Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Regardless the enemy's ability ?All US Embassies have a capability to withstand 24hr fighting.
Wakishindwa wanaagizwa toka Kenya au Djibouti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Regardless the enemy's ability ?All US Embassies have a capability to withstand 24hr fighting.
Wakishindwa wanaagizwa toka Kenya au Djibouti
Pale pamekamilika mkuu kuna mpaka wale wanao itwa US NAVY SEAL. Ila ukienda pale huwezi jua hata ndio wenyewe maana wapo wapo tu kama vile hawapo ila ndio wapo hivyo wanasubiri mjichanganye muone shughuli yao ilivyo.Hivi pale ubalozini huwa pana Us Army ?
Waarabu wa Libya chamoto walikiona paleLibya ilikuwaje?
Na Djibouti iko pale pale ubavuni?
Wanaweza wakasaidia kupindua meza mwezi wa 10Pale pamekamilika mkuu kuna mpaka wale wanao itwa US NAVY SEAL. Ila ukienda pale huwezi jua hata ndio wenyewe maana wapo wapo tu kama vile hawapo ila ndio wapo hivyo wanasubiri mjichanganye muone shughuli yao ilivyo.
Sasa ulitaka atuage vibaya au?
Usimuamrishe Mwenyezi Mungu kufanya ujinga wako!Mungu wabariki Wazungu
Wapo marines pale, wao kwenye Balozi zao huwa wanazunguka kila baada ya muda flani wanakuja wengine (Wapita njia).Hivi pale ubalozini huwa pana Us Army ?
Toa uongo wako! Unajua 24 hrs intensive fire? HahahaAll US Embassies have a capability to withstand 24hr fighting.
Wakishindwa wanaagizwa toka Kenya au Djibouti
Usidhani atakayekuja ataavaa kofia ya kijani na kujikinga praise teamTulisema hana muda huyo chezea JPM, hata kabla ya uchaguzi. Bado wa UK anawashiwa moto London hatachukua round. Tutaona chacha Ka-zito chijui katakuwa kanakimbilia wapi haka kakuwadi. Milango yote itafungwa na chuma cha pua. Walishindwa kina Henry Kissinger itakuwa hawa vibaka.
Acheni kudanganyana, Sheria ya nchi huru hairuhusu jeshi la taifa jingine kuingia na kufanya shughuli za kiulinzi ndani ya nchi nyingine isipokuwa kwa makubaliano na manufaa baina ya nchi hizo au maamuzi ya pamoja ya baraza la Umoja wa mataifa( UNSC)Pale pamekamilika mkuu kuna mpaka wale wanao itwa US NAVY SEAL. Ila ukienda pale huwezi jua hata ndio wenyewe maana wapo wapo tu kama vile hawapo ila ndio wapo hivyo wanasubiri mjichanganye muone shughuli yao ilivyo.
Huyu alikuwa mwanachadema ,aende tu,lazima itakuwa kakataliwa nchini ,badala ya kufukuzwa kama yule wa umoja wa ulaya ,wamemtunzia heshima ya kidiplomasia
Usidhani atakayekuja ataavaa kofia ya kijani na kujikinga praise team
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale ubalozini ni sawa na nchini kwao. Wakiwa pale wanaweza kufanya chochote ndani ya eneo lao.Acheni kudanganyana, Sheria ya nchi huru hairuhusu jeshi la taifa jingine kuingia na kufanya shughuli za kiulinzi ndani ya nchi nyingine isipokuwa kwa makubaliano na manufaa baina ya nchi hizo au maamuzi ya pamoja ya baraza la Umoja wa mataifa( UNSC)
Mnakuza Sana Mambo!!
Nadhani huyu bibi alipaswa kuaga kule wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa kama diplomasia inavyotaka,inaelekea huyu bibi ni kilaza fulani hivi au amefungishwa vilago.Huyu alikuwa mwanachadema ,aende tu,lazima itakuwa kakataliwa nchini ,badala ya kufukuzwa kama yule wa umoja wa ulaya ,wamemtunzia heshima ya kidiplomasia
Toa uongo wako! Unajua 24 hrs intensive fire? Hahaha
Kumbe huna hata uhakikaHuyu alikuwa mwanachadema ,aende tu,lazima itakuwa kakataliwa nchini ,badala ya kufukuzwa kama yule wa umoja wa ulaya ,wamemtunzia heshima ya kidiplomasia
Regardless the enemy's ability ?