Kajala ni pandikizi anayeitafuna Konde Gang

Kajala ni pandikizi anayeitafuna Konde Gang

Kwani alilazimishwa kutoa? Bila hivyo acc zake za Youtube na other social networks zingezuiwa,, unaleta ujuaji ndani ya mkataba..?? Unajua rich Mavoko hadi Leo YouTube akaunti yenye Jina lake inamilikiwa na wasafi..
Nahs Sasa kabadilisha jina,
Kuna nyimbo nilimuona kajiita jina flan la ajabu ajabu[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Konde boy call me no.1 Kohooo! kohooo![emoji23][emoji23][emoji23]Yauya kwanza hamjiulizi KWA NINI HARMONIZE HATUNGISHI MADEM ZAKE MIMBA alodate nao kama:
Wolper
Mdhungu
Ntakuja na story za ndani hii nliambiwa na mtu wake mmoja wa karibu hta yule mtoto cyo wake
 
Screenshot_20221101-145602~2.jpg
 
haya mambo tulikuwa tunayaandika kwa mond thidi ya wema 2013 huko[emoji28][emoji28][emoji28],mpaka leo huyo hapo anabadili rangi za nywele tu.

binafsi nadhani mziki wa sasa unataka mambo haya,bila hivi unakuwa kama muimbajinwa gospel.
 
Back
Top Bottom