zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
Nimemsikiliza huyo Mama hata jina lake sikutaka kulijua.
Anasema Police walifika pale kutuliza ghasia, huku wakirusha au piga risasi juu kwa BAHATI MBAYA ikampata Raia Mmoja.
Nataka kujua hawa waliojeruhiwa walikuwa wamekaa hewani huko zilipo pigwa Risasi.
...huyo mama yupo sawa kweli...alafu anasema wanachunguza, wanachunguza nini wakati Risasi zilipigwa hewani na ilimpata bahati huko huko juu.
Kaimu kamnda wa polisi Mkoa wa Mwanza, Ofisa Mnadhimu
(SO) SSP Lilian Matola ,
alitihibitisha kutokea kwa
vurugu hizo ambazo
zilisababisha kifo bna majeruhi na kwamba jeshi hilo lilingia mtaani kutuliza ghasia hizo ambazo zilidumu kwa saa nne.
Alisema askari mgambo wa jiji wanaotuhumiwa
kusababisha kifo na majeruhi
hao wanashikiliwa na jeshi
hilo kwa ajili ya uchunguzi wa tukio hilo.
Kwa mujibu wa SSP Matola , mgambo hao wa jiji walitumia risasi hizo za moto kwa nia ya kujihami na kundi la
wafanyabiashara hao ambao walikuwa wakiwashambulia kwa mawe..
Aidha Mstahiki Meya wa
Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula,
aakizungumza na wandishi
wa habati kwenye ukumbi wa jiji jana jioni alisema hakukuwa na opereshani
maalumu ya kuwaondo
machinga katika meneo hao bali shughuli za kawaida za halmashauri hiyo kuhakikisha jiji liakuiwa safi.
Anasema Police walifika pale kutuliza ghasia, huku wakirusha au piga risasi juu kwa BAHATI MBAYA ikampata Raia Mmoja.
Nataka kujua hawa waliojeruhiwa walikuwa wamekaa hewani huko zilipo pigwa Risasi.
...huyo mama yupo sawa kweli...alafu anasema wanachunguza, wanachunguza nini wakati Risasi zilipigwa hewani na ilimpata bahati huko huko juu.
Kaimu kamnda wa polisi Mkoa wa Mwanza, Ofisa Mnadhimu
(SO) SSP Lilian Matola ,
alitihibitisha kutokea kwa
vurugu hizo ambazo
zilisababisha kifo bna majeruhi na kwamba jeshi hilo lilingia mtaani kutuliza ghasia hizo ambazo zilidumu kwa saa nne.
Alisema askari mgambo wa jiji wanaotuhumiwa
kusababisha kifo na majeruhi
hao wanashikiliwa na jeshi
hilo kwa ajili ya uchunguzi wa tukio hilo.
Kwa mujibu wa SSP Matola , mgambo hao wa jiji walitumia risasi hizo za moto kwa nia ya kujihami na kundi la
wafanyabiashara hao ambao walikuwa wakiwashambulia kwa mawe..
Aidha Mstahiki Meya wa
Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula,
aakizungumza na wandishi
wa habati kwenye ukumbi wa jiji jana jioni alisema hakukuwa na opereshani
maalumu ya kuwaondo
machinga katika meneo hao bali shughuli za kawaida za halmashauri hiyo kuhakikisha jiji liakuiwa safi.