Kahama VS Tunduma: Wapi kuna Michongo ya Pesa na Fursa zaidi?

Tunduma -Songea na Selous/Super feo πŸ‘‡
 

Attachments

  • 20220906_214053.jpg
    86.5 KB · Views: 25
No excuse here ,,leta hotel ,[emoji16][emoji28][emoji28]
 
Endeleeni kupigana .mkimaliza mnaweza mtatuita tumalizie
 
Tunduma naipendea kwa pombe Kule ni bei nafuu sana, Kuna velve,win,prince,jambo jin

Nilikua nachukua mzigo ng'ambo bei jumla Tsh 800/= box Moja chupa zinakaa 20 zenye Mls 200 na volume 43+ hiyo ni spirit, whisk,vodka mzigo nikifanikiwa kuutoa hapo sokoni black nikifanikiwa kuutoa hapo ukifika Mbeya town nauza chupa mojaTsh 3500-5000
 
Usafiri ni uhakika wa kukufikisha ndani na Nje ya Nchi..

Tunduma-Dom na Shabiby πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220909-071507.png
    133.5 KB · Views: 21
  • Screenshot_20220909-071304.png
    183.6 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220909-071158.png
    158.4 KB · Views: 20
  • 20220909_071326.jpg
    185.9 KB · Views: 23
  • 20220909_071336.jpg
    68.9 KB · Views: 22
Shule za Tunduma ni ghorofa tuu πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220912-223457.png
    232.2 KB · Views: 24
Wamekuja Tunduma kujifunza πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220916-204851.png
    200.6 KB · Views: 25
New baby in Town πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-075420.png
    127.2 KB · Views: 23
  • Screenshot_20220918-075245.png
    152.2 KB · Views: 20
  • 20220918_075430.jpg
    59.8 KB · Views: 20
  • 20220918_075121.jpg
    64.5 KB · Views: 20
  • 20220918_074717.jpg
    63.5 KB · Views: 19
Umeingiza uswahiliπŸ˜…πŸ˜…
 
Nasikia tunduma kumenoga kibiashara miaka hii, Mara ya mwisho kwenda mwaka 2002 nikiwa na age 27, palikuwa bize Sana kibiashara ,kipindi hiko tulikuwa tunadili na vitenge na vipodozi kuleta dar
Yaani mkitoa Tunduma kuleta dar na sio Dar kwenda Tunduma?
 
Kahama na lile vumbi mitaa yote hakuna lami?
 
Kote nimekaa , Naijua miji yote vizuri, Tunduma haiwezi kuigusa Kahama kwa namna yoyote ile hata mikoa kama singida, kigoma, Tabora, ruvuma, Rukwa, katavi, Njombe, Lindi bado makao makuu ya hiyo mikoa haiwezi kuipata kahama iwe kwa majengo au kuchangamka, huu ni ukweli mchungu
 
Nadhani fursa inaanza na wewe lakini wanaume wenzako watoke jasho kutafuta pesa wawekeze wewe kazi yako iwe kupost vitega uchumi vya wengine panakua na shida sehemu, kwa ujumla tunduma ni ligi za katoro na sio kahama
 
Kahama ina majengo yapi kushinda hiyo Mikoa umeitaja ukitoa Lindi na Sumbawanga?

Hatufanyi mjadala wa dini hapa kwamba tutaamini maneno bila ushahidi..

Ukipata madarasa ya maghorofa kwa Kahama nzima shule za Serikali nafunga account JF..

Tunduma πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220920-204656.png
    147.6 KB · Views: 24
Mji ukiwa una kuwa kiholela holela bila mipango miji ni sawa na bure tu ..huo uongozi wa mkoa wajipange kuupanga mji vizuri sio kila nyumba zina angalia highway tu
 
Mji ukiwa una kuwa kiholela holela bila mipango miji ni sawa na bure tu ..huo uongozi wa mkoa wajipange kuupanga mji vizuri sio kila nyumba zina angalia highway tu
Ilikuwa zamani kabla ya Halmashauri,kwa sasa Mji unapangwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…