Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Najua unajua kitakacho wapataHahaha! Details wakati marekani hapakaliki[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua unajua kitakacho wapataHahaha! Details wakati marekani hapakaliki[emoji23][emoji23][emoji23]
Maccm hayaoni kwamba nchi yetu kitendo cha kuwa na Kaimu Balozi ni ishara kwamba hatuna thamani mbele yao.Sasa walete Full Ambassador, kumuweka Acting Ambassador kwa muda wote huo ni kuonyesha ni jinsi gani wasivyoitilia maanani nchi husika.
Wanaona namna Tanzania ilivyokosa ushawishi kwa sasa kwani nchi sasa hivi inajulikana zaidi kwa mambo ya ukiukwaji wa haki za binadamu kama utekaji watu na kujeruhi wengine.
Yaaani watu wanapenda kudanganya bila hata aibu!
Aondoke tu huyo bibi, tayari ameishaambukizwa unafiki na tabia ya majungu na kutoheshimu mamlaka za nchi mwenyeji. Buriani bibi hata usipokuja tena kutalii hatuwezi kulia. 😡
Why Kenya or Djibouti ?
Kwenye mapigano atapigana na mikono mitupu au pistol itauwa jeshi zima?
Kwani Navy seal wao Ni vimbunga?
Asante kwa ufafanuziDjibouti kuna Military Base ya USA inajulikana kama African Command.
Mombasa wana Military installation
Yaani mmechanganyikiwa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23], mara tume siyo huru,....mara... October CCM inatoka Madarakani kwa kushindwa,....mara marekani itaipa kisago Tanzania....[emoji23][emoji23][emoji23]Tulia tulia tulia subiri kisago
Inferiority complex
Mkuu unaijuaTulisema hana muda huyo chezea JPM, hata kabla ya uchaguzi. Bado wa UK anawashiwa moto London hatachukua round. Tutaona chacha Ka-zito chijui katakuwa kanakimbilia wapi haka kakuwadi. Milango yote itafungwa na chuma cha pua. Walishindwa kina Henry Kissinger itakuwa hawa vibaka.
Huto tujamaa ni twakuhurumiwa tu mkuuYaani mmechanganyikiwa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23], mara tume siyo huru,....mara... October CCM inatoka Madarakani kwa kushindwa,....mara marekani itaipa kisago Tanzania....[emoji23][emoji23][emoji23]
Mawazo ya utopolo [emoji23]
analetwa anae mmudu mzeeTusifurahie kuondoka kwake maana huenda analetwa hatari zaidi kwakuwa uchaguzi upo jikoni......... Tusubiri tuone!
kwani anaondoka kafukuzwa au wamarekni wanaleta baloz mwenyeweTulisema hana muda huyo chezea JPM, hata kabla ya uchaguzi. Bado wa UK anawashiwa moto London hatachukua round. Tutaona chacha Ka-zito chijui katakuwa kanakimbilia wapi haka kakuwadi. Milango yote itafungwa na chuma cha pua. Walishindwa kina Henry Kissinger itakuwa hawa vibaka.
Mkuu unaijua
Consular and diplomatic convention vizuri kweli?
Anapeleka mrejesho wa alicho tumwa
Anapeleka mrejesho wa alicho tumwa
kwani anaondoka kafukuzwa au wamarekni wanaleta baloz mwenyewe