Kajala hii sio namna ya uvaaji katika runinga

Kajala hii sio namna ya uvaaji katika runinga

30b857c474d85868a4c82f9eaf6204b1.jpg
194aabaec9948063d088406584ffe681.jpg


Nashangaa shepu hii sio ya kuvaa nguo kama hizi halafu ktk TV
Aspect ratio ya TV yako siyo nzuri
 
Umeandika hivyo nikatamani sana kuuuona

Aidha mwili umesisimka na vinyweleo kusimama.

Hogo hutaki?
Wewe ni mpk uguse ndo utaamini

Bamia tamu na inatibu magonjwa sugu km vidonda vya tumbo
 
Kiukwel..mi napenda kuona wanavaa nguo zisizo na madili,sjui kwanin..sheria ikipita hii nchi itapoteza utamu na sifa yake...hyo nguo ina shida gan kwanza
 
Hivi akibakwa na Wana uchochoroni atashitaki? Kwasababu ndiye anajenga mazingira kwa kuwalingishia
Hao wabakahlji walikua wanasubiria sketi fupi ndo iwashawishi wabake? Watu mna matatizo sana, badala ya kulaumu wabakaji na tabia zao za kishetani, mnamlaumu binti eti kavaa nguo fupi. Na wanaobaka vitoto vinashawishiwaga na nini? Badili mtazamo wako tafadhali. Nyie ndo mnaowapa vichwa wabakaji.
Mbina ulaya watu wanatembea na vichupi na hawabakwi. Mxeeuuuuuuu
 
Hivi akibakwa na Wana uchochoroni atashitaki? Kwasababu ndiye anajenga mazingira kwa kuwalingishia


Abakwe kwani hapa ni Uarabuni? Watu wanaogopa kutongoza wanawake ila wanashikishana kuta na wakiona mwanamke ni kama sumu. Wakimvizia ndipo wanambaka. Tanzania tuna matatizo yetu ila tu wastaarab sana.
 
Back
Top Bottom