi wenu alafu hakuna hata warembo