Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Daah watu wana roho ngumu, yaani jitu sugu kama Kajala unaling'ang'ania!
Experience mzee 😀😀😀 anaekula mshahara mnono ni junior au seniorDaah watu wana roho ngumu, yaani jitu sugu kama Kajala unaling'ang'ania!
Harmo asubirie tu ufike wakati aanze kulia tena.Experience mzee 😀😀😀 anaekula mshahara mnono ni junior au senior
Mjini ni mjini tuuu 😀😀 tunaweza zalisha makimuga hapoHarmo asubirie tu ufike wakati aanze kulia tena.
Huwezi kufuga panya stoo ikabaki salama
Anauza papuchi aka kipoch manyoya kwa HIRE PURCHASE.Kuna level za kupenda pesa kajala hampendi mtu anapenda pesa,Pesa zako zikiisha na yeye huyo anasepa umeona tofauti ilipo kiufupi ni Mdangaji.
Kumbe yule jamaa bado anazota jellaKajala hajawahi kumuacha mtu salama kuna Mume wake aliyemshauri afanye Ufisadi baada ya yeye kutolewa jela kwa kulipiwa hela ya dhamana na Wema hakuna effort yoyote aliyofanya kumtoa Mume wake ndio kwanza akawa anaponda raha huyu makonde ni mshamba wa mapenzi itakuja kumcost wewe subiri zamu yake ifike
Alfu watasema Domo mchawi kumbe mwana ameshasoma ramani kuwa mwanmke atamrudisha nyuma acha awalale tu na kuwaleaa basiCheedy na killy wamesep[emoji848]
Dogo ni mshamba wa mapenzi binafsi siwezi kuwa na mwanamke ambae najua Yuko na mm kwa ajili ya status yangu..diamond angekuwa na ushamba wa mapenzi asingekuwa alipo Sasa..
Ukweli mtupuAlfu watasema Domo mchawi kumbe mwana ameshasoma ramani kuwa mwanmke atamrudisha nyuma acha awalale tu na kuwaleaa basi
Kuhani umeongea point nzuri sana, Tukutane ngomeniMaisha ni sasa maisha ni leo
Mikubwa wana raha na amani kwa sasa. Kesha ni majaliwa
Siku ukiwa na hiyo status jaribu kurudia maneno yako.Cheedy na killy wamesep🤔
Dogo ni mshamba wa mapenzi binafsi siwezi kuwa na mwanamke ambae najua Yuko na mm kwa ajili ya status yangu..diamond angekuwa na ushamba wa mapenzi asingekuwa alipo Sasa..
Mpaka Leo huku mke wake anabadilisha tu Wanaume Kajala ni Mdangaji aliyekubuhu ni suala la muda nae huyo konde boy atafanywa kitoeoKumbe yule jamaa bado anazota jella
Kiongozi wa mabaunsa yupo mkuuManeno ya Baba Levo akihojiwa huwa anaongea vitu fulani hivi ukivichunguza utajua nini kinaendelea Konde Village.
Mara nyingi Baba levo akiulizwa mahusiano ya Kajala na Harmonize amekuwa akijibu kuwa Kajala kwenye hayo mahusiano ana malengo yake, yakitimia basi anasepa zake, kichaka ni kuwa anavuna hela. But nyuma ya pazia kuna vingi zaid ya hvyo. Kwa sasa Kajala ndiyo mtu anayesikilizwa zaidi na big boss kuliko mtu yeyote.
Ujio wa kajala Konde Gang umewang'oa miamba wafuatao ambao kwa namna moja ama nyingine ndiyo zilikuwa moja ya ngome kuu za Konde Gang.
1. Mwijaku
2. Mjeruman (experienced manager)
3. Hbaba
4. Killy
5. Cheed
Za chini ya carpet ni kuwa Ibrah naye anatafuta chaka, sema anachorea ramani namna nzuri ya kuifuma exit door.
Kiongozi wa mabaunsa naye kajikata mdogo mdogo yeye kaweka waz kabisa kuwa sababu ni mtonyo hamna ...
Anyway kondegang 4 everybody
Cheedy na killy wamesep[emoji848]
Dogo ni mshamba wa mapenzi binafsi siwezi kuwa na mwanamke ambae najua Yuko na mm kwa ajili ya status yangu..diamond angekuwa na ushamba wa mapenzi asingekuwa alipo Sasa..
Mi ni masikini ila Nina pc Kali nyingi sana najiuliza inakuaje ila jibu huwezi nyimwa vyote, sijawahi kuwa mshamba kiasi hicho,, unakuta Nina washkaji Wana mkwanja afu wanakula pisi mbovu wanapost Mara mtu kapelekwa mbuga za wanyama nabaki nashangaa nasema imagine Sina pesa ila hio manzi ya jamaa nikikosea ikawa yangu Basi one hit sirudii Sasa nashangaa wengne wanapeleka hifadhini😁 yani pisi anayopeleka hifadhi nikimpa yangu ataenda nae Mars,Siku ukiwa na hiyo status jaribu kurudia maneno yako.
Mwamba anatoa gari mbili pisi gani Ile dogo ananiangusha sana, shenzi kabisa ,Mpaka Leo huku mke wake anabadilisha tu Wanaume Kajala ni Mdangaji aliyekubuhu ni suala la muda nae huyo konde boy atafanywa kitoeo
Hit and runAlfu watasema Domo mchawi kumbe mwana ameshasoma ramani kuwa mwanmke atamrudisha nyuma acha awalale tu na kuwaleaa basi