Kajala na mwanae waja na Reality Tv show yao

Kajala na mwanae waja na Reality Tv show yao

Reality show mtaji wake sio lazima uwe na utajiri,umaarufu ndo mtaji muhimu ktk reality show. Na ata maana/definition ya reality show haihusiani na kuonyesha ukwasi bali kuburudisha/ivyo ata ukionyesha maisha ya vijijini ni sawa. Mleta mada unajichanganya kufikiri kuwa ni matajiri tu ndo wanaoruhusiwa kufanya reality show.

Kinachotakiwa ni kuwaunga mkono mama na mwanae kwa kuanza kutumia umaarufu wao kama mtaji wa kujipatia kipato halali. Tafuta na wewe waweza kufanya nini na uanze mara moja badala ya kutaka kumshusha mwenzako ni bora upande nae.

Watu wanapenda kuona vitu unique on Tv , vitu ambavyo ni nadra sana wengine kuwaona wako navyo, vitu vya gharama, Sasa mtu unaendesha vits, unakaa kinondoni, unakula dagaa kila siku , viwanja vyako kidimbwi, nani atapotza mda wa kuangalia?

Ebu tuwaangalie wenzetu huko SA, hakunaga reality show ya watu maskin tukubali tu ,ebu nitafutie reality show moja iliyowah ku hit ya watu maskin, Jaman C muwe mnaangalia reality shows za wenzetu huko nje ???????
 
Reality shows kibongo bongo sijawahi kuona zikifanikiwa.

1- In my shoes - Wema

2- Diary ya Lady Jaydee

3- Chid benz ( miaka ya 2011 )

Anyway, si vibaya kujaribu ila Lamataah naona hapo kabugi, labda atamhusisha mpaka Harmonize maana ni Lobbist mzuri
 
Yule gigy komesha.
Yule kweli ukimpa show matukio kila siku.
Mtapga pesa sana show lazma iwe hot.
Kuna tukio alilifanya huku anarekodiwa live eatv kwa mjumbe wa nyumba kumi sinza ataly sana.
Kasmamisaha shughuli zote za mtaa aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lile tukio lilikuwa kituko cha karne...mjumbe hakuamini kilichotokea ...ila giggy alikuwa amepigika sana sana kipindi hicho...wadau waitaiweka hiyo clip
 
Ile familia Ina ushamba mwingi, mwisho wa siku wangeaibika, reality show inatakiwa mtu uwe umepevuka akili , Uko na exposure ya kutosha, mtu ambaye unajielewa sana

Irene uwoya na uzuri wake wote reality show imemkataa ni akili tu ndo hana, kuna vitu akivifanya angetia aibu kwenye Tv , mastaa wengi hawajui kanuni za kuishi maisha ya kistaa, kuongea, kujielezea, kula , kuvaa how to maintain their status Ndio maana wanaogopa kuumbuka

Wema angeweza kufika mbali Coz ako na exposure,sio mshamba wa mambo ya duniani, pia wema anajua kujielezea she is smart kichwan Ni vile tu alirogwa.

Wasanii wengi wabongo wazur Instagram ila kwenye Tv ukisikiliza wanavyoongea utopolo mtupu kichwan zero
Kama diamond dah yule jamaa kwenye kujieleza kwakweli mmh hajui hata kuchagua maneno ya kuongea
 
Reality shows kibongo bongo sijawahi kuona zikifanikiwa.

1- In my shoes - Wema

2- Diary ya Lady Jaydee

3- Chid benz ( miaka ya 2011 )

Anyway, si vibaya kujaribu ila Lamataah naona hapo kabugi, labda atamhusisha mpaka Harmonize maana ni Lobbist mzuri

Pia usikute waliamua tu kujisemea hakuna cha reality show wala nini
 
Watu wanapenda kuona vitu unique on Tv , vitu ambavyo ni nadra sana wengine kuwaona wako navyo, vitu vya gharama, Sasa mtu unaendesha vits, unakaa kinondoni, unakula dagaa kila siku , viwanja vyako kidimbwi, nani atapotza mda wa kuangalia?

Ebu tuwaangalie wenzetu huko SA, hakunaga reality show ya watu maskin tukubali tu ,ebu nitafutie reality show moja iliyowah ku hit ya watu maskin, Jaman C muwe mnaangalia reality shows za wenzetu huko nje ???????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila binamu wee hapan lol.
 
Kikubwa watengeneze pesa, kama itawaingizia pesa basi heri kwao.
 
Kanye West ni producer maarufu wa hip hop duniani, Majani ni producer maarufu wa hip hop East Africa.

Kajala ni celebrity mlimbwende East Africa mwenye scandals za picha chafu...
Na Paula ni KyleJenner 😛😛😛
 
Kanye West ni producer maarufu wa hip hop duniani, Majani ni producer maarufu wa hip hop East Africa.

Kajala ni celebrity mlimbwende East Africa mwenye scandals za picha chafu
Kim Kardashian ni celebrity mlimbwende duniani mwenye scandal za picha chafu

Kanye West ameachana na Kim Kardashian
Majani ameachana na Kajala.

Kim Kardashian ana reality show ya familia yake
Kajala ana reality show ya familia yake.

Unaona mambo yanavyoenda yanafuatana hapo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mkuu umetisha sana,si kwa comparison hii
 
mleta mada stress za maisha zinakuendesha sana, sijaiona mantiki ya wewe kufoka foka kwenye hii thread, thread nzima imejaa makasiriko utadhani umelazimishwa kupost.
Sure yaani huyu anavyoongea Ana chuki nao badala hata awape moyo yeye anazidi kujivutia chuki na negative emotions anajizungushia.
Nina uhakika huyu jamaa Hana hata nyumba ya two bedrooms,yenye garden nzuri mazingira mazuri ya upepo mwanana anaweza akawa anaishi sehemu imesongamana Sana jirani akipiga chafya dirishani na wewe hapa ndani unarukiwa na vile vimajimaji vya chafya. Nina bet Hana usafiri wake binafsi na hajazi full tank itakuwa ni vibaba kwenda mbele.
Pia kwa akaunti yake Haina 200m pia Hana kazi ya maana ya kuweza kuingiza 100k per day,
Pia na yeye hajasoma na hajabahatika kwenda hata Kenya hapo mpakani namanga jamani.
Yaani mtu mwenye hizo quality kuongea hayo maongezi ni nadra Sana.
Wao wakitombaaww ili life liende kwani ni ya kwake inafanywa jamani.
Maisha ni kuishi na kuchagua unalofurahia kumbuka hutoishi ukiwa kaburini na haujui ni lini utakuwa kaburini
 
Mtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn .

Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality show tukasema kweli hii show kiboko, kwanza maisha yao wengi ni Fake, hawajui kujielezea, hawana exposure yeyote , vigali vyao vyenyewe ndo hivyo hvyo vi Toyota.
Reality show kwa audience gani hapa Bongo?
 
Mtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn .

Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality show tukasema kweli hii show kiboko, kwanza maisha yao wengi ni Fake, hawajui kujielezea, hawana exposure yeyote , vigali vyao vyenyewe ndo hivyo hvyo vi Toyota.

Hivi wanajua maana reality show hawa? Ebu wakachungulie kwanza reality shows za South Africa tu Hapo halafu waje waone kama kweli na wao wanataka kufanya reality show au bongo movie.

Kwa East Africa Zari peke yako ndo atleast ana hadhi ya kufanya reality show ikafanya poa, she is smart , she is living a a life, hajasoma But ako na exposure, anaishi kistaa, Zari kipindi chake hata ulaya wanaweza kuangalia, she is on that level yani , sasa hawa mama ntilie mtu na Mama ake mamburula shule hawana, akili hawana,, kusafir tu Dubai washajione akina kim kardashian mxieew

Kwanza kajala kazubaa sana hana swagg zozote, yani mmeona mmepata kiki kidogo tu mkaamua kupiga picha eti reality show, huyo paula ukimuona live hana huo mvuto ni mzuri tu wa sura, utopolo mtupuView attachment 1815416
View attachment 1815417
vipi diva ana hadhi ya kufanya reality show?
 
Mtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn .

Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality show tukasema kweli hii show kiboko, kwanza maisha yao wengi ni Fake, hawajui kujielezea, hawana exposure yeyote , vigali vyao vyenyewe ndo hivyo hvyo vi Toyota.

Hivi wanajua maana reality show hawa? Ebu wakachungulie kwanza reality shows za South Africa tu Hapo halafu waje waone kama kweli na wao wanataka kufanya reality show au bongo movie.

Kwa East Africa Zari peke yako ndo atleast ana hadhi ya kufanya reality show ikafanya poa, she is smart , she is living a a life, hajasoma But ako na exposure, anaishi kistaa, Zari kipindi chake hata ulaya wanaweza kuangalia, she is on that level yani , sasa hawa mama ntilie mtu na Mama ake mamburula shule hawana, akili hawana,, kusafir tu Dubai washajione akina kim kardashian mxieew

Kwanza kajala kazubaa sana hana swagg zozote, yani mmeona mmepata kiki kidogo tu mkaamua kupiga picha eti reality show, huyo paula ukimuona live hana huo mvuto ni mzuri tu wa sura, utopolo mtupuView attachment 1815416
View attachment 1815417
ivi bado wanauza papuchi
 
Back
Top Bottom