SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mungu wabariki mabeberu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona bado hujafika hapa Meeda?Ujumbe mzuri sana
[emoji38][emoji38]Kweli mkuu maana ukitaka Marekani akufate mpaka chumbani kwako wewe jaribu kuingilia masilahi yakeUjinga ukishika hatamu kiasi cha kuhatarisha maslahi yao hawatakuwa na budi kuingia indirectly
Kwani hata Magu akitaka kuwafilimba huyo balozi atamfanya nni ?Tumeachwa Yatima...tuendelee kuteswa na kuuliwa!
Hizo silaha za kuendesha mapigano zaidi ya masaa 24 kama unavyoeleza wanaziweka wapi? maana yake kukabiliana zaidi ya masaa 24 inatakiwa kikosi kizima Cha Askari wenye silaha nzito, kuanzia mizinga miepesi mpka vifaru!Hawapo pale kama wanajeshi ila huwa wapo kama moja ya wafanyakazi wa ubalozi wao ila wao ndio wanajijua nani ni nani
Kanywe chang'aa na mwenyekiti wako! Hujitambui, unamhusisha Mungu na upumbavu wa kisiasa!Tatizo kutokana na umasikini wa bando hamuangalii hizo video mnazowekewa
Ajaribu aone....Kwani hata Magu akitaka kuwafilimba huyo balozi atamfanya nni ?
Weka ushahidi?Sidhani kama unamfahamu Dr. Henry Kissinger, unaongea tu wewe.
Hebu peleka huko ujinga na uongo, ubalozi Ni kwa ajili ya uhusiano wa nchi kidiplomasia, balozi anaweza kufukuzwa na ubalozi kufungwa,Pale ubalozini ni sawa na nchini kwao. Wakiwa pale wanaweza kufanya chochote ndani ya eneo lao.
Kwa akili zako sijui ulielewa nini
Hoja zimekushinda sasa umebaki kuwewesekaweweseka tu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeUnaweza kuthibitisha pasi na shaka kuwa baba yako, yaani mme wa mmako ndiye aliyempa mmako mimba yako?
Huu ni mchanganyiko wa stori za vijiweni na movie za kutafsiriwa. Navy seal wanakuwa mobilized kunapokuwa na operation wanaenda kui execute hawawezi tu kukaa sehem kama G4S. Unajua kwanza navy seal ni kikosi gani na kina shughulika na nini hadi ukawaweke tu ubalozini wanapiga stori ?Pale pamekamilika mkuu kuna mpaka wale wanao itwa US NAVY SEAL. Ila ukienda pale huwezi jua hata ndio wenyewe maana wapo wapo tu kama vile hawapo ila ndio wapo hivyo wanasubiri mjichanganye muone shughuli yao ilivyo.
Acheni kudanganyana, Sheria ya nchi huru hairuhusu jeshi la taifa jingine kuingia na kufanya shughuli za kiulinzi ndani ya nchi nyingine isipokuwa kwa makubaliano na manufaa baina ya nchi hizo au maamuzi ya pamoja ya baraza la Umoja wa mataifa( UNSC)
Mnakuza Sana Mambo!!
Hahaha! Details wakati marekani hapakaliki[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo tayari kesha kusanya details zote muhimu wanazo zihitaji kuhusu mambo yoote waliyo kuwa wanayapigia kelele
Yaaani watu wanapenda kudanganya bila hata aibu!Huu ni mchanganyiko wa stori za vijiweni na movie za kutafsiriwa. Navy seal wanakuwa mobilized kunapokuwa na operation wanaenda kui execute hawawezi tu kukaa sehem kama G4S. Unajua kwanza navy seal ni kikosi gani na kina shughulika na nini hadi ukawaweke tu ubalozini wanapiga stori ?
Kwenye mapigano atapigana na mikono mitupu au pistol itauwa jeshi zima?Kwenye ubalozi ni nchi yako? Akiwa NAVY SEAL ila akawa na cover ya secretary wa balozi utajuaje ni mwanajeshi?
Benghazi kulitokea nini?
Why Kenya or Djibouti ?Ndio maana nikasema wakidiwa reinforcement itatoka Kenya au Djibouti