Si azirudishe yaishe!? Kwanini aendelee kukaa na jakamoyo rohoni!?
Aende kwa Wema na sandarusi la minoti na kigodoro juu akifika ambwagie amwambie bibie nimechoka na shobo zako mihela yako hiyo hapo....akimaliza aondoke akisindikizwa na wimbo maarufu wa MAMA AMINAAAAAA.......!!!!!!!
Haa..haa....wee kiboko.
Hapa tatizo c kulipa ila nnacho ona unafikiria kutoa hela ambayo hukuiwazia kuitoa ingawa unayo coz ungekuwa unataka kumlipa ucnge lalamika.niko tayari kukulipia na itakuwa ni baina ya mm na ww tu hakuna masimango nitafute
si alipe sasa...si uwezo anao? hawa wauza nyapu mjini shida sana