Kajala: Harmonize ameanza mafunzo ya ubatizo. Kuitwa Gregory

umeandika mwenyew kataka kujua ulichoandika ni akina nan hao wanabadili din kila siku , halaf unauliza uraia wake si kituko hicho ?
Nimemshangaa sana huyo jamaa. Hao ndio wale wa kuandika vitu ambavyo hata hawavijui au kwa ushabiki tu na hawana fact.
 
Kuna watu hawatamuelewa Harmonize! Ila kiukweli mapenzi ya wanawake waliokomaa akili (watu wazima) ni matamu sana ukilinganisha na ya wale ambao hawajakomaa.
Hilo tunalielewa wachache, unadekezwa kama junia 😂 na tunda ni "Service On Demand" wanawake waliokomaa hawanaga drama kabisa.
 
Huu ni ulimbukeni mbaya sana, kwani akitumia hilo hilo Ramadhani kwenye ukristo lina shida gani? Watanzania hasa wanaotoka kwenye jamii za kishenzi huwa wati wa hovyo sana.
Nashangaa sana kuhusu hili suala kama Rajabu lina maana nzuri kuna ulazima gani wa kubadilisha jina?Angetile,Ipyana,Lugano...eti uyabadilishe yawe ya kizungu!kwa hili wanyaki wameonesha kujitambua sana yaani badala ya Lugano iwe Loveness!!!Big No.
 
Huu ni ulimbukeni mbaya sana, kwani akitumia hilo hilo Ramadhani kwenye ukristo lina shida gani? Watanzania hasa wanaotoka kwenye jamii za kishenzi huwa wati wa hovyo sana.
Wewe uliwahi kubatizwa Kwa jina la Ramadan ama
 
Mkuu ulikuwa sahihi sana.🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…