Kajala ni pandikizi anayeitafuna Konde Gang

Kajala ni pandikizi anayeitafuna Konde Gang

Mwacheni alifumue tuu cha msingi aende kwa akili manake wadangaji si watu wazuri wanaweza kukakusha accounts zote,kama akiwaendekeza manake wana tamaa kila kinacho trends wana kitaka plus mwanae nae anayetaka mambo makubwa kupitia baba wake wa kufikia.
 
Kajala hajawahi kumuacha mtu salama kuna Mume wake aliyemshauri afanye Ufisadi baada ya yeye kutolewa jela kwa kulipiwa hela ya dhamana na Wema hakuna effort yoyote aliyofanya kumtoa Mume wake ndio kwanza akawa anaponda raha huyu makonde ni mshamba wa mapenzi itakuja kumcost wewe subiri zamu yake ifike
Kumbe yule jamaa bado anazota jella
 
Cheedy na killy wamesep[emoji848]

Dogo ni mshamba wa mapenzi binafsi siwezi kuwa na mwanamke ambae najua Yuko na mm kwa ajili ya status yangu..diamond angekuwa na ushamba wa mapenzi asingekuwa alipo Sasa..
Alfu watasema Domo mchawi kumbe mwana ameshasoma ramani kuwa mwanmke atamrudisha nyuma acha awalale tu na kuwaleaa basi
 
Acheni wivu wazee, kama mnamuona Kajala anafaidi na nyinyi vaeni sidiria. Au kama vipi tuendelee kubeba zege tu
 
Cheedy na killy wamesep🤔

Dogo ni mshamba wa mapenzi binafsi siwezi kuwa na mwanamke ambae najua Yuko na mm kwa ajili ya status yangu..diamond angekuwa na ushamba wa mapenzi asingekuwa alipo Sasa..
Siku ukiwa na hiyo status jaribu kurudia maneno yako.
 
Maneno ya Baba Levo akihojiwa huwa anaongea vitu fulani hivi ukivichunguza utajua nini kinaendelea Konde Village.

Mara nyingi Baba levo akiulizwa mahusiano ya Kajala na Harmonize amekuwa akijibu kuwa Kajala kwenye hayo mahusiano ana malengo yake, yakitimia basi anasepa zake, kichaka ni kuwa anavuna hela. But nyuma ya pazia kuna vingi zaid ya hvyo. Kwa sasa Kajala ndiyo mtu anayesikilizwa zaidi na big boss kuliko mtu yeyote.

Ujio wa kajala Konde Gang umewang'oa miamba wafuatao ambao kwa namna moja ama nyingine ndiyo zilikuwa moja ya ngome kuu za Konde Gang.

1. Mwijaku
2. Mjeruman (experienced manager)
3. Hbaba
4. Killy
5. Cheed

Za chini ya carpet ni kuwa Ibrah naye anatafuta chaka, sema anachorea ramani namna nzuri ya kuifuma exit door.

Kiongozi wa mabaunsa naye kajikata mdogo mdogo yeye kaweka waz kabisa kuwa sababu ni mtonyo hamna ...

Anyway kondegang 4 everybody
Kiongozi wa mabaunsa yupo mkuu
 
Siku ukiwa na hiyo status jaribu kurudia maneno yako.
Mi ni masikini ila Nina pc Kali nyingi sana najiuliza inakuaje ila jibu huwezi nyimwa vyote, sijawahi kuwa mshamba kiasi hicho,, unakuta Nina washkaji Wana mkwanja afu wanakula pisi mbovu wanapost Mara mtu kapelekwa mbuga za wanyama nabaki nashangaa nasema imagine Sina pesa ila hio manzi ya jamaa nikikosea ikawa yangu Basi one hit sirudii Sasa nashangaa wengne wanapeleka hifadhini😁 yani pisi anayopeleka hifadhi nikimpa yangu ataenda nae Mars,
 
Back
Top Bottom