Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Maana yake nini hiyo?Chisos ooo maaa gaaa 🙆♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake nini hiyo?Chisos ooo maaa gaaa 🙆♂️
Unanikumbusha Mambo ya COEFFICIENT & COLLATERAL EFFICIENTMbona hamna uhusiano kati ya kuacha kutumia dawa za vidonda vya tumbo na fungus kupanda kichwani? Au huyo jamaa kafupisha story
Mpaka leo sijachoma kinga ya Covid19 na bado sijaona tofauti yoyoteAtakua aliogopa kudungwa sindano kama wewe ulivyokuwa unaogopa kuchomwa kinga ya COVID19.
Sasa uliwahi kuona wapi malaika wa kifo akawa muoga?Mpaka leo sijachoma kinga ya Covid19 na bado sijaona tofauyi yoyote
Gardner G Habash?Dida wa Mchops, Dida wa G,...... pumzika mwendo umeumaliza.
Hapana miaka ile hiyo aka yake pia ilikuwepo.Gardner G Habash?
Haya bwanaHii kali
Aisee! Kwahiyo mtu akiacha kutumia dawa za vidonda vya tumbo anapata shida ya fungus? Hii kali
Elewa neno dawa😂Hii kali
Aisee! Kwahiyo mtu akiacha kutumia dawa za vidonda vya tumbo anapata shida ya fungus? Hii kali
amesema mdogo wake alikuwa na vidonda vya tumbo akaacha matumizi ya dawa ikampelekea fangasi kupanda kichwani.
Isee pole yao wafiwa msiba hauzoeleki kwa kweli..Kaka yake marehemu Dida Shaibu aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi fm, amesema mdogo wake alikuwa na vidonda vya tumbo akaacha matumizi ya dawa ikampelekea fangasi kupanda kichwani.
CHANZO PTVTZ
Pia soma TANZIA - Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia
Very serious, na meningococcal (meningitis) hakai mbali pia hapoCryptococcal infection