Kaizer Chiefs wapanda dau Kinshasa, Kampala asusa atishia kwenda FIFA

Kaizer Chiefs wapanda dau Kinshasa, Kampala asusa atishia kwenda FIFA

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Tuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu

Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40

Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.

Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.

YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.

HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
 
Nimekuelewa vizuri hapo kwa daktari wao wa kususa susa, kila wakati jamaa akienda kwao kurudi inakuwa shida, kumbe ana kinyongo bado anawadai, hii tabia utopolo walikuwa nayo sana enzi zile za mabakuli, nashangaa mpaka leo bado wanayo.

Hiyo ya kwenda kumalizia pesa zote kwa kale katoto ambacho Simba SC hawakuwa na habari nacho, hapo ndio napouona ushamba wa viongozi wa utopolo.

Wanashindana na asiyeshindana nao, mwishowe wanajiona wameshinda wanaanza kushangilia, kumbe wakienda sirini wanalia maumivu.
 
We jamaa wewe. 😂

Ukileta uzi mwingine uniite, nina kahka nikuvae yangu imetatuka nataka niipige kiraka.
Hawataki siku hizi kusikia lolote baya la club yao wankushukia kama nyuki ila ukweli ndiyo huo..natamani sana special treatment za ki aziz ziwe high class akutane na reaction za wacongo
 
Kumbuka Rasta Senzo alisema endapo akisepa mayele nayeye ana timka
 
Nimekuelewa vizuri hapo kwa daktari wao wa kususa susa, kila wakati jamaa akienda kwao kurudi inakuwa shida, kumbe ana kinyongo bado anawadai...
alipigwa sound akawakubalia kiungwana sasa anashangaa hili la kumwaga manoti kwa ki aziz tena yooote..kaona ujinga huu si unajua Okwi ndiye mshauri wake? kaambiwa aache ujinga mda wake wa kuimbwa kwenye usajili ushapita akomae na hela
 
Hawataki siku hizi kusikia lolote baya la club yao wankushukia kama nyuki ila ukweli ndiyo huo..natamani sana special treatment za ki aziz ziwe high class akutane na reaction za wacongo
Wakimuendekeza wataharibu timu.
 
Kumbuka Rasta Senzo alisema endapo akisepa mayele nayeye ana timka
Huyo aliyesema mojawapo ya kuondoka simba ni kumsajili morrison aisye na nidhamu..na juzi umesikia alichosema? hivi kuna wanafiki kama wa south africa?

CEO unatuma e mail tarehe 14 juzi kuahirisha kambi? sasa gharam wanalipishwa zilezile walichosave labda nauli ya ndege...ngoma morogoro kujipima nguvu na moro kids na mtibwa
 
Kolo wizard katika ubora wako

Hii stori kumbe inaendelee?

Hata walio leta story ya mayele kwenda Kaizer wamesanda..

Tumuache jamani aendelee kubaki ligi kuu kwanini anaogopeka kiasi hiki wakati yeye ni chezaji wa kawaida tu.?

IMG_0630.jpg
 
Hii stori kumbe inaendelee?

Hata walio leta story ya mayele kwenda Kaizer wamesanda..

Tumuache jamani aendelee kubaki ligi kuu kwanini anaogopeka kiasi hiki wakati yeye ni chezaji wa kawaida tu.?

View attachment 2292658
Trevor Noah au Idriss Elba hawahusiani na hili mkuu..yes habari inaendelea kaizer chiefs wameboresha offer kwa mchezaji na wamiliki wa mchezaji huyo yaani Maniema fc ya congo
 
Kumbuka Rasta Senzo alisema endapo akisepa mayele nayeye ana timka

Yule sio mzalamo. [emoji23][emoji23]

Ana uhakika na anachokisema.

By the way Jana asubuni kaingia South africa ( KAIZER CHIEFS) kukamilisha ITC ya Kambole Lazarous.
 
Trevor Noah au Idriss Elba hawahusiani na hili mkuu..yes habari inaendelea kaizer chiefs wameboresha offer kwa mchezaji na wamiliki wa mchezaji huyo yaani Maniema fc ya congo
Kwani kuna ubaya akipata deal zuri?
 
Back
Top Bottom