Hawa wanawake mwisho, wema anakumbuka pesa alizotoa sababu kajala kalala na ex boyfi wake ambaye pia ni mume wa mtu. yaani wote wametoka na mume wa mtu na wema anamkasirikia na kujutia pesa hizo sababu
the so called best friend sijui just a friend alimtolea pesa kutafuta kiki...sasa friend kajala akatoka na ex wa wema aliyemnyanganya kila kitu alichojutia kunyanganywa hadi magari aliyokuwa kapewa atumie sababu alirudiana na Chibu.
haya kayasema kwa tv prog yake tena amerekodi mwaka huu March 2015 kama sio February 2015 bila haibu kumuongelea mume wa mtu wakati yeye na kajala wote ni michepuko.....hana heshima wema kukaa chini na kurusha story za kukasirika juu ya mume wa mtu kama vile hana mke.
heshima kwa kweli hainunuliwi sioni sababu ya yeye kuropoka juu ya mume wa mtu as yeye ni mchepuko.....then mfano huu nani ata taka mtoto wake aufuate?
kajala kweli rudisha pesa hizo na tunajua uliamua na wewe kutoka na huyo ex ili ukazile na wewe kama zilipotoka...sababu jina la wema lilihusika na ndie aliyekuombea kwa huyo aliyechepuka nanyi basi rudisha yaishe.
ila wema heshimu ndoa za watu sio kuongea kama vile wewe ndiye mke....fikiria mke huyo anajisikiaje kuona munamuongelea mumewe kama vile yeye hayupo hta kama ni kosa lake kuchepuka.
ndio maana sioni mmepata wenu wa kutulia...ukasaliwe mtoe laana unazorushiwa kama vile hamshikiki....msichezeeee dua za wake za watu. lazima unabahati nyite kwani nahisi huyo mama sio mwenye tabia ya kutaka kuwamaliza.