Chereko tena
JF-Expert Member
- Dec 9, 2019
- 467
- 520
Kaka vipi kujifukiza nayo Ni dawa-roma akakosa jibu-nae akampiga swali stamina VP Ile fumigation(stamina akaquote jibu)Mashairi yao yamenifurahisha nimecheka, eti "Tanga wametengeneza Sanitizers za Iriki ukipaka unanukiaa"๐
ila msipigane hukoPoa mpendwa.
Hajasema Iriki ila Iliki.Mashairi yao yamenifurahisha nimecheka, eti "Tanga wametengeneza Sanitizers za Iriki ukipaka unanukiaa"[emoji3]
watu wanahitaji elimu zaidi kuhusu korona
[emoji3516]Humu wameizungumzia Corona, huu ndo tunaita ubunifu.
Siyo Habari za bunyero bunyero inama nipachike rungu
Hiyo picha kwenye Avatar! Ila wewe mtu poa sana.Bora ukamchoe huko huko Pm.Huu wimbo wa Roma unakuja na mapya yake "Dada tuchati"Poa mpendwa.
I know na nimeandika hivo tu ,pia unaweza ita Samtizers๐
Kausha mukulu[emoji1787]Hiyo picha kwenye Avatar! Ila wewe mtu poa sana.Bora ukamchoe huko huko Pm.Huu wimbo wa Roma unakuja na mapya yake "Dada tuchati"
Ooh ahsante neno lilikua linanisumbua na nilitaka kuandika "Hiriki" ndiyo ningeharibu kabisa doh,
Bora umempa makavu live alitaka kutuoshea anajua kumbe hajui...!!!!unajishebedua baada ya mshikaji kukurekebisha.
we kubali tu kuwa umechapia ama ulikua hujui correct spelling ya neno "sanitizer"