Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta viwanda kama hivi sio orodha haya viwanda vya MSD industrial park viwanda vya vifaa tiba na madawana avo Africa Cha parachichi ndani ya makambakoUnauliza viwanda, hivi apo viwanda vyetu huku 👇👇View attachment 3115967View attachment 3115968
Yaani wewe umeona hiyo office tu 🤔🤗 acha kujizima data soma ujumbe uliopo pembeni 😂😂😂Hizo ofisi zipo Kila mji MJOMBA acha ushamba angalia HiYo ya makambakoView attachment 3116176
Kahama ni gulio hakuna Mji pale 😁😁Nimetoka kahama jana, ukiondoa mji kuchangamka kwa biashara ya kila namna ila miundombinu hasa barabara badooooo sana, afadhari shinyanga mjini pale mji ni msafi na barabara zake nzuri mno
"UTAJIRI WA WATU WA NJOMBE NI BALAA ,WATAJWA KUWA NA WATU WENYE KIPATO KIKUBWA 'TIC' YATOA BARAKA... - YouTube"Yaani wewe umeona hiyo office tu 🤔🤗 acha kujizima data soma ujumbe uliopo pembeni 😂😂😂
Kama ilivyo njombe tu 😂 🤗 😂 🤗Kahama ni gulio hakuna Mji pale 😁😁
Yaani nianze kuhangaika kupost viwanda vyote hivyo kimoja kimoja 🤔 🤔 🤔 🤭 🤗 acha wao wapost maana wanavyo vichache hata kumi havifiki 😂😂😂😂Au umpostie viwanda tofauti na vya uchenjuaji madini. Mfano kahama kuna kiwanda chakutengeneza vipuli vya mitambo ya migodini, kiwanda cha bati, kiwanda cha maji, kiwanda cha vinywaji vikali(spirits),kiwanda cha vyombo vya plastic kama viti, kiwanda cha mabomba ya plastics hivyo kwa uchache hapo kuna vyakusindika nafaka kwenda nje kama mchele. Shinyanga mjini kuna viwanda vingi napo,JAMBO tu ana viwanda vya kuzalisha maji, juisi, soda,ice cream, pipi, biskuti, asali, bidhaa za ngano,media house kubwa nk pia yupo katika ujenzi wa kiwanda cha ngano. Viwanda vingine kuna cha bia(goldeburg&hanson lite),viwanda viwili vya vinywaji vikali vyenye brand kubwa kama hanson choice unaipata nchi nzima. Viwanda vya nyama viwili, viwanda vya vifungashio,kiwanda cha goroli, kiwanda cha kuzalisha mafuta yakupikia kutoka kwenye mabaki ya mchele, viwanda vya mafuta ya alizeti na pamba, viwanda vya kuchambua pamba na marobota,kiwanda cha mabati.Hivyo ni baadhi.
"UTAJIRI WA WATU WA NJOMBE NI BALAA ,WATAJWA KUWA NA WATU WENYE KIPATO KIKUBWA 'TIC' YATOA BARAKA... - YouTube"
View: https://m.youtube.com/watch?v=pJ1WbKBJZJY&t=396s&pp=ygUKdGljIG5qb21iZQ%3D%3D
Sasa wewe humu zambia inafata nini? battle imekushinda unaanza kukopa inje ya nchi 😂😂😂😂😂Ishini kwa kujifunza mji ili iweze kuwa wa biashara zaidi unahitaji viwanda bila hivyo ni gulio tu maana migodi ikifungwa hakuna Cha ziada mtaishia kuangalia mapaa yaliyochoka mashimo na vumbi hata dsm walishabadili mtazamo ndo maana uwekezaji wa viwanda pwani ni mkubwa angali , hii ni haya baadhi ya industrial park Lusaka zambia kinacho angaliwa ni availability of raw materialView attachment 3116481View attachment 3116482View attachment 3116483
Lazima muwekewe viwanda vinavyoendana na upatikanaji wa raw materials, unataka Geita tuletewe pia viwanda vya parachichi ili vichakate nini😂😂 mapapai au !!Hahaha una shida wewe sema hamna raw material za viwanda zaidi ya dhahabu tu njombe sio level zenu ndo home kwa raw material ndo maana mkoa umeamua uwe na mji wa viwanda na biashara Hilo ni funzo toka kwa majilan zetu jinsi ilivyo wanufaisha copper na kutanua miji Yao makambako Ina kongani tatu ya viwanda au tunaita industrial park Kuna MSD industrial park Kuna zaidi ya viwanda vitano Kuna kongani nyingine ya viwanda vya parachichi vipo zaidi ya SITA na kuna kongani babukubwa ya viwanda vya chuma na kuassemble magari vyenye zaidi ya ekari 500 ujenzi unaendelea ko huu mziki huu wezi ndo maana tulikwambia mnavojenga mji mjitahidi kujifunza kwenye miji mingine iliyofanikiwa kiuwekezaji si Tanzania hata nchi za jilan jinsi walivo panga mji na fursa zilizowekezwa ko hapo sijagusa viwanda vya nguzo ,misumari ,bati ,plastic , plywood n.k acheni kushindana kunyanyua paa huo ni ushambaView attachment 3116464View attachment 3116465View attachment 3116466hapo ni vya parachichi na mpunga👇👇View attachment 3116467
Haha eti hata kumi havi fiki tunavo sema industrial park inaonekana huelewi kituYaani nianze kuhangaika kupost viwanda vyote hivyo kimoja kimoja 🤔 🤔 🤔 🤭 🤗 acha wao wapost maana wanavyo vichache hata kumi havifiki 😂😂😂😂
Ndo utambue makambako Ina viwanda vya aina nyingi sio kama huko kwenu Huku ndo home of raw material za Kila ainaLazima muwekewe viwanda vinavyoendana na upatikanaji wa raw materials, unataka Geita tuletewe pia viwanda vya parachichi ili vichakate nini😂😂 mapapai au !!
Sasa wewe humu zambia inafata nini? battle imekushinda unaanza kukopa inje ya nchi 😂😂😂😂😂u
Hii ni case study tu isikuchanganye kichwa ndiko makambako inakoelekea Kaa kwa kutuliaSasa wewe humu zambia inafata nini? battle imekushinda unaanza kukopa inje ya nchi 😂😂😂😂😂
Acha kujitetea leta vitu kama hivi viwanda vya ware mash na misumariLazima muwekewe viwanda vinavyoendana na upatikanaji wa raw materials, unataka Geita tuletewe pia viwanda vya parachichi ili vichakate nini😂😂 mapapai au !!
Acha kujitetea leta vitu kama hivi viwanda vya ware mash na misumariView attachment 3117070Lazima muwekewe viwanda vinavyoendana na upatikanaji wa raw materials, unataka Geita tuletewe pia viwanda vya parachichi ili vichakate nini😂😂 mapapai au !!
Acha kujitetea leta vitu kama hivi viwanda vya ware mash na misumariView attachment 3117070Lazima muwekewe viwanda vinavyoendana na upatikanaji wa raw materials, unataka Geita tuletewe pia viwanda vya parachichi ili vichakate nini😂😂 mapapai au !!
Ebu weka orodha yote ya viwanda vilivyopo Njombe+Makambako tuone kama vinafika hata nusu ya viwanda vilivyopo ShinyangaAcha kujitetea leta vitu kama hivi viwanda vya ware mash na misumariView attachment 3117070
😂😂😂😂😂😂Hizi ndoto za kuota mchana ni mbaya sana, kwanza kwenye miji ya kuvutia unaweza kuitaja Lusaka kweli!🤔Hii ni case study tu isikuchanganye kichwa ndiko makambako inakoelekea Kaa kwa kutulia