Huyu mwanamke ana upepo mbaya sana,Kila mwanaume akiwa na kajala
Lazima mwishowe atayumba
Pfunk tu bora alikubali tengana naye
Ova
Nahs Sasa kabadilisha jina,Kwani alilazimishwa kutoa? Bila hivyo acc zake za Youtube na other social networks zingezuiwa,, unaleta ujuaji ndani ya mkataba..?? Unajua rich Mavoko hadi Leo YouTube akaunti yenye Jina lake inamilikiwa na wasafi..
Bwana cleme,Wema alimtolea hela,na hela hiyo wema alipewa na danga lake moja
Alikuwa bandari...
Ova
Dah![emoji22]Alipigwa 15 alikaa miaka 8 ndani
Alipiga hela benki,jamaa alikuwa
Mwajiriwa wa bank moja hivi
Ova
Nakazia,Mtu pekee ambaye harmonies angeweza kuwa naye ni Sarah tu,wanawake wakitanzania niwachumia tumbo ,ila conde boy kwa kajala big nooo ,amekosea Sana .....angebaki tu kwa sarah
Mzungu alisema mwamba hazalishi[emoji22]Jamaa anatakiwa apandikize kijusi, hata mambo yakiwa ndivyo sivyo, ajivunie mtoto aliyepatikana ili kuja kupunguza machungu
Hata lab tests zilitoa majibu ya kwamba risasi zake ni empty-shells.
Anajiita billionare kid , lakini reborn yake imekuwa ngumu kucatch out , Ila Ile accnt iliyoshikiliwa na wahuni ilikuwa na Ngoma nzuri Sana na still views zinatembeaNahs Sasa kabadilisha jina,
Kuna nyimbo nilimuona kajiita jina flan la ajabu ajabu[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa ana gundu ,jini mnyonya damu na mshirikina.........Konde anaenda kufirisika kama alishaanza utapeli na kufukuza wasanii wake kuna shida.Kila mwanaume akiwa na kajala
Lazima mwishowe atayumba
Pfunk tu bora alikubali tengana naye
Ova
Nasubiri waachane nijaribu kujiweka kwa kajala 😁😁😁Harmo asubirie tu ufike wakati aanze kulia tena.
Huwezi kufuga panya stoo ikabaki salama
Kabisa[emoji4]Anajiita billionare kid , lakini reborn yake imekuwa ngumu kucatch out , Ila Ile accnt iliyoshikiliwa na wahuni ilikuwa na Ngoma nzuri Sana na still views zinatembea
Ag kwanini anaandika kwa herufi kubwa?? Haoni kama anafokea watu!! Ila huyu jamaa kwa ushamba alionao naona hata kajala anamchora tu🚮
Konde boy ni mshamba wa mapenzi
Ag kwanini anaandika kwa herufi kubwa?? Haoni kama anafokea watu!! Ila huyu jamaa kwa ushamba alionao naona hata kajala anamchora tu🚮
Kajala anamchora tu wakati anafokoka.Konde boy ni mshamba wa mapenzi