Kaimu Balozi wa Marekani, Dkt. Inmi Patterson kuondoka Tanzania

Kaimu Balozi wa Marekani, Dkt. Inmi Patterson kuondoka Tanzania

Tulisema hana muda huyo chezea JPM, hata kabla ya uchaguzi. Bado wa UK anawashiwa moto London hatachukua round. Tutaona chacha Ka-zito chijui katakuwa kanakimbilia wapi haka kakuwadi. Milango yote itafungwa na chuma cha pua. Walishindwa kina Henry Kissinger itakuwa hawa vibaka.

Marekani inaichukia sana Tanzania ya sasa sababu haifuati agenda zao 100%.
Corona imeleta kizungumkuti
 
Alikua anakaimu nafasi gani?,nini maana ya kukaimu?
Alikua anakaimu nafasi ya balozi wa Marekani hapa nchini. Kukaimu ni kitendo cha kushika madaraka/nafasi ya kazi kwa muda, wakati mhusika hayupo ofisini.
 
Alikua anakaimu nafasi ya balozi wa Marekani hapa nchini. Kukaimu ni kitendo cha kushika madaraka/nafasi ya kazi kwa muda, wakati mhusika hayupo ofisini.

Kukaimu kwa kazi maalum.
 
Tuna Mungu hill tu latosha ndiyo maana anaondoka Pasi na kupenda akituachia nchi yetu nzuri. Hata atakayekuja atashika adabu tu mkuu tuliyenaye hahongwi vyandarua tunaweza kutengeneza wenyewe.
 
Ndivyo ulivyo kariri, kuna vichwa vugumu sana hapa duniani.
Kweli kabisa, vichwa vigumu vinavyoamini balozi wa Marekani akiondoka baada ya kumaliza muda wake ni Magufuli kamfukuza akijimwambafy kwa Marekani! What a primitive thought!
 
Kweli kabisa, vichwa vigumu vinavyoamini balozi wa Marekani akiondoka baada ya kumaliza muda wake ni Magufuli kamfukuza akijimwambafy kwa Marekani! What primitive thought!

Utamchukia JPM lakini kwa uzuzu wako huwezi kumfanya kitu chochote, yeye ndiye rais upende usipende. Imekula kwako big time. Sisi tunakula matango tu.
 
Utamchukia JPM lakini kwa uzuzu wako huwezi kumfanya kitu chochote, yeye ndiye rais upende usipende. Imekula kwako big time. Sisi tunakula matango tu.
Sawa basi. Magufuli kamfukuza Balozi wa Marekani toka Tanzania. Furahi kanywe bia basi ukirudi imba Magufuli oyeee kwa mkeo.
 
Huyu kaimu Balozi alikuwa kipinzani, alikuwa anaipinga sana serikali ya JPM, kheri aondoke zake.
 
Yule wa Uingereza nae anaondoka?

Mbona kwa pamoja hawa madau wetu wa maendeleo? Au ndio zinakuja "bunduki kubwa" kwa shughuli ya Oktoba!?
 
Kama shauri lake litakuwa dhidi ya huyo anayemlalamikia, mahakama pia haitamsaidia.
Hiki ni kipindi cha uchaguzi, kama anajiona anafaa kuongoza au ana chama kinachoweza kufanya makubwa zaidi ya awamu hii, basi achukue fomu aje atushawishi kwa kuuza sera zake mwezi October, vinginevyo anaonekana anajua kulalamika tu.
 
Bora aondoke. Tulikuwa tumechoka fitina na maneno yake ya uchochezi.
 
Hiki ni kipindi cha uchaguzi, kama anajiona anafaa kuongoza au ana chama kinachoweza kufanya makubwa zaidi ya awamu hii, basi achukue fomu aje atushawishi kwa kuuza sera zake mwezi October, vinginevyo anaonekana anajua kulalamika tu.
Karatasi pekee haitompa nafasi ya uongozi.
 
Kwani we hiyo thamani inakupa kulipa bills?
Hebu acheni race inferiority.
Wetu weusi tunajidharau sana mpaka tunaboa
Jipe kwanza wewe mwenyewe thamani ndio mwingine aakupe thamani unayotaka
👌👏
 
Back
Top Bottom