Kahama VS Tunduma: Wapi kuna Michongo ya Pesa na Fursa zaidi?

Kahama VS Tunduma: Wapi kuna Michongo ya Pesa na Fursa zaidi?

Silverstone Hotel Tunduma 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220904-220349.png
    Screenshot_20220904-220349.png
    250.4 KB · Views: 38
Cape town & High Class Hotels in Tunduma 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220904-220751.png
    Screenshot_20220904-220751.png
    89.2 KB · Views: 38
  • clasic+tunduma.jpg
    clasic+tunduma.jpg
    66.4 KB · Views: 35
  • dsc02652.jpg
    dsc02652.jpg
    1.1 MB · Views: 42
Kahama mkifika hapa mnitag 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220904-110238.png
    Screenshot_20220904-110238.png
    113 KB · Views: 39
  • 20220826_142755.jpg
    20220826_142755.jpg
    31.3 KB · Views: 40
Watu wafupi akii hawana akili kabisa yaan matarqo yakiwa karibu na kichwa ubongo unawaza mavi tu

Umetoa hoja kushindanisha ulivyo mjinga kabisa ukaonyesha upo upande upi na mwisho ukatoa Conclusion kuwa wapi pazuri Sasa huu uzi umeleta wanini humu!??
 
Watu wafupi akii hawana akili kabisa yaan matarqo yakiwa karibu na kichwa ubongo unawaza mavi tu

Umetoa hoja kushindanisha ulivyo mjinga kabisa ukaonyesha upo upande upi na mwisho ukatoa Conclusion kuwa wapi pazuri Sasa huu uzi umeleta wanini humu!??
Kafibiwe Kansa kwanza Harafu ndio urudi kuchangia mada 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20211118-215300.png
    Screenshot_20211118-215300.png
    148.9 KB · Views: 41
Sijawai kufika kahama ila kwasasa ninaishi tunduma.Tunduma ina jina kubwa kuliko uhakisia imagine mpaka saizi maji kwa sehemu kubwa ni visima sio bomba,swala la barabara ndio hakuna kabisaaa kwasababu iliyopo ni moja tu kuu ya kwenda sumbawanga na kuingia zambia hii ya mpemba ni kwaajili ya malawi na haina impact yeyote kibiashara,barabara za lami mitaani hakuna kabisa,swala la mwingiliano ni dogo yani sehemu kubwa ya watu ni ukanda huuhuu,hivi vituo vya mafuta havimaanish mzunguko bali n parking nyng za magari,na baadh ya parking ukiwaungisha mafuta gari inalala bure,swala la elimu bado sana hakuna hata kachuo kaveta kamoja hapa tunduma nzima,shughuli kubwa za watu ni biashara,kilimo na magendo,hapa kwenye magendo kuna pombe za zambia,vipodozi,vitenge na kusafirisha wasomali na watu wasio na document,mzunguko wa biashara tunduma sitauzungumzia cos sifany biashara za kununua na kuuza so siwezi compare bila experience,yangu ni hayo,nipo mpemba hapa newbell karibuni
 
Sijawai kufika kahama ila kwasasa ninaishi tunduma.Tunduma ina jina kubwa kuliko uhakisia imagine mpaka saizi maji kwa sehemu kubwa ni visima sio bomba,swala la barabara ndio hakuna kabisaaa kwasababu iliyopo ni moja tu kuu ya kwenda sumbawanga na kuingia zambia hii ya mpemba ni kwaajili ya malawi na haina impact yeyote kibiashara,barabara za lami mitaani hakuna kabisa,swala la mwingiliano ni dogo yani sehemu kubwa ya watu ni ukanda huuhuu,hivi vituo vya mafuta havimaanish mzunguko bali n parking nyng za magari,na baadh ya parking ukiwaungisha mafuta gari inalala bure,swala la elimu bado sana hakuna hata kachuo kaveta kamoja hapa tunduma nzima,shughuli kubwa za watu ni biashara,kilimo na magendo,hapa kwenye magendo kuna pombe za zambia,vipodozi,vitenge na kusafirisha wasomali na watu wasio na document,mzunguko wa biashara tunduma sitauzungumzia cos sifany biashara za kununua na kuuza so siwezi compare bila experience,yangu ni hayo,nipo mpemba hapa newbell karibuni
Hayo unayoyasema kama ni mambo hakuna unatakiwa ujue kuna improvement kubwa Sana,ungekuwepo kabala ya 2015 ndio ungejua kwamba kuna improvement kubwa..

Hiyo barabara ya Malawi unayosema sio muhimu kibiashara hiyo ni shida yako binafsi maana Mji unakua zaidi njia ya Ileje na Sumbawanga..

Kuhusu maji hata hayo unayiosema ni ya kisima ni ushukuru kuna hata visima kwa sasa ila zamani tulikuwa tunafuata Chimbuya huko,Mjini kule kuna mradi wa maji ya Bomba japo mradi mkubwa wa uhakika mtapata kutoka Ileje..

Barabara za lami za mitaani walau zipo za kutafutiza miaka hii,hiyo Tunduma unayoiona hata mitaa ilikuwa haipo vyote hivyo vimefangika Kati ya 2010 hadi sasa,kwa kuwa TARURA sasa ipo mtapata hizo barabara maana ilibidi makazi yavunjwe Ili kupata mitaa kutokana na ujenzi holela..

Mambo ya Elimu kwa sasa Tunduma inajitahidi hasa kwenye elimu ya msingi na Sekondari,Mambo ya Vyuo bado ila huo mpango wa Veta upo maana hata Mkoa wa Rukwa hakuna Veta ya Serikali na haki iko hivyo Kwa maeneo mengi ya Nchi..

Mambo ya biashara ndio mahali pake na hizo vituo vya mafuta ni ishara kwamba kuna biashara kubwa sio tuu hiyo bali hata maduka ni mengi Mji mzima ni biashara..

Mwisho unatakiwa kujua.kwamba Halmashauri ya Mji wa Tunduma imeundwa mwaka 2010 kwa hiyo kwa yaliyofanyika so far naona wamejitahidi Sana maana ndani ya miaka 12 tayari kuna hospital Kubwa ya Mji,stand nzuri ya mpemba,mashule kibao zikiemo English medium za serikali,wanapima viwanja na kupanga Mji,mitaa inaanza kuwekwa na pia kitu kikubwa ni kwamba hapo kuna wageni wengi tofauti na unavyosema maana huo Mji ni WA wahamiaji zaidi..
 
Sijawai kufika kahama ila kwasasa ninaishi tunduma.Tunduma ina jina kubwa kuliko uhakisia imagine mpaka saizi maji kwa sehemu kubwa ni visima sio bomba,swala la barabara ndio hakuna kabisaaa kwasababu iliyopo ni moja tu kuu ya kwenda sumbawanga na kuingia zambia hii ya mpemba ni kwaajili ya malawi na haina impact yeyote kibiashara,barabara za lami mitaani hakuna kabisa,swala la mwingiliano ni dogo yani sehemu kubwa ya watu ni ukanda huuhuu,hivi vituo vya mafuta havimaanish mzunguko bali n parking nyng za magari,na baadh ya parking ukiwaungisha mafuta gari inalala bure,swala la elimu bado sana hakuna hata kachuo kaveta kamoja hapa tunduma nzima,shughuli kubwa za watu ni biashara,kilimo na magendo,hapa kwenye magendo kuna pombe za zambia,vipodozi,vitenge na kusafirisha wasomali na watu wasio na document,mzunguko wa biashara tunduma sitauzungumzia cos sifany biashara za kununua na kuuza so siwezi compare bila experience,yangu ni hayo,nipo mpemba hapa newbell karibuni
Point [emoji122]
 
Hayo unayoyasema kama ni mambo hakuna unatakiwa ujue kuna improvement kubwa Sana,ungekuwepo kabala ya 2015 ndio ungejua kwamba kuna improvement kubwa..

Hiyo barabara ya Malawi unayosema sio muhimu kibiashara hiyo ni shida yako binafsi maana Mji unakua zaidi njia ya Ileje na Sumbawanga..

Kuhusu maji hata hayo unayiosema ni ya kisima ni ushukuru kuna hata visima kwa sasa ila zamani tulikuwa tunafuata Chimbuya huko,Mjini kule kuna mradi wa maji ya Bomba japo mradi mkubwa wa uhakika mtapata kutoka Ileje..

Barabara za lami za mitaani walau zipo za kutafutiza miaka hii,hiyo Tunduma unayoiona hata mitaa ilikuwa haipo vyote hivyo vimefangika Kati ya 2010 hadi sasa,kwa kuwa TARURA sasa ipo mtapata hizo barabara maana ilibidi makazi yavunjwe Ili kupata mitaa kutokana na ujenzi holela..

Mambo ya Elimu kwa sasa Tunduma inajitahidi hasa kwenye elimu ya msingi na Sekondari,Mambo ya Vyuo bado ila huo mpango wa Veta upo maana hata Mkoa wa Rukwa hakuna Veta ya Serikali na haki iko hivyo Kwa maeneo mengi ya Nchi..

Mambo ya biashara ndio mahali pake na hizo vituo vya mafuta ni ishara kwamba kuna biashara kubwa sio tuu hiyo bali hata maduka ni mengi Mji mzima ni biashara..

Mwisho unatakiwa kujua.kwamba Halmashauri ya Mji wa Tunduma imeundwa mwaka 2010 kwa hiyo kwa yaliyofanyika so far naona wamejitahidi Sana maana ndani ya miaka 12 tayari kuna hospital Kubwa ya Mji,stand nzuri ya mpemba,mashule kibao zikiemo English medium za serikali,wanapima viwanja na kupanga Mji,mitaa inaanza kuwekwa na pia kitu kikubwa ni kwamba hapo kuna wageni wengi tofauti na unavyosema maana huo Mji ni WA wahamiaji zaidi..
Siku tunduma ikiwa na hotel classic kama hizi ndo itakuwa na hadhi ya kubishana na kahama
IMG-20220111-WA0002.jpg
IMG-20220111-WA0001.jpg
2022-02-11.jpg
 
Nakulia time umalize vipicha picha vyako harafu nitakujia na picha za Tunduma uaibike,just wait.
We hata unilie nini ..hii dozi huiwezi ...kaa mbali na watoto..ulimiscaliculate sana kuleta Uzi huu Bora ungelinganisha na sirari ,ningekuwa nimetulia ..ila hyo shabby village ulinganishe ni kahama huo ni kujitaftia fedheha
 
Hayo unayoyasema kama ni mambo hakuna unatakiwa ujue kuna improvement kubwa Sana,ungekuwepo kabala ya 2015 ndio ungejua kwamba kuna improvement kubwa..

Hiyo barabara ya Malawi unayosema sio muhimu kibiashara hiyo ni shida yako binafsi maana Mji unakua zaidi njia ya Ileje na Sumbawanga..

Kuhusu maji hata hayo unayiosema ni ya kisima ni ushukuru kuna hata visima kwa sasa ila zamani tulikuwa tunafuata Chimbuya huko,Mjini kule kuna mradi wa maji ya Bomba japo mradi mkubwa wa uhakika mtapata kutoka Ileje..

Barabara za lami za mitaani walau zipo za kutafutiza miaka hii,hiyo Tunduma unayoiona hata mitaa ilikuwa haipo vyote hivyo vimefangika Kati ya 2010 hadi sasa,kwa kuwa TARURA sasa ipo mtapata hizo barabara maana ilibidi makazi yavunjwe Ili kupata mitaa kutokana na ujenzi holela..

Mambo ya Elimu kwa sasa Tunduma inajitahidi hasa kwenye elimu ya msingi na Sekondari,Mambo ya Vyuo bado ila huo mpango wa Veta upo maana hata Mkoa wa Rukwa hakuna Veta ya Serikali na haki iko hivyo Kwa maeneo mengi ya Nchi..

Mambo ya biashara ndio mahali pake na hizo vituo vya mafuta ni ishara kwamba kuna biashara kubwa sio tuu hiyo bali hata maduka ni mengi Mji mzima ni biashara..

Mwisho unatakiwa kujua.kwamba Halmashauri ya Mji wa Tunduma imeundwa mwaka 2010 kwa hiyo kwa yaliyofanyika so far naona wamejitahidi Sana maana ndani ya miaka 12 tayari kuna hospital Kubwa ya Mji,stand nzuri ya mpemba,mashule kibao zikiemo English medium za serikali,wanapima viwanja na kupanga Mji,mitaa inaanza kuwekwa na pia kitu kikubwa ni kwamba hapo kuna wageni wengi tofauti na unavyosema maana huo Mji ni WA wahamiaji zaidi..
Kuhusu biashara wadau wengi wanadai mzunguko ni mkubwa ukifananisha na miji kama mbeya iringa n.k,kuhusu kukua kwa makazi ya watu ni kweli kule katenjele na msongwa inajengwa mijengo kwa kasi maana wayback mpemba palikuwa kijijini ila saizi standkuu hospital kuu,car parkings na viwanja vya burudan ndio mahala pake,lakini mkuukwanini unaizungumzia kahama negative kias hicho?
 
Nakulia time umalize vipicha picha vyako harafu nitakujia na picha za Tunduma uaibike,just wait.
Mkuu tunduma nzima hakuna hotel ya kuifikia hii kwenye picha hakuna cha nyati,ik,ukinga hill wala olimpia yenye hadhi hiyo,unajua tanzania yote ni yetu so hakuna haja ya kuweka uwongo ili tu mahala flani paonekane pako juu,kuna watu kupitia hizi mada watataman kufika eneo kutokana na sifa ulizotaja halafu wakute mambo ni tofauti sana na faida ya hii mijadala haitakuwepo
 
Fursa inaanza na wewe mwenyewe kuiona na kuitengeneza katika mazingira yoyote yanayokuzunguka. Fursa haifuatwi popote chief, inatengenezwa na wewe!
 
Hvyo vi hotel vyako kwa kahama ni vihotel vya uchocholoni.kahama ni munispal .tundumu ni halimashauli ya mji.mzunguko wa pesa kahama huwezi linganisha na tunduma.tunduma Kuna vibajaji vingi,pikipiki za kuhesabu tax hazizidi 20 mji mzina.kahama Kuna baiskel,bajaji za kutosha ,pikipiki za kutosha mabasi ya kutosha kwenda mikoa zaidi ya 14.kahama Ina Magali ya abilia kama hiace ya kwenda sehem nyingi tofauti kama ushilombo,kagongwa,shy,tinde,isaka,lunzewe kwa njia nyingi tofauti tofauti.ila tunduma inanjia 4 tu.ya kwenda Malawi,ambayo Gali zake ni chache sana.kwenda boda hakuna hiace kabisa,kwenda njia ya mbeya ndio Kuna coster na hiace za kwenda mlowo.mpaka mbeya.njia ya sumbawanga napo Kuna hiace japo ni chache sana.ila kwa kahama Kuna njia zote isaka mpaka shy Gali kibao.njia ya masumbwe Gali kibao njia ya short cut ya kutokezea tabora zipo kibao njia ya kwenda kakola zipo kibao njia ya kutokezea msalala Gali zipo kibao.mzunguko wa pesa kahama upo zaidi kwa kuwa kahama ndio sehem kuu ya kununua bidhaa kwa miji yote iliyoizunguka iliyo na migodi na isiyo na migodi tofauti na tunduma.tunduma vitu vinabei ya juu.ukivuka border unaenda kununua kuanzia nguo,vitenge mafuta,viatu,petrol vyote vipo chini kuliko tunduma.tunduma malori na mpaka ndio vinavyouchangamsha mji.kuanzia kule kwa mpemba zile yard za Magali na gest ndio zinazoupatia mji wa tunduma mapato.ila kahama Kuna kilimo Cha mpunga,migodi,na biashara
Gali = gari. Kwa huu uandishi wako basi Kahama ina bahati mbaya ya kupata mkazi aliyeenda shule kusomea ujinga.
 
Watu muelewe kwamba fursa inaanza na wewe mwenyewe. Hata ungeishi huko Ndanda kama tayari macho yameona fursa utatoboa tu. Kuna ambao wamefanikiwa wakiwa Kahama na wengine Tunduma kutegemea na palipomfaa yeye. Nikirudi kwenye topic mimi ninaona Tunduma pako poa kuliko Kahama endapo hutakuwa mwoga na uwe na spidi kali. Ule mji wa Tunduma ni wa kibabe mno. Pale kuna wafanyabiashara wenye noti ndefu mno. Kwa mfano kitu kama nguo unapata kwa bei sawa na Kkoo. Ukiwa sharp na sio mwoga nenda Tunduma utapiga hela. Ile boda ina mambo mengi mno. Kwa biashara nadhani Tunduma ni bora kuliko hata Arusha.
 
Mkuu tunduma nzima hakuna hotel ya kuifikia hii kwenye picha hakuna cha nyati,ik,ukinga hill wala olimpia yenye hadhi hiyo,unajua tanzania yote ni yetu so hakuna haja ya kuweka uwongo ili tu mahala flani paonekane pako juu,kuna watu kupitia hizi mada watataman kufika eneo kutokana na sifa ulizotaja halafu wakute mambo ni tofauti sana na faida ya hii mijadala haitakuwepo
Acha kulia lia subiria nitakuja na majibu..

Kwanza ile hotel ya pale Sogea ghorofa 6 imekamilika au bado? Last time ilikuwa inafanyiwa cladding..

Humu hatushindanishi hotel pekee Bali miundombinu yote kwa ujumla so bado sijaweka ghorofa nyingi Sana za Tunduma..

Nyie watu wa Tunduma kama hamtaki kuweka nitaweka mwenyewe siku nitakapokuja huko..
 
Kuhusu biashara wadau wengi wanadai mzunguko ni mkubwa ukifananisha na miji kama mbeya iringa n.k,kuhusu kukua kwa makazi ya watu ni kweli kule katenjele na msongwa inajengwa mijengo kwa kasi maana wayback mpemba palikuwa kijijini ila saizi standkuu hospital kuu,car parkings na viwanja vya burudan ndio mahala pake,lakini mkuukwanini unaizungumzia kahama negative kias hicho?
Acha dharau wewe,Tunduma ya wapi yenye mzunguko kukaribia wa Mbeya?

Kama kuna mzunguko mbona unasema hakuna hotel zenye hadhi?

Hata kwenye makazi bado ujenzi ni uke wa kishamba tuu kama Kahama huwezi linganisha na Vwawa sababu ni kwamba miji ya kichuuzi huwa imejaa wafanyabiashara washamba tofauti na miji yenye taasisi nyingi za serikali kunakuwa na nyumba nzuri na zaina tofauti tofauti badala ya kuigana kwa kunyenyua mapa juuuu..

Nataka kujua ile hotel pale Sogea iko tayari au bado?
 
Back
Top Bottom