cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Jul 18, 2022 #81 Mac Alpho said: Jamaa hana shule kichwani ila anataka aonekane tu, sisi wazalendo tuna jukumu kubwa la kumkumbusha nafasi yake. Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pigisha kwata hawa utopwiseeee hadi waite maji mma.
Mac Alpho said: Jamaa hana shule kichwani ila anataka aonekane tu, sisi wazalendo tuna jukumu kubwa la kumkumbusha nafasi yake. Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pigisha kwata hawa utopwiseeee hadi waite maji mma.
Smart AJ JF-Expert Member Joined Mar 21, 2022 Posts 5,564 Reaction score 5,884 Jul 19, 2022 #82 njaakalihatari said: alipigwa sound akawakubalia kiungwana sasa anashangaa hili la kumwaga manoti kwa ki aziz tena yooote..kaona ujinga huu si unajua Okwi ndiye mshauri wake? kaambiwa aache ujinga mda wake wa kuimbwa kwenye usajili ushapita akomae na hela Click to expand... Mi huwa nawaambia kuwa ma pro ni wafanya biashara sio mashabiki wa timu zetu jamani[emoji18]
njaakalihatari said: alipigwa sound akawakubalia kiungwana sasa anashangaa hili la kumwaga manoti kwa ki aziz tena yooote..kaona ujinga huu si unajua Okwi ndiye mshauri wake? kaambiwa aache ujinga mda wake wa kuimbwa kwenye usajili ushapita akomae na hela Click to expand... Mi huwa nawaambia kuwa ma pro ni wafanya biashara sio mashabiki wa timu zetu jamani[emoji18]