HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kosa la Hillary alikataa wale Seals wasiingilie.
Aangalia hata movie
Aangalia hata movie
Libya ilikuwaje?
Na Djibouti iko pale pale ubavuni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Libya ilikuwaje?
Na Djibouti iko pale pale ubavuni?
Hawana lolote ni UTOPOLO tu [emoji3] [emoji3]Pale pamekamilika mkuu kuna mpaka wale wanao itwa US NAVY SEAL. Ila ukienda pale huwezi jua hata ndio wenyewe maana wapo wapo tu kama vile hawapo ila ndio wapo hivyo wanasubiri mjichanganye muone shughuli yao ilivyo.
Mnajua kumtetea mungu wenu muuajiTulisema hana muda huyo chezea JPM, hata kabla ya uchaguzi. Bado wa UK anawashiwa moto London hatachukua round. Tutaona chacha Ka-zito chijui katakuwa kanakimbilia wapi haka kakuwadi. Milango yote itafungwa na chuma cha pua. Walishindwa kina Henry Kissinger itakuwa hawa vibaka.
Wanajua kumtetea mungu wenu muuaji
Hakuna lolote usitutishe ,huyo muda wake umeisha.Tunatamani na wa nchi fulani kubwa naye aondoke kwa sababu ya mienendo yao ya kutaka tufanye wanavyotaka lakini kwa bahati mbaya wakadunda.Tunaomba huyo anayekuja awe hatari zaidi ili naye aijue vizuri Tanzania ya sasa.Tusifurahie kuondoka kwake maana huenda analetwa hatari zaidi kwakuwa uchaguzi upo jikoni......... Tusubiri tuone!
Sidhani kama unamfahamu Dr. Henry Kissinger, unaongea tu wewe.Tulisema hana muda huyo chezea JPM, hata kabla ya uchaguzi. Bado wa UK anawashiwa moto London hatachukua round. Tutaona chacha Ka-zito chijui katakuwa kanakimbilia wapi haka kakuwadi. Milango yote itafungwa na chuma cha pua. Walishindwa kina Henry Kissinger itakuwa hawa vibaka.
Tatizo kutokana na umasikini wa bando hamuangalii hizo video mnazowekewaUsimuamrishe Mwenyezi Mungu kufanya ujinga wako!
Waulize Waarabu wa LibyaHawana lolote ni UTOPOLO tu [emoji3] [emoji3]
Mungu ni mkubwaMungu wabariki Wazungu
Hawapo pale kama wanajeshi ila huwa wapo kama moja ya wafanyakazi wa ubalozi wao ila wao ndio wanajijua nani ni naniAcheni kudanganyana, Sheria ya nchi huru hairuhusu jeshi la taifa jingine kuingia na kufanya shughuli za kiulinzi ndani ya nchi nyingine isipokuwa kwa makubaliano na manufaa baina ya nchi hizo au maamuzi ya pamoja ya baraza la Umoja wa mataifa( UNSC)
Mnakuza Sana Mambo!!
bora aondoke, mwishoni aligeuka mfitini, mwenye jeuri na kiburi dhidi ya nchi yetu.
Aligeuka mtu wa majungu mwenye kutoa matamko daily kuwa tuna korona kibao dar, halafu wakati huohuo akidai viongozi wetu hawajatoa takwimu kwa miezi kibao. sasa alijuaje tuna korona kibao bila data?
Mbona huko kwao USA siku hizi zile daily briefings juu ya hali ya korona zimeisha na hawajafanya zaidi ya wiki mbili sasa?
Tanzania ni nchi huru hivyo sio rahisi wafanye hivyoWanaweza wakasaidia kupindua meza mwezi wa 10
Unaweza kuthibitisha pasi na shaka kuwa baba yako, yaani mme wa mmako ndiye aliyempa mmako mimba yako?Mkuu unaongea majungu huna ushahidi wowote. I am not interested in roomer mongers. Njoo na facts hapa then tujadili kwa uwazi kama ilivyokuwa JF kabla haijauzwa kwa bei ya peremende.
Tusifurahie kuondoka kwake maana huenda analetwa hatari zaidi kwakuwa uchaguzi upo jikoni......... Tusubiri tuone!
Ujinga ukishika hatamu kiasi cha kuhatarisha maslahi yao hawatakuwa na budi kuingia indirectlyTanzania ni nchi huru hivyo sio rahisi wafanye hivyo
Dua la kuku hilo, subirini pigo mtakalo kutana nalo mara baada ya huyo mama kufika kwaoMungu wasambaratishe cdm