Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kwamba hujui kwamba mleta uzi yeye ndiye anajua kuliko mayeem mwenyewe?Mayele alitoka JS LIKASI na sio AS MANIEMA .,kwenda AS VITA ,kisha YANGA,weka vzr
mayele anatokea na amamilikiwa na js likasi na sio maniemaTrevor Noah au Idriss Elba hawahusiani na hili mkuu..yes habari inaendelea kaizer chiefs wameboresha offer kwa mchezaji na wamiliki wa mchezaji huyo yaani Maniema fc ya congo
hahahahahaKwamba hujui kwamba mleta uzi yeye ndiye anajua kuliko mayeem mwenyewe?
Anazidi kuwa kifuko tu huyu jamaa
πππ
Kwahiyo huyu andazi Maniema kaitolea wapi?hahahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani huoni Takadini kawa mpoleeee, anajua anakuja kuumbuka, wapiii Moro hiyooooNimekuelewa vizuri hapo kwa daktari wao wa kususa susa, kila wakati jamaa akienda kwao kurudi inakuwa shida, kumbe ana kinyongo bado anawadai, hii tabia utopolo walikuwa nayo sana enzi zile za mabakuli, nashangaa mpaka leo bado wanayo.
Hiyo ya kwenda kumalizia pesa zote kwa kale katoto ambacho Simba SC hawakuwa na habari nacho, hapo ndio napouona ushamba wa viongozi wa utopolo.
Wanashindana na asiyeshindana nao, mwishowe wanajiona wameshinda wanaanza kushangilia, kumbe wakienda sirini wanalia maumivu.
sasa ile nayo inasumbua? fans wa kaizer chiefs wamefurahi san kuutua ule mzigo...huyo unayesema siyo mzaramo pima maneno yake kwa morrison akienda simba na juzi aliporudi ujue mtu mweusi ni mweusi tu...na nagekuwa na akili timamu hata hiyo hasara ya usd 87,000 isingepatikanaYule sio mzalamo. [emoji23][emoji23]
Ana uhakika na anachokisema.
By the way Jana asubuni kaingia South africa ( KAIZER CHIEFS) kukamilisha ITC ya Kambole Lazarous.
utakuwa ni mjinga sana kutojua huyo mchezaji anamilikiwa na MANIEMA FC SIYO AS VITAKwahiyo huyu andazi Maniema kaitolea wapi?
Mmepigwa kwenye mshonoooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ndio sample ya vijana wa kitanzania aisee CCM madarakani miaka buku
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
hahahahaha,cjui labda kwakua nayo ni ya drcKwahiyo huyu andazi Maniema kaitolea wapi?
Kiufupi umevuliwa nguo na tupu zako tumeziona.utakuwa ni mjinga sana kutojua huyo mchezaji anamilikiwa na MANIEMA FC SIYO AS VITA
Mkuu bado anabisha huyo hebu mpe nondo kwanza akajifiche vichochoroni.hahahahaha,cjui labda kwakua nayo ni ya drc
Hii stori kumbe inaendelee?
Hata walio leta story ya mayele kwenda Kaizer wamesanda..
Tumuache jamani aendelee kubaki ligi kuu kwanini anaogopeka kiasi hiki wakati yeye ni chezaji wa kawaida tu.?
View attachment 2292658
Kwa huyo mbeba maboksi na mwenzake madomo?Kwa yanga hii safari hii mtaandika yote na bado tunawasubiri tuwatembezee bahasha msimu wa ligi mkianza
Muda wa kuvaa vyupi kichwan haupo mbali mtatema Sana mate Kama wajawazito
Kuisema yanga ya msimu ujao n sawa na kumchungulia mama yako akiwa anaoga
Mtameza Sana mate ya uchungu mwaka huu
Yanga Kama unga wa ngano
yaani mtu kambi ingegharimu usd 87,000 excluding tickets za ndege probably na drinks, foods unakosea masharti unaandika email ya kuahirisha tarehe 14 july ila itabidi ulipe ileile usd 87,000 halafu watu wanasifia eti tumemsikiliza kocha , tangu booking inafanyika june kocha hakusikilizwa, Azizi ki kawakazia kuchukua hela nusunusu wapesauka kwelikweli,wakacheze na moro kids pre season huko kijijiniTatizo huyo Aziz FUNGUO wamemjaza MISIFA SANA
Kwakuwa imesemwa Yanga? [emoji23]Hii ndio sample ya vijana wa kitanzania aisee CCM madarakani miaka buku
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Muda utaongea.Hii stori kumbe inaendelee?
Hata walio leta story ya mayele kwenda Kaizer wamesanda..
Tumuache jamani aendelee kubaki ligi kuu kwanini anaogopeka kiasi hiki wakati yeye ni chezaji wa kawaida tu.?
View attachment 2292658
Baada ya uzushi aziz ki hajasaliwa baada ya kujua ukweli wanakuja na motion nyingine ya kuwafarijiHii stori kumbe inaendelee?
Hata walio leta story ya mayele kwenda Kaizer wamesanda..
Tumuache jamani aendelee kubaki ligi kuu kwanini anaogopeka kiasi hiki wakati yeye ni chezaji wa kawaida tu.?
View attachment 2292658
Mkuu unategemea nini na ikiwa source yake mwenyewe mtoa madaMayele alitoka JS LIKASI na sio AS MANIEMA .,kwenda AS VITA ,kisha YANGA,weka vzr