Kaka wa Dida: Marehemu aliacha kutumia dawa za vidonda vya tumbo, fangasi zikapanda kichwani

Kaka wa Dida: Marehemu aliacha kutumia dawa za vidonda vya tumbo, fangasi zikapanda kichwani

Status
Not open for further replies.
Kaka yake marehemu Dida Shaibu aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi fm,amesema mdogo wake aliwa vidonda vya tumbo ,akaacha matumizi ya dawa ikampelekea fangasi kupanda kichwani.
CHANZO PTVTZ
Hii kali
Kaka yake marehemu Dida Shaibu aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi fm,amesema mdogo wake aliwa vidonda vya tumbo ,akaacha matumizi ya dawa ikampelekea fangasi kupanda kichwani.
CHANZO PTVTZ
Aisee! Kwahiyo mtu akiacha kutumia dawa za vidonda vya tumbo anapata shida ya fungus? Hii kali
 
Kaka yake marehemu Dida Shaibu aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi fm,amesema mdogo wake aliwa vidonda vya tumbo ,akaacha matumizi ya dawa ikampelekea fangasi kupanda kichwani.
CHANZO PTVTZ
Siasa nyingi sana, sema nini, mzee baba sema ukweli, baada ya kifo ni hukumu hakuna habari ya kuombewa eti kupunguziwa adhabu ya kaburi, ni uongo wa waarabu na wazungungu.
Ndio maana waafrika tunauana tukiamini baada ya kua tutaombewa tusamehewe, never!
 
Siasa nyingi sana, sema nini, mzee baba sema ukweli, baada ya kifo ni hukumu hakuna habari ya kuombewa eti kupunguziwa adhabu ya kaburi, ni uongo wa waarabu na wazungungu.
Ndio maana waafrika tunauana tukiamini baada ya kua tutaombewa tusamehewe, never!
Sasa wazungu na waarabu si ndio hao hao wamesema baada ya kifo hukumu
Masuala ya Jehanam afrika hatukuwa nayo kabla ya ujio wa dini
 
Siasa nyingi sana, sema nini, mzee baba sema ukweli, baada ya kifo ni hukumu hakuna habari ya kuombewa eti kupunguziwa adhabu ya kaburi, ni uongo wa waarabu na wazungungu.
Ndio maana waafrika tunauana tukiamini baada ya kua tutaombewa tusamehewe, never!
Kuna mtu mmoja mkatili sana hakosei misikitini mara makaniksani. Ana zuga tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom