Kaizer Chiefs wapanda dau Kinshasa, Kampala asusa atishia kwenda FIFA

Kaizer Chiefs wapanda dau Kinshasa, Kampala asusa atishia kwenda FIFA

Tuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu

Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40

Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.

Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.

YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.

HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
Timu unayoizungumzia hapa ni ile inayoingiza zaidi ya bilioni 3 kutoka Azam media kwa mwaka. Sijui unawezaje kuwaingiza kwenye vistori uchwara!!! Mlisema Yanga hawezi kumchukua Djuma Shaban (akatua). Mkaja na issue ya Aziz Ki (akatua). Sasa tumewazoea
 
yaani mtu kambi ingegharimu usd 87,000 excluding tickets za ndege probably na drinks, foods unakosea masharti unaandika email ya kuahirisha tarehe 14 july ila itabidi ulipe ileile usd 87,000 halafu watu wanasifia eti tumemsikiliza kocha , tangu booking inafanyika june kocha hakusikilizwa, Azizi ki kawakazia kuchukua hela nusunusu wapesauka kwelikweli,wakacheze na moro kids pre season huko kijijini
Kama tuliaminishwa ubingwa walichukua kwa kuhonga basi hiyo itakuwa pesa ndogo kwao kulipa.
 
Nimekuelewa vizuri hapo kwa daktari wao wa kususa susa, kila wakati jamaa akienda kwao kurudi inakuwa shida, kumbe ana kinyongo bado anawadai, hii tabia utopolo walikuwa nayo sana enzi zile za mabakuli, nashangaa mpaka leo bado wanayo.

Hiyo ya kwenda kumalizia pesa zote kwa kale katoto ambacho Simba SC hawakuwa na habari nacho, hapo ndio napouona ushamba wa viongozi wa utopolo.

Wanashindana na asiyeshindana nao, mwishowe wanajiona wameshinda wanaanza kushangilia, kumbe wakienda sirini wanalia maumivu.
Wao lengo lao ilikuwa kuwakomoa Simba
 
Kwa yanga hii safari hii mtaandika yote na bado tunawasubiri tuwatembezee bahasha msimu wa ligi mkianza

Muda wa kuvaa vyupi kichwan haupo mbali mtatema Sana mate Kama wajawazito

Kuisema yanga ya msimu ujao n sawa na kumchungulia mama yako akiwa anaoga

Mtameza Sana mate ya uchungu mwaka huu

Yanga Kama unga wa ngano
Hawa ni wa kuhurumia tu, walisema Mayele mbovu wa kawaida sasa hivi anatakiwa na Kaizer Chiefs na mshahara umeongezwa si Kaizer ije ichukue Kibu D wao au defensive striker wao Mugalu au kipenzi chao Mpole

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Tuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu

Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40

Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.

Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.

YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.

HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
Kolo moja puuzi puuzi lilisikika likibwabwaja bila ushahidi
 
Tuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu

Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40

Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.

Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.

YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.

HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
Kwani Morrison akiwa Simba alikuwa anakaa wapi, marehemu Mafisango? Sidhani kama kuna sheria kwamba, wachezaji hawapaswi kukaa nje, nadhani ni suala la utaratibu. Usichukie pindi jirani yako anaponunua gari, maana, anaweza kuwa msaada wa kukuwahisha hospitali pindi utakapozidiwa!
 
Tuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu

Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40

Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.

Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.

YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.

HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
Ulikuwa umepona naona kimekuanza tena, rudi hapa Milembe tuendelee kukupatia tiba!
 
Tuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu

Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40

Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.

Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.

YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.

HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
Makolokolo baada ya kuzidiwa usajili Bora na yanga, mmeanza kitchen party, tulizeni mshono, ngao ya jamii ndio mtahadithiana
 
sasa ile nayo inasumbua? fans wa kaizer chiefs wamefurahi san kuutua ule mzigo...huyo unayesema siyo mzaramo pima maneno yake kwa morrison akienda simba na juzi aliporudi ujue mtu mweusi ni mweusi tu...na nagekuwa na akili timamu hata hiyo hasara ya usd 87,000 isingepatikana

Walete tu hiyo Milioni 600.

Sisi tutaongezea milion 200, inakuwa 800 dirisha dogo Eng Hersi anaenda kuwapelekea Bechem UTD ili OKRAH atue Jangwani.

(Picha haiendani na mada)
IMG_0666.jpg
 
Walete tu hiyo Milioni 600.

Sisi tutaongezea milion 200, inakuwa 800 dirisha dogo Eng Hersi anaenda kuwapelekea Bechem UTD ili OKRAH atue Jangwani.

(Picha haiendani na mada)
View attachment 2292984
Njaalikali ni mpaka ubongo wake una njaa, hii post keshaisahau, hawa makolokolo wana tabu Sana mwaka huu
 
Back
Top Bottom