Kajala: Harmonize ameanza mafunzo ya ubatizo. Kuitwa Gregory

Kajala: Harmonize ameanza mafunzo ya ubatizo. Kuitwa Gregory

ushamba,ulimbukeni,kutaka umaarufu..na kutokujitambua...anauza dini yake kwa kibibi kizee malaya wa tawn tu.
wamakonde sio watu wa kuwaamini

kikuna harmonize ni mtu mzima ana haki na uwezo wa kuchagua imani anayoona ni sahihi kwake. Tunaweza kuwa tulizaliwa kwa imani tulizo nazo na tukazirithi na kuendelea nazo au tukachagua imani tunayoona ni sahihi kwetu baada ya kufika utu uzima

Uhuru wa kuabudu
 
From Rajabu to Gregory..
Under the influence of papuchii
Kuna mmoja aliambiwa kama anamtaka binti basi abadili jina na kuitwa Msabaha akakubali kumbe mbele ya safari alikuwa na malengo ya kuliza
 
Sidhani kama hiyo ni story..........ni wengi tu wanatoka upande mmoja kwenda mwingine
 
Tutajie hao wakristo kibao maarufu wanaobadili dini kila siku
Ni kama Thomas Party wa arsenal, Henry wa arsenal,Frank Ribery...........ni wengi tu na siyo story maana wengi wao hasa hao mastar mademu wa kiarabu ndiyo wanawazuzua......au huwa huoni shangwe la Muslims wanapocomment (alhamudilahi wenyewe wataiweka vizuri) nyingiiii
 
Mwanadada Kajala amesema Harmonize mafunzo ya ubatizo, huku wakijiandaa kuingia kwenye sakramenti ya ndoa. Pia amedai kuwa Harmonize amechagua jina la Gregory.
Ndoa njema.
Amalizie kabisa Gregory Mendel
 
kikuna harmonize ni mtu mzima ana haki na uwezo wa kuchagua imani anayoona ni sahihi kwake. Tunaweza kuwa tulizaliwa kwa imani tulizo nazo na tukazirithi na kuendelea nazo au tukachagua imani tunayoona ni sahihi kwetu baada ya kufika utu uzima

Uhuru wa kuabudu
Tatizo ni kwamba inaonyesha kijana kafanya maamuzi kwasababu kazama sana kwenye mapenzi na sio kwamba kafanya maamuzi kwa kuingia deep kwenye maswala ya dini, kama wanavyofanya wengine.

So kiufupi kijana mapenzi yanamcontrol mpaka inafkia hatua haujui alitendalo.
 
Kwa haraka haraka huwezi kumuelewa Huyu jamaa, ila kwenye kumbukumbu zangu ni muongo sana huyu,

Kuna siku, tuliaminishwa kuwa eti anaitwa Robert na kamvisha Pete Kajala.

Leo kaja na jipya kuitwa Gregory?na uongo mpya akisingiziwa kubatizwa,
Hatari sana na nitakuwa wa mwisho kuamini hili asiifanye Dini yetu kama taasisi ya kufanyia Maigizo yake.

Kama Wanapendana kweli, kwanini Kajala asibadili Dini akamfuata jamaa
 
Mapenzi yana run dunia eeh eeh oooh yesu ni bwana sema tena yesu ni bwanaaaa aya asante asanteeee kaen kwa kutulia sasa
 
[Kama Wanapendana kweli, kwanini Kajala asibadili Dini akamfuata jamaa.]

-Hapo si anayempenda mwenzie zaidi si ndiyo anapaswa kwenda extra miles kama alivyoanzia kwenye bango, magari na sasa hapa ni kufuata lolote analoagizwa ili asiachwe akajikuta analazimika kuweka mabango mengine na kuhonga magari zaidi.
 
Tatizo ni kwamba inaonyesha kijana kafanya maamuzi kwasababu kazama sana kwenye mapenzi na sio kwamba kafanya maamuzi kwa kuingia deep kwenye maswala ya dini, kama wanavyofanya wengine.

So kiufupi kijana mapenzi yanamcontrol mpaka inafkia hatua haujui alitendalo.

Ukimpenda mtu kweli kweli unapenda kila kitu anachokipenda na imani ni kimojawapo
😆😆
 
Back
Top Bottom