Hassani
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 900
- 1,632
Mi ni masikini ila Nina pc Kali nyingi sana najiuliza inakuaje ila jibu huwezi nyimwa vyote, sijawahi kuwa mshamba kiasi hicho,, unakuta Nina washkaji Wana mkwanja afu wanakula pisi mbovu wanapost Mara mtu kapelekwa mbuga za wanyama nabaki nashangaa nasema imagine Sina pesa ila hio manzi ya jamaa nikikosea ikawa yangu Basi one hit sirudii Sasa nashangaa wengne wanapeleka hifadhini😁 yani pisi anayopeleka hifadhi nikimpa yangu ataenda nae Mars
Ukiwa maskini na unakula pisi Kali basi una yafuatayo,bado kijana sana so unatumia ujana wako na mda wako mrefu kuwafuatilia na kuwapiga Domo madem.Mara nyingi watu walio busy hawanaga mda wa kufuatilia madem,pia kukataliwa kwako sio ishu Kuna watu ni waoga pia wa kutolewa nje na madem.Mi ni masikini ila Nina pc Kali nyingi sana najiuliza inakuaje ila jibu huwezi nyimwa vyote, sijawahi kuwa mshamba kiasi hicho,, unakuta Nina washkaji Wana mkwanja afu wanakula pisi mbovu wanapost Mara mtu kapelekwa mbuga za wanyama nabaki nashangaa nasema imagine Sina pesa ila hio manzi ya jamaa nikikosea ikawa yangu Basi one hit sirudii Sasa nashangaa wengne wanapeleka hifadhini😁 yani pisi anayopeleka hifadhi nikimpa yangu ataenda nae Mars,