Kajala ni pandikizi anayeitafuna Konde Gang

Kajala ni pandikizi anayeitafuna Konde Gang

Labda kama kajala kaamua kutulia hapo,ila kwa wanaomjuwa kajala [emoji1]
Wamebaki kuwa watazamaji
Anyway kajala Ana mwili mzuri maana abv 39 na bado mmbichi [emoji1]
Wakati sahv kna watoto miaka 18 lkn wako kama ajuza

Ova
 
Tafuta pesa ili ujue Kati ya wewe na Hamo nani boya🙄🙄🙄
Pilipili iko shamba wewe unawashwa mjini. Maajabu haya🤣🤣🤣🤣
Unaumia Hamo akitumia pesa zake hadi unatia huruma
Mume wake kajala mpaka Leo yupo jela na waliiba wote pesa na kajala hana time nae kuna mwingine anaitwa clement alikuwa danga wa Wema na kajala alikuwa na mawe ya maana zaidi ambacho anacho harmonize sasa hivi kageuka muuza chips pale kinondoni.Sisi tunatoa Maoni kwa nia nzuri maana wakianza kufulia wasianze kutafuta msaada wa umma
 
Sasa kajala nae ni piskali!!! Inachekesha alikua piskal zaman saiv ni pasco tu.. bibi kama yule unatumia garama za kazi gn?

Mademu aina ya kajala ni wazuri wakiwa na nguo tu akivua akabaki uchi utamkataa
Lile baba halijielewi linajua kutafuta ela tu vingine vyote mjini limechelewa.
 
Mume wake kajala mpaka Leo yupo jela na waliiba wote pesa na kajala hana time nae kuna mwingine anaitwa clement alikuwa danga wa Wema na kajala alikuwa na mawe ya maana zaidi ambacho anacho harmonize sasa hivi kageuka muuza chips pale kinondoni.Sisi tunatoa Maoni kwa nia nzuri maana wakianza kufulia wasianze kutafuta msaada wa umma
Faraji alishatoka jela
Yupo tabata mzee
Sema hyu kajala alimuuza
Ngoja tuishie hapa

Ova
 
Mtu pekee ambaye harmonies angeweza kuwa naye ni Sarah tu,wanawake wakitanzania niwachumia tumbo ,ila conde boy kwa kajala big nooo ,amekosea Sana .....angebaki tu kwa sarah
Wamependana mzee [emoji1]

Ova
 
Mbona hata kule wasafi wameondoka wengi sana ma director ma photographer wasanii hyo kawaida kwenye label kila mtu anaagalia maslahi
 
Harmonize alikosea kuwa na lebo, alitakiwa awe peke yake
My thoughts exactly, angeweza sana angekuwa peke yake.
Tatizo linalomsumbua anaamini bila kumiliki wasanii hataonekana katika ukubwa wa kumpambanisha na Diamond, artists wake wanabaki kuwa underground hawasongi kokote huku label ikiendelea kutafunwa slowly but surely na linyangumi concord la town.
Sometimes utasema kukulia porini kuja mjini ukubwani ni shida lakini mbona kuna walugaluga wengi wakiingia town wanakuwa mazoba mwanzoni tu baada ya muda ulimbukeni unawatoka hawazuzuki kifala, something is terribly wrong with this stupid dude.
 
Back
Top Bottom