Kajala: Natamani kumlipa Wema Sepetu mil 13 zake


Tena atukodishe tunaenda na video camera juu na vigodoro, hahahaah
 

Utamchukiaje mtu kwa mwanaume asiye wako? Wote walikuwa makahaba tu wanajiuza, huyo wema aache ujinga huyo jamaa mwenyewe ana mke
 

Utamchukiaje mtu kwa mwanaume asiye wako? Wote walikuwa makahaba tu wanajiuza wanaoneana wivu kitu gani , huyo wema aache ujinga huyo jamaa mwenyewe ana mke wake
 
Yaani hawa wasanii hawajaangaika na macourse work wala assignment na test lakini wanakula hela ya kutosha

Tehee tehee na wao wana course work na assignment zao swahiba unadhani kubeba ngada mchezo na usisahau wanavyoweka miguu mtindo wa V kwa mapedeshee wapite kati walipwe ni UE tosha au haujui wasanii wa kiume nao wana wanaume zao wanasurubika haswaaa sema maisha ya IG yanawabeba.
 
Hizo kumi na tatu alizokulipia zilitoka mfukoni kwangu c kwake.. Sasa kama anakucmanga kwa hela ambayo yeye alikuwa muwakilishi niko tayari kuzitoa tena kwa mata ya pili
 
Arudishe na riba juu...


Anyway hivi alishapata pesa ya kodi???
 
Alipe sasa anasubir nn wema anaroho nzuri kuliko yeye mwenzie kamfanyia wema ye kamlipa mabaya
 

hahaaaaaaa kwweli kabisa
 

mpk sasa wala hakuna thawabu tena
maana anafanya ria huyo wema na bora airudishe tu maana kila siku anaiongelea
 

Alimchukulia Wema bwana? CK alikua bwana au hawara wa wema? Alimshikia bunduki?
 

Kumbe tatizo lilikua buzi.Kajala hana haki ya kunyanyasika for the rest of her life buanaa
 

Hahaha kweli kazi ta V naona ni burudani tu wanajipatia.ila ya ngada kweli ni ngumu. In general usuperstar ni kazi nzito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…