Mkoko kisu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 757
- 803
Haina haja ya kuumiza akili kwa maamuzi ya mtu mwingne ukizingatia maamuzi yake ayaharibu wala kuathili maisha yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipati picha tangazo kama hili unalitoa ukiwa mitaa flani ya Kandahar! Dah Tanzania tuna uhuru sanaMwanadada Kajala amesema Harmonize mafunzo ya ubatizo, huku wakijiandaa kuingia kwenye sakramenti ya ndoa. Pia amedai kuwa Harmonize amechagua jina la Gregory.
Ndoa njema.
Uhuru wa kuabudu chochote unachokiamini au kutokuabudu kabisa kunakosekana kwenye nchi chache sana za mafala.Sipati picha tangazo kama hili unalitoa ukiwa mitaa flani ya Kandahar! Dah Tanzania tuna uhuru sana
Watanzania tuna uhuru wa kuabudu. Unaweza kuabudu kwenye dini yoyote unayoona inafaaTatizo ni kwamba inaonyesha kijana kafanya maamuzi kwasababu kazama sana kwenye mapenzi na sio kwamba kafanya maamuzi kwa kuingia deep kwenye maswala ya dini, kama wanavyofanya wengine.
So kiufupi kijana mapenzi yanamcontrol mpaka inafkia hatua haujui alitendalo.
Sasa wafurahie kupata harmo? Wamepata hasaraSio jambo la ajabu. Wakristu kibao tena watu maarufu sana wanabadili dini kila siku ili kuwapata wanawake wa kiislam mashombe wa kiarabu.
Mara nyingi mtu mkubwa anapobadili dini waamini wenzake husikitika lakini kule anakokwenda hufurahia kuwa wamepata muumini mpya
Karibu na wewe mkuu, Yesu anakuita toka gizaniAstaghifilillah!😂😂😂😂
Mimi siku nyingi sana nipo na Yesu.Nasangaa kwa nini mmakonde amechelewa hivyo?Karibu na wewe mkuu, Yesu anakuita toka gizani
Hongera na Mungu akutie nguvu brotherMimi siku nyingi sana nipo na Yesu.Nasangaa kwa nini mmakonde amechelewa hivyo?
Muacheni kijana wetu.Ni wakati ambao yupo kwenye mtanziko wa kutaka kutimiza ndoto zake za siku nyingi.Aachwe alambe asali kwa utulivu hadi muda utakapomstua.Mambo ya kutafuta kitumbua haya
hahahaaaa umegusa mfupa " kila siku "Tutajie hao wakristo kibao maarufu wanaobadili dini kila siku
umeandika mwenyew kataka kujua ulichoandika ni akina nan hao wanabadili din kila siku , halaf unauliza uraia wake si kituko hicho ?Unaishi china au bongo?
Ninayo mkuuKamatia mmoja na wewe umdatishe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahKwahiyo yule HamoRapa nae atabadili ajiite GregRapa??
Inapendeza sana, anamtoa mwenzie shimoniDuh aiseeee maisha yanaenda kasi sana
Wewe wataje hao ''Wakristo Kibao'' hata kama jamaa anaishi kuzimuUnaishi china au bongo?