Kajala, mwanae wazua "GUMZO" Mlimani city

Yaaani ikifikaga hapo namshukuru Mungu ushamba wangu umenisaidia nimefika hapa lol

hamna sio ushamba kujielewa na wengine kulimbuka na life
mi nlikua napenda sana mziki sass hv nimestaafu kabisa yaani ila kitabu kwanza
 
vibolodinda ngoja tuanze mashambulizi mdogomdogo
 
Imelda nae mbeya, apo unataka kumrusha roho mama ubaya tu huna lolote, sasa apo cha ajabu nn?? Wema mwaego pole wasikuzingue hao na wewe beba mbwa wako ukauze nae sura mliman city

Dah...
Hatar sana...
 
Duh umbea huu ulinipita

Ila watoto wa forondo walikuwa wanaliwa sana na masupastaa uchwara

Jamaa mmoja wa bills (sijui alikuwa anaitwa Charles yule) alikuwa anawatafunajeeee? Kwa kisingizio cha kuandaa maconcert

Hapo hawajaanza kugombea watangazaji wa clouds redio (kina terrence)


 
Tatizo kajala anamuanika sana bintiye...

Na wanaume ni mafisi hawachelewi kumharibu


Ninashangaa kwa kuwa wapo wanaoenda pale na mabinti zao warembo tu,
why kajala kila siku?

Take care kwa binti yako hata hivyo, kama vipi fuga umbwa mkali.
 

kutesa kwa zamu hawajui eehh
 

Wakati nimetoka utumwani huyu Terrence alitaka game ya pool na mimi na mwaka 2000 mchezo wa mapool ulikuwa kwenye makasino tu anajuwa nilichomfanya game tatu zote nilimchapa na demu wangu akawa na amani pale Bills, ila leo ukiniuliza pool hata mwanafunzi anaweza kunifunga niliachaga miaka mingi kucheza.
 

Kwani siku hizi meno haipo? Huwezi vunja mifupa?
 

na zero brain unawakumbuka enzi zao chapa sana,forondo,kisutu zanaki jangwani sana tuuu
 
Ila still ni mzuri bana hana michirizi shape yake haina mabonde kama rift valley ana mvuto wa kiafrica bana

ila sura yake hata aweke pozi gani jamani uuuwiiiiiii, haivutiiiiiiiiiiiiiiiiiii, ndio nishasema.
 
Heheheheh

Terrence alikuwa anagombewaje na mabinti?

Heri ulimtoa shobo

 
Heheheheh

Terrence alikuwa anagombewaje na mabinti?

Heri ulimtoa shobo

yule kijana alikua anapiga sana madada enzi zile ndo mtoto wa mjini madj wa bills pale full kuopoa siku za ladies free
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…