Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamemtengenezea attention sana, kitu ambacho kitampa pressure katika kutaka ku-prove aliyodhaniwa.Tatizo huyo Aziz FUNGUO wamemjaza MISIFA SANA
hahahaha,mie nimemsaidia kuweka info vzrMkuu unategemea nini na ikiwa source yake mwenyewe mtoa mada
Msaada mkubwa sana kwake ila hana anachojua zaidi ya story za uongo kuifurahisha nafsi yakehahahaha,mie nimemsaidia kuweka info vzr
Timu unayoizungumzia hapa ni ile inayoingiza zaidi ya bilioni 3 kutoka Azam media kwa mwaka. Sijui unawezaje kuwaingiza kwenye vistori uchwara!!! Mlisema Yanga hawezi kumchukua Djuma Shaban (akatua). Mkaja na issue ya Aziz Ki (akatua). Sasa tumewazoeaTuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu
Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40
Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.
Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.
YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.
HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
Kama tuliaminishwa ubingwa walichukua kwa kuhonga basi hiyo itakuwa pesa ndogo kwao kulipa.yaani mtu kambi ingegharimu usd 87,000 excluding tickets za ndege probably na drinks, foods unakosea masharti unaandika email ya kuahirisha tarehe 14 july ila itabidi ulipe ileile usd 87,000 halafu watu wanasifia eti tumemsikiliza kocha , tangu booking inafanyika june kocha hakusikilizwa, Azizi ki kawakazia kuchukua hela nusunusu wapesauka kwelikweli,wakacheze na moro kids pre season huko kijijini
Wao lengo lao ilikuwa kuwakomoa SimbaNimekuelewa vizuri hapo kwa daktari wao wa kususa susa, kila wakati jamaa akienda kwao kurudi inakuwa shida, kumbe ana kinyongo bado anawadai, hii tabia utopolo walikuwa nayo sana enzi zile za mabakuli, nashangaa mpaka leo bado wanayo.
Hiyo ya kwenda kumalizia pesa zote kwa kale katoto ambacho Simba SC hawakuwa na habari nacho, hapo ndio napouona ushamba wa viongozi wa utopolo.
Wanashindana na asiyeshindana nao, mwishowe wanajiona wameshinda wanaanza kushangilia, kumbe wakienda sirini wanalia maumivu.
Wewe ni wale jamaa jinsia ya tatu?ccm inahusiana nini na Maniema fc kuuza mchezaji wao inayommiliki? au Aucho kumaliziwa signing fee yake anayozungushwa toka mwaka jana huku akishuhudia m burkinabe akilamba yote in full?
Hawa ni wa kuhurumia tu, walisema Mayele mbovu wa kawaida sasa hivi anatakiwa na Kaizer Chiefs na mshahara umeongezwa si Kaizer ije ichukue Kibu D wao au defensive striker wao Mugalu au kipenzi chao MpoleKwa yanga hii safari hii mtaandika yote na bado tunawasubiri tuwatembezee bahasha msimu wa ligi mkianza
Muda wa kuvaa vyupi kichwan haupo mbali mtatema Sana mate Kama wajawazito
Kuisema yanga ya msimu ujao n sawa na kumchungulia mama yako akiwa anaoga
Mtameza Sana mate ya uchungu mwaka huu
Yanga Kama unga wa ngano
Kuzidi ya yule wa tetemeko la dunia?Wamemtengenezea attention sana, kitu ambacho kitampa pressure katika kutaka ku-prove aliyodhaniwa.
Player wa kawaida tu yule.
Kolo moja puuzi puuzi lilisikika likibwabwaja bila ushahidiTuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu
Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40
Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.
Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.
YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.
HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
Kwani Morrison akiwa Simba alikuwa anakaa wapi, marehemu Mafisango? Sidhani kama kuna sheria kwamba, wachezaji hawapaswi kukaa nje, nadhani ni suala la utaratibu. Usichukie pindi jirani yako anaponunua gari, maana, anaweza kuwa msaada wa kukuwahisha hospitali pindi utakapozidiwa!Tuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu
Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40
Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.
Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.
YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.
HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
Mayele ni tishio kwa makolo fcHii stori kumbe inaendelee?
Hata walio leta story ya mayele kwenda Kaizer wamesanda..
Tumuache jamani aendelee kubaki ligi kuu kwanini anaogopeka kiasi hiki wakati yeye ni chezaji wa kawaida tu.?
View attachment 2292658
Yupi? Hebu leta ushahidi ni wapi ilisemwa kutakuwa na "tetemeko la dunia"
Ulikuwa umepona naona kimekuanza tena, rudi hapa Milembe tuendelee kukupatia tiba!Tuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu
Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40
Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.
Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.
YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.
HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
Makolokolo baada ya kuzidiwa usajili Bora na yanga, mmeanza kitchen party, tulizeni mshono, ngao ya jamii ndio mtahadithianaTuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na makanjanja ikabidi tu wampe yooote na kuharibu balance ya mahesabu ya kambi uturuki hivyo kupelekea juzi CEO GENIUS kabisa Senzo kuandika e mail huyo Turkey ya kuahirisha kambi lakini ilikuwa too late so lazima walipe usd 87,000 fidia yaani millions 200 au FIFA itawahusu
Wakati hayo yakijiri na wazee wa propaganda wakituaminisha kwamba haina shida kuweka kambi morogoro na kucheza na kina moro kids, mtibwa ili kujipima nguvu ..kazier chiefs wamerudisha majeshi huko kinshasa kwa wamiliki wa Fiston mayele yaani CLUBE MANIEMA wameweka dau la millions 600 na mchezaji kaahidiwa mshahara wa millions 40
Atakataa? wamiliki wake watakataa waendelee kumtoa kwa mkopo? ni suala la muda tu, kama hayo hayatoshi Daktari wa kampala mzee wa kususasusa naye last time alipigwa sound ya kwamba chukua kidogo tutamalizia signing fee iliyobaki huko mbeleni haoni dalili, kasusa simu kazima na katishia kwenda Fifa kushtaki kuna kiongozi mkubwa kapanda ndege kwenda kumbembeleza, tusubiri tuone.
Yote tisa..kumi ni kusubiri kama masharti mawili makubwa ya Ki aziz yatafanyiwa kazi.
YACOUBA ASIACHWE (2)YEYE HATAKI KULALA KAMBINI AWE ANATOKEA NYUMBANI.
HAHAHaaaaaa hilo la pili tamu sana kwa kweli naomba Mungu lifanikiwe huyu kijana awe treated tofauti na wenzake yaani star boy..poster boy fulani hivi amazing.
sasa ile nayo inasumbua? fans wa kaizer chiefs wamefurahi san kuutua ule mzigo...huyo unayesema siyo mzaramo pima maneno yake kwa morrison akienda simba na juzi aliporudi ujue mtu mweusi ni mweusi tu...na nagekuwa na akili timamu hata hiyo hasara ya usd 87,000 isingepatikana
Njaalikali ni mpaka ubongo wake una njaa, hii post keshaisahau, hawa makolokolo wana tabu Sana mwaka huuWalete tu hiyo Milioni 600.
Sisi tutaongezea milion 200, inakuwa 800 dirisha dogo Eng Hersi anaenda kuwapelekea Bechem UTD ili OKRAH atue Jangwani.
(Picha haiendani na mada)
View attachment 2292984