Kaka yake marehemu Dida Shaibu aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi fm, amesema mdogo wake alikuwa na vidonda vya tumbo akaacha matumizi ya dawa ikampelekea fangasi kupanda kichwani.
Pia soma TANZIA - Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia
Pia soma TANZIA - Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia