Kajala ni pandikizi anayeitafuna Konde Gang

Kajala ni pandikizi anayeitafuna Konde Gang

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Maneno ya Baba Levo akihojiwa huwa anaongea vitu fulani hivi ukivichunguza utajua nini kinaendelea Konde Village.

Mara nyingi Baba levo akiulizwa mahusiano ya Kajala na Harmonize amekuwa akijibu kuwa Kajala kwenye hayo mahusiano ana malengo yake, yakitimia basi anasepa zake, kichaka ni kuwa anavuna hela. But nyuma ya pazia kuna vingi zaid ya hvyo. Kwa sasa Kajala ndiyo mtu anayesikilizwa zaidi na big boss kuliko mtu yeyote.

Ujio wa kajala Konde Gang umewang'oa miamba wafuatao ambao kwa namna moja ama nyingine ndiyo zilikuwa moja ya ngome kuu za Konde Gang.

1. Mwijaku
2. Mjeruman (experienced manager)
3. Hbaba
4. Killy
5. Cheed

Za chini ya carpet ni kuwa Ibrah naye anatafuta chaka, sema anachorea ramani namna nzuri ya kuifuma exit door.

Kiongozi wa mabaunsa naye kajikata mdogo mdogo yeye kaweka waz kabisa kuwa sababu ni mtonyo hamna ...

Anyway kondegang 4 everybody
 
Kajala hajawahi kumuacha mtu salama kuna Mume wake aliyemshauri afanye Ufisadi baada ya yeye kutolewa jela kwa kulipiwa hela ya dhamana na Wema hakuna effort yoyote aliyofanya kumtoa Mume wake ndio kwanza akawa anaponda raha huyu makonde ni mshamba wa mapenzi itakuja kumcost wewe subiri zamu yake ifike
 
Maneno ya Baba levo akihojiwa huwa anaongea vtu fulan hv ukivichunguza utajua nini kinaendelea konde village

Mara nyingi Baba levo akiulizwa mahusiano ya Kajala na Harmonize amekuwa akijibu Kuwa Kajala kwenye hayo mahusiano ana malengo yake , yakitimia basi anasepa zake , kichaka ni kuwa anavuna hela , but nyuma ya pazia kuna vingi Zaid ya hvyo ..
Kwa sasa Kajala ndo mtu anayesikilizwa zaid na big boss kuliko mtu yeyte

Ujio Wa kajala kondegang umewang'oa miamba wafuatao ambao Kwa namna moja ama nyingine ndio zilikuwa moja ya ngome kuu za konde gang,

1.Mwijaku
2. Mjeruman (experienced manager)
3.Hbaba
4. Killy
5.Cheed
Za chini ya carpet ni kuwa Ibrah naye anatafuta chaka , sema anachorea ramani namna nzuri ya kuifuma exit door ...

Kiongozi wa mabaunsa naye kajikata mdogo mdogo yeye kaweka waz kabisa kuwa sababu ni mtonyo hamna ...

Anyway kondegang 4 everybody
Cheedy na killy wamesep🤔

Dogo ni mshamba wa mapenzi binafsi siwezi kuwa na mwanamke ambae najua Yuko na mm kwa ajili ya status yangu..diamond angekuwa na ushamba wa mapenzi asingekuwa alipo Sasa..
 
Kwani ile move ya kanumba kajala alimwambia Nini kanumba...

Kajala napenda maisha mazuri.....pesa!.pesa! Pesa!...."

Ko kajala Ni mchunaji Kama wachunaji wengine..

Tafuta pesa mwanaume huwezi kufatilia maisha ya mtu..
Hivi jamani kuna mwanamke ambaye hapendi pesa?hapendi maisha mazuri?
Sema tu wengine hizo bahati hawana.
 
Kajala hajawahi kumuacha mtu salama kuna Mume wake aliyemshauri afanye Ufisadi baada ya yeye kutolewa jela kwa kulipiwa hela ya dhamana na Wema hakuna effort yoyote aliyofanya kumtoa Mume wake ndio kwanza akawa anaponda raha huyu makonde ni mshamba wa mapenzi itakuja kumcost wewe subiri zamu yake ifike
Faraji yule ....

Kajala yeye anataka matumiz tu

Ova
 
Sema wenye hela wanayatumia na kuyapiga chini
Utasaje wanatumia wakati Harmo ndio ananyonwa hapo na kajala ataenda kuharibu hadi career yake kwanza amemfungulia biashara paula biashara wakati yeye mwenyewe hana biashara, label imeshavunjika tayari kajala hataki mtu sasa hapo anaye loose ni kajala au konde boy kutokana na ujinga wake
 
Utasaje wanatumia wakati Harmo ndio ananyonwa hapo na kajala ataenda kuharibu hadi career yake kwanza amemfungulia biashara paula biashara wakati yeye mwenyewe hana biashara, label imeshavunjika tayari kajala hataki mtu sasa hapo anaye loose ni kajala au konde boy kutokana na ujinga wake
Nazungumzia wenye helaa, silent killer achana na hawa public figure wa mchongo
 
Back
Top Bottom