Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemshangaa sana huyo jamaa. Hao ndio wale wa kuandika vitu ambavyo hata hawavijui au kwa ushabiki tu na hawana fact.umeandika mwenyew kataka kujua ulichoandika ni akina nan hao wanabadili din kila siku , halaf unauliza uraia wake si kituko hicho ?
ALLAH AKBARKitimoto ni kitamu kuliko mabikira 60 ahera...
Hilo tunalielewa wachache, unadekezwa kama junia 😂 na tunda ni "Service On Demand" wanawake waliokomaa hawanaga drama kabisa.Kuna watu hawatamuelewa Harmonize! Ila kiukweli mapenzi ya wanawake waliokomaa akili (watu wazima) ni matamu sana ukilinganisha na ya wale ambao hawajakomaa.
Msalaba umemwita,au kaitwa na papuchi!!??''Msalaba umemwita'' Neema kubwa sana hii
''YOH 3:16''
😀😀😃😃😄😄😁😁😆😆😅😅🤣🤣🤣😂😂😂Ukijumlisha ushamba na kulazimisha umaarufu ndio vinamgharimu.
Nashangaa sana kuhusu hili suala kama Rajabu lina maana nzuri kuna ulazima gani wa kubadilisha jina?Angetile,Ipyana,Lugano...eti uyabadilishe yawe ya kizungu!kwa hili wanyaki wameonesha kujitambua sana yaani badala ya Lugano iwe Loveness!!!Big No.Huu ni ulimbukeni mbaya sana, kwani akitumia hilo hilo Ramadhani kwenye ukristo lina shida gani? Watanzania hasa wanaotoka kwenye jamii za kishenzi huwa wati wa hovyo sana.
Mwanadada Kajala amesema Harmonize mafunzo ya ubatizo, huku wakijiandaa kuingia kwenye sakramenti ya ndoa. Pia amedai kuwa Harmonize amechagua jina la Gregory.
Ndoa njema.
Unaumia kwa kutingwa na upumbavu,unajua maana ya imani?ushamba,ulimbukeni,kutaka umaarufu..na kutokujitambua...anauza dini yake kwa kibibi kizee malaya wa tawn tu.
wamakonde sio watu wa kuwaamini
Hivi walichek Afya Kwanza?Mwanadada Kajala amesema Harmonize mafunzo ya ubatizo, huku wakijiandaa kuingia kwenye sakramenti ya ndoa. Pia amedai kuwa Harmonize amechagua jina la Gregory.
Ndoa njema.
Wewe uliwahi kubatizwa Kwa jina la Ramadan amaHuu ni ulimbukeni mbaya sana, kwani akitumia hilo hilo Ramadhani kwenye ukristo lina shida gani? Watanzania hasa wanaotoka kwenye jamii za kishenzi huwa wati wa hovyo sana.
Mkuu ulikuwa sahihi sana.🤣Kwa haraka haraka huwezi kumuelewa Huyu jamaa, ila kwenye kumbukumbu zangu ni muongo sana huyu,
Kuna siku, tuliaminishwa kuwa eti anaitwa Robert na kamvisha Pete Kajala.
Leo kaja na jipya kuitwa Gregory?na uongo mpya akisingiziwa kubatizwa,
Hatari sana na nitakuwa wa mwisho kuamini hili asiifanye Dini yetu kama taasisi ya kufanyia Maigizo yake.
Kama Wanapendana kweli, kwanini Kajala asibadili Dini akamfuata jamaa