Kama shauri lake litakuwa dhidi ya huyo anayemlalamikia, mahakama pia haitamsaidia.Sasa mkuu, kama umenyanyaswa na ushahidi unao, kwa nini usifungue shauri ili liamuliwe mahakamani?.. Hii tabia ya kuja kulalamika huku unadhani itakusaidia?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama shauri lake litakuwa dhidi ya huyo anayemlalamikia, mahakama pia haitamsaidia.Sasa mkuu, kama umenyanyaswa na ushahidi unao, kwa nini usifungue shauri ili liamuliwe mahakamani?.. Hii tabia ya kuja kulalamika huku unadhani itakusaidia?.
All US Embassies have a capability to withstand 24hr fighting.
Wakishindwa wanaagizwa toka Kenya au Djibouti
Sasa huyo balozi amewasaidia nini zaidi ya kuratibu mipango ya kigaidi kule MKIRU?Tumeachwa Yatima...tuendelee kuteswa na kuuliwa!
Ushahidi gani sasa unataka.Weka ushahidi?
Walitupatia hadi vyandarua kwa ajili ya kudhibiti mbu....!!!! Very shameful.Sasa huyo balozi amewasaidia nini zaidi ya kuratibu mipango ya kigaidi kule MKIRU?
Halafu wakatuletea na ugaidi kwa juhudi zetu tumewashinda, wajipange tena.Walitupatia hadi vyandarua kwa ajili ya kudhibiti mbu....!!!! Very shameful.
Na mama yako kasitiriwa piaili nijibu upuuzi wako hebu angalia hiyo video ya balozi , uone jinsi wazungu walivyoisitiri nchi yako
Youtube naona tunaropoka tu.Ila mjue tu kuwa tunavyoaminishwa ujinga wa ubeberu hata zimbabwe waliaminishwa hivyo hivyo ila alieumia ni mwananchi wa chini
Ushahidi gani sasa unataka.
Kumbuka kwamba huyu hakuwa balozi kamili, alikuwa anakaimu tu.Huyu alikuwa mwanachadema ,aende tu,lazima itakuwa kakataliwa nchini ,badala ya kufukuzwa kama yule wa umoja wa ulaya ,wamemtunzia heshima ya kidiplomasia
Hawajui hawa mkuu waache siku moja waje waandamane pale kiasi cha kutaka kuhatarisha uhai wa balozi ndio watatambua uwepo wa hao watuKwenye ubalozi ni nchi yako? Akiwa NAVY SEAL ila akawa na cover ya secretary wa balozi utajuaje ni mwanajeshi?
Benghazi kulitokea nini?
Kumbe unacho kiandika hukijui kumbe! Wewe aliye kuambia kuwa komando anafundishwa kutegemea bunduki peke yake ni nani? Na kuhusu bunduki hizohizo za kwenu mlizo kuja nazo ndizo atakazo tumia kuwamalizeni.Kwenye mapigano atapigana na mikono mitupu au pistol itauwa jeshi zima?
Kwani Navy seal wao Ni vimbunga?
Asingesalia hapa nchini. Amechagua njia nzuri ya kuondoka baada ya kutakiwa kuchagua ama kufukuzwa au kuondoka kwa hiyari.Huyu alikuwa mwanachadema ,aende tu,lazima itakuwa kakataliwa nchini ,badala ya kufukuzwa kama yule wa umoja wa ulaya ,wamemtunzia heshima ya kidiplomasia
Nyinyi wenye nchi wenyewe hamjiheshimu halafu mnataka wengine wawape heshima.Sasa Kama unataka nipambane na chuki zangu uli-respond kwanini comment yangu?! Wewe kaa kimya...hayakuhusu....Mimi namchukia mama huyo kwa ujinga na ujivuni anaofanya kwa TZ...ni mnafiki mkubwa...Hana heshima kabisa kwa nchi yetu...huwa anaropoka ovyo against TZ kwa issues ambazo Hana uhakika nazo..good ridance
Acha kupotosha watu, Kuna mazingira ya ku deploy commandos, na mengine hayaruhusu. Niishie hapo tu.Kumbe unacho kiandika hukijui kumbe! Wewe aliye kuambia kuwa komando anafundishwa kutegemea bunduki peke yake ni nani? Na kuhusu bunduki hizohizo za kwenu mlizo kuja nazo ndizo atakazo tumia kuwamalizeni.
Unaweza ukaona ni kama moves naelezea Ila katika uhalisia ndio iko hivyo yaani.