HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hawaleti Balozi anateuliwa Kaimu
analetwa anae mmudu mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
analetwa anae mmudu mzee
Hujajibu maswali ambayo na shida nayo kwenye ubalozi ni nchi yako?Kwenye mapigano atapigana na mikono mitupu au pistol itauwa jeshi zima?
Kwani Navy seal wao Ni vimbunga?
13 Hours in Benghazi.Libya ilikuwaje?
Na Djibouti iko pale pale ubavuni?
Sio wa urais hataMrejesho upi wakati USA hawafahamu nani atakuwa rais?
Lipo, sema ni dogo maana Balozi ni mwakilishi wa Rais hivyo ile ni Ikulu kiitifakiHivi pale ubalozini huwa pana Us Army ?
Linaweza kuleta jambisha jambisha hapo Dsm kwa masaa kadhaaa ?Lipo, sema ni dogo maana Balozi ni mwakilishi wa Rais hivyo ile ni Ikulu kiitifaki
Tena kutoka NSA,former analyst wa dawati la "mission thunderstorm".Anakuja Balozi rasmi
Hata akija huyo balozi halisi, taratibu za kidiplomasia hazibadiliki,zitambana tu, kama hakuzifuata atafuata nyayo pia! Hii ni nchi huru yenye mamlaka kamili kimataifa.Huyo alikuwa ni kaimu tu, atakuja balozi halisi. Ila atakayekuja atakutana na ripoti ya huyu anayeondoka. Kwa taarifa yako kwakuwa kuna utawala wa shuruti, hata atakayekuja atafanana na huyu huyu.
Hata akija huyo balozi halisi, taratibu za kidiplomasia hazibadiliki,zitambana tu, kama hakuzifuata atafuata nyayo pia! Hii ni nchi huru yenye mamlaka kamili kimataifa.
Sasa mkuu, kama umenyanyaswa na ushahidi unao, kwa nini usifungue shauri ili liamuliwe mahakamani?.. Hii tabia ya kuja kulalamika huku unadhani itakusaidia?.Mamlaka kamili sio kiongozi kutumia mamlaka yake kuwanyanyasa wasiomsujudia.
Huyo nimetokea kumchukia sanaHuyu alikuwa mwanachadema ,aende tu,lazima itakuwa kakataliwa nchini ,badala ya kufukuzwa kama yule wa umoja wa ulaya ,wamemtunzia heshima ya kidiplomasia
Chuki inammaliza mwenye chuki. Kuwa makiniHuyo nimetokea kumchukia sana
How...wewe uliowahi kuwachukia ulimalizwa na chuki?! Au hujawahi kumchukia yeyote.??Chuki inammaliza mwenye chuki. Kuwa makini
Kwanza sina huo muda wa kumchukia mtu. Pambana na chuki zakoHow...wewe uliowahi kuwachukia ulimalizwa na chuki?! Au hujawahi kumchukia yeyote.??
Sasa Kama unataka nipambane na chuki zangu uli-respond kwanini comment yangu?! Wewe kaa kimya...hayakuhusu....Mimi namchukia mama huyo kwa ujinga na ujivuni anaofanya kwa TZ...ni mnafiki mkubwa...Hana heshima kabisa kwa nchi yetu...huwa anaropoka ovyo against TZ kwa issues ambazo Hana uhakika nazo..good ridanceKwanza sina huo muda wa kumchukia mtu. Pambana na chuki zako
amekamilishakaziialiotumwaampwaaaooh ANAHAMISHW nchinyinginrebora aondoke, mwishoni aligeuka mfitini, mwenye jeuri na kiburi dhidi ya nchi yetu.
Aligeuka mtu wa majungu mwenye kutoa matamko daily kuwa tuna korona kibao dar, halafu wakati huohuo akidai viongozi wetu hawajatoa takwimu kwa miezi kibao. sasa alijuaje tuna korona kibao bila data?
Mbona huko kwao USA siku hizi zile daily briefings juu ya hali ya korona zimeisha na hawajafanya zaidi ya wiki mbili sasa?
Uhatari wake hautuhusu! We are s free country!Tusifurahie kuondoka kwake maana huenda analetwa hatari zaidi kwakuwa uchaguzi upo jikoni......... Tusubiri tuone!