Jamesdominic
JF-Expert Member
- Nov 26, 2022
- 549
- 732
We tuliza komwe dozi ikuingie.Mapori unayaleta ya nini humu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We tuliza komwe dozi ikuingie.Mapori unayaleta ya nini humu?
Miradi ya regrow imesimama yote wamegoma kutoa pesa Wanadai Kuna ukikwaji wa haki za binadamuUjenzi ulishafika mbali tuu chini ya Regrow au ni tofauti?
Utaisha tuuMiradi ya regrow imesimama yote wamegoma kutoa pesa Wanadai Kuna ukikwaji wa haki za binadamu
Benki ya Dunia (WB) inadaiwa kusitisha kutoa Fedha kwa ajili ya Mradi wa REGROW Nchini Tanzania kufuatia Madai ya Ukiukwaji wa Haki za Binadamu yaliyoibuliwa na Taasisi ya Oakland iliyoko MarekaniUtaisha tuu
Utaisha tuu
Alijenga nani? Mama au Mwendazake?Swax mc, under construction.
View attachment 2999363
Swax mc, under construction.
View attachment 2999363
Mr's mwenyewe.Alijenga nani? Mama au Mwendazake?
Kama ni Mr Kwa nini saizi ndio wahamie? Miaka 5+3?Mr's mwenyewe.
Processing zilianza awamu ya 5 but awamu ya 6 (mama) ndo alimwaga pesa.Kama ni Mr Kwa nini saizi ndio wahamie? Miaka 5+3?
Achana na process,umejenzi umeanza awamu ya 5 au 6?Processing zilianza awamu ya 5 but awamu ya 6 (mama) ndo alimwaga pesa.
Sasa☝ lejea apo juu aliye mwaga pesa nishasema ni mama mwenyewe mbona unakaza fuvu👈.Achana na process,umejenzi umeanza awamu ya 5 au 6?
Hata process za Mji Mkuu zilianza awamu ya 1 , ujenzi rasmi na kuhamia Dodoma akafanya mjomba wenu.
Kumbe mama kajenga,basi naiweka kwenye rekodi,nilikuwa nataka aliuejenga sio processSasa☝ lejea apo juu aliye mwaga pesa nishasema ni mama mwenyewe mbona unakaza fuvu👈.
🔥💥.Kumbe mama kajenga,basi naiweka kwenye rekodi,nilikuwa nataka aliuejenga sio process