Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Njombe ni mkoa mpya
Watu wangu wa Njombe asanteni kwa ushiriki wenu kwenye hii thread, ningependa kuhitimisha mada hii kwa kuja taarifa kutoka kwa Waziri wa Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa TAMISEMI ,Mhe.Seleman Jafo. Tanzania nzima maeneo yaliyokizi vigezo vya kuwa Manispaa ni matatu tu.

Waziri wa TAMISEMI Mhe.Seleman Jafo amesema Serikali inatambua maeneo matatu hapa nchini ambayo serikali ipo katika mchakato wa kupandisha hadhi kuwa Manispaa kutokana na kukidhi vigezo vya kujitosheleza kimapato.

Mhe.Jafo ameyataja maeneo hayo kuwa ni pamoja na halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga,Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoani Pwani na Halmashauri ya mji wa Geita mkoani Geita na muda wowote kuanzia sasa maeneo hayo yatapandishwa hadhi kuwa Manispaa pindi mchakato utakapokamilika.

Na kwa taarifa yenu kwa kanda ya ziwa baada ya Mwanza Jiji (Rock city) mji unaofuata kwa shughuli za kibiashara ni Kahama mjini yaani hata Geita mji, Bukoba mji, Shinyanga Mji na Musoma mji, Bariadi mji (Simiyu) wanasubiri sana.


MKOME KULIGANISHA DHAHABU NA MISITU


Kahama VS Njombe/Mafinga - JamiiForums

View attachment 1424014

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tamisemi yawezekana kuna bias sana.
Wewe kwa akili zako zaidi ya dhahabu kitu gani kinaingizia pato la Taifa toka kahama?

Mimi nakutajia Mufindi
1. Mbao
2. Magogo
3. Pareto
4. Chai
5. Mchele
6. Mahindi
Kwa akili hizi ndo maana hadi leo hamna supermarket😆😆😆😆!!!
 
Wachimbaji hawana acounts mzee, wakishakamtisha dhahabu kwenye mercury wanapima wanapewa chao wanaenda kupiga gambe na malaya hadi kuchele,
Kumbuka huchukua kazi ya zaidi ya wiki kupasua mwamba, kulainisha mawe na kusaga hadi kukamatisha, na hapo nimechukulia kama tayari ni shimo lenye hela, vinginevyo kama ni shimo jipya inawezakuwa ni kazi ya mwezi mzima kupasua miamba kwa Sululu na Nyundo za kilo 20 hadi kuufikia mwamba,
Mwenye crem hapo ndio pengine anakuwa na acount, na anapiga hela kiulaini, wenye bank acount ni 1% ya wafanya biashara wa hii Industry, wamiliki wa plants na wenye machine ndogo ndogo kama crashers (hapa nazungumzia wachimbaji wadogo na wa kati ambao ni kama 99.99% ya wachimbaji wote wa dhahabu Tz)
Wale wenye mitaji ndio wanaopiga hizo pesa za dhahabu, hapa dar kule posta ni 99% Indians wameshika biashara ya dhahabu,
Kwaiyo point yako ya Acount za hao wachache kujaa hela haina maana sababu pesa haina impact kwenye Jamii, na hapa ndio tofauti ya Mafinga na Kahama inatokea.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani hao wenye mitaji wanaopiga hela ni kina nani? Kahama hawapo? 😂😂 yaani we na mwenzio mnanichekesha sana! Basi hapo unataka kuaminisha watu kuwa wote wanaofanya biashara ya madini kahama ni washika sululu tu! 😂
Hivi hujui kama kuna watu ni madon kazi yao kudhamini tu kazi ikikamilika anakula chake anatambaa anaenda tena kudhamini kwingine? Jitu unakuta lina duara kama zotee kazi yake kugawa noti tu shughuli inatembea kama kawa! Nikujuze tu hao wahindi unaojivunia (😂) mpaka waje waipate hio dhahabu kuna watabe wanakuwa wameshapiga cha juu mapemaaa!
Talking of acc, miaka kadhaa nyuma kabla hawajazuiliwa people used to kwenda bank na mifuko ya sandarusi au mabox ya pesa. Wanakwepa kuibiwa maana lasketi zilikuwa zishakaririwa sana. (Kama una jamaa yako huko anafanya kazi bank muulize atakwambia)
 
Kesho kahama ni Municipal council na Njombe collabo Mufindi bado ni Town council hamjafikiliwa yaani. TAMISEMI wakaiona Kibaha ni bora iwe Municipal concil kuliko Njombe collabo Mufindi?????? Nyie level yenu kata ya Kagongwa tu,

For your information Level yangu ya uelewa ipo sawa kabisa na wizara ya TAMISEMI tu.

KAHAMA SIO LEVEL ZA NJOMBE Featuring MUFINDI.

Ukiona mtu anaanza oooh mara level yako ya kufikiri oooh chapanda chashuka we temana nae tu, hapo ujue joto hasira limeshapanda!
Bandari kavu ilivyoondolewa wakaanza ooh kahama itashuka. Buzwagi walivyofungiwa wandwanzi wakakomaa tena, kahama kwisha habari yakeee!! Lakini ndo kwanza halmashauri zikagawanywa, alafu mzungu karudi anakutana na mataa barabarani yanamchekea!
 
Kahama ndio wilaya yenye uchumi mkubwa kuliko wilaya zote tanzania na mikoa kadhaa,kahama kuna bank nane kwahiyo kwa hilo tu utaona mzunguko wa kibiashara uko juu.
Kukuta bank kama DTB,BOA wako jua kuna kituo wameona,ukiacha hao crdb,nmb,nbc,tpb,access bank wote wapo kahama

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna bank hapo zina matawi zaidi ya moja humo humo kahama mjini kama sikosei moja wapo ni NMB walifungua business centre pia kule maeneo ya Azania.
Bank zimejiwahi hapo kwa sababu wameona kuna mshiko.
 
Sio mbali wewe nimeishi mwanza 3 yrs ni only 160 km to Shinyanga
Miji hiyo kupitwa au hapana ni factor ya growth rate ambapo kwa sasa iko favourable kwa Njombe kuliko Songea na Iringa ko tofautisha kukimbia na kutembea.Imagine barabara ya Njombe Ifakara na Njombe kudewa mbamba bay na Njombe makete Mbeya zikikamilika hiyo speed ya ukuaji itakuwa mara mbili ya sasa wakati Iringa na Songea hakuna jipya barabara zake kuu ziko operational tayari
Ili kujua km za mwanza -shinyanga sio lazima uishi miaka yote hiyo.
 
Huj
Hujui kitu wewe tunapanda kahawa ya kuzidi Ludewa no matter Njombe yenyewe ulifika miaka mingi afu unatoa ushuzi hapa.Hakuna biashara inashuka kila siku hizo ni normal price fluctuations

IMG_1814.JPG
 
Kwa jinsi unavyoelezea hiyo Nadharia ni Kama vile Kahama ni Paradise, yaani kwa maelezo yako tungetegemea kuona kahama inafanana na Moshi au Morogoro au Iringa, ila ni kati ya mji unaofanana na Jalala, mji mbovu na wa umasikini, pesa hizi mnapeleka wapi wenzetu maana kahama imezidiwa na Mufindi.
Kwani hao wenye mitaji wanaopiga hela ni kina nani? Kahama hawapo? [emoji23][emoji23] yaani we na mwenzio mnanichekesha sana! Basi hapo unataka kuaminisha watu kuwa wote wanaofanya biashara ya madini kahama ni washika sululu tu! [emoji23]
Hivi hujui kama kuna watu ni madon kazi yao kudhamini tu kazi ikikamilika anakula chake anatambaa anaenda tena kudhamini kwingine? Jitu unakuta lina duara kama zotee kazi yake kugawa noti tu shughuli inatembea kama kawa! Nikujuze tu hao wahindi unaojivunia ([emoji23]) mpaka waje waipate hio dhahabu kuna watabe wanakuwa wameshapiga cha juu mapemaaa!
Talking of acc, miaka kadhaa nyuma kabla hawajazuiliwa people used to kwenda bank na mifuko ya sandarusi au mabox ya pesa. Wanakwepa kuibiwa maana lasketi zilikuwa zishakaririwa sana. (Kama una jamaa yako huko anafanya kazi bank muulize atakwambia)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We fika tu, TAMISEMI inaitambua miji mitatu tu iliyokidhi hadhi ya kuwa Manispaa Tanzania nzima ambayo ni Kahama, Geita na Kibaha na kigezo kimoja wapo ni uwezo wa mji kujitosheleza kimapato kwa zaidi ya 70%. Mkome kulinganisha Kahama na vitu vya kijinga, Kahama sio level za Njombe/ Mafinga labda mjilinganishe na kata ya Kagongwa.
We kweli mbayuwai mkuu,Kwa taarifa yako kama kigeo ni mapato tuu basi Lindi,Mpanda,Songea,Singida nk isingekuwa Manicipal councils.
Hata hivyo kwa kigezo cha mapato,Mafinga na Njombe zinajitosheleza kuliko hizo MCs nimezitaja hapo..Kama ishu ni mapato tuu basi Chalinze town/DC ingekuwa Manicipals maana ina mapato mengi kupita Kahama au Geita.Na kaa ukijua manispaa zitakazotangazwa ni pamaoja na Njombe na Babati maana ukiacha utoshelevu wa mapato zina vigezo vingine zaidi mfano makao makuu ya taasisi kadhaa za mkoa na miundombinu ya uchumi na kijamii bora kuliko upuuzi wa huko machimboni.
 
Mufindi ina shule za sekondari zaidi ya 40
Kahama ziko ngapi?
Huko watoto wa common mwananchi wanasemea wapi au kazi Kuchunga Ng'ombe pekee, hiyo shule moja hata haina hadhi wala reputation ya kufikia Shule kama Mafinga Seminary,
Labda hiyo ufananishe Na St.marys Mafinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mtu ufia chake! Yani unaringanisha dhahabu na kitu unachoweza kukipata popote? nani akitaka magogo au mahindi anaweza kukosa? Dhahabu ni urithi asilia na hailimwi bali utafutwa! ndo maana unaona wazungu wakija kuifata... kwanini wasilime kwao kama mahindi na wao wakawa nayo?
Pesa za dhahabu zinaenda wapi mbona mumetopea kwenye umaskini?
 
Watu wangu wa Njombe asanteni kwa ushiriki wenu kwenye hii thread, ningependa kuhitimisha mada hii kwa kuja taarifa kutoka kwa Waziri wa Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa TAMISEMI ,Mhe.Seleman Jafo. Tanzania nzima maeneo yaliyokizi vigezo vya kuwa Manispaa ni matatu tu.

Waziri wa TAMISEMI Mhe.Seleman Jafo amesema Serikali inatambua maeneo matatu hapa nchini ambayo serikali ipo katika mchakato wa kupandisha hadhi kuwa Manispaa kutokana na kukidhi vigezo vya kujitosheleza kimapato.

Mhe.Jafo ameyataja maeneo hayo kuwa ni pamoja na halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga,Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoani Pwani na Halmashauri ya mji wa Geita mkoani Geita na muda wowote kuanzia sasa maeneo hayo yatapandishwa hadhi kuwa Manispaa pindi mchakato utakapokamilika.

Na kwa taarifa yenu kwa kanda ya ziwa baada ya Mwanza Jiji (Rock city) mji unaofuata kwa shughuli za kibiashara ni Kahama mjini yaani hata Geita mji, Bukoba mji, Shinyanga Mji na Musoma mji, Bariadi mji (Simiyu) wanasubiri sana.


MKOME KULIGANISHA DHAHABU NA MISITU


Kahama VS Njombe/Mafinga - JamiiForums

View attachment 1424014
Vigezo vya kitaalam vitaangaliwa zaidi ya ishu ya mapato tuu,kama ni mapato tu ondoa uchafu wa Kibaha town maani inapigwa chini tena mbaaali na Mafinga,Njombe nk..Na kama ishu ni mapato tuu Geita iko mbali sana ya Kahama
Unatakiwa utambue majibu ya waziri ni ya kisiasa lakini kuna vigezo vingine zaidi vya kitaalamu vinaangaliwa ndio maana leo hii Mpanda,Lindi,Singida na miji mingi dizaini hiyo ni Municipal councils lakini ina mapato kiduchu.Note this wakati wa kupandisha hadhi miji Njombe,Babati,Bariadi,Mbozi(Vwawa+Mlowo),Tunduma,Mafinga,Kahama na Geita zitakuwa Mcs..Iko hivi pamoja na kwamba miji mingine ina mapato kiduchu lakini ni makao makuu ya Mikoa na taasisi zake
 
Back
Top Bottom