Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
mtu ameshafariki zoga la nini sasa ushamba tuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marehemu hasemwi vibaya...Yatasemwa mengi lo
Apumzike kwa amani
Tumeacha mkuu.!Asubuhi tulikuwa tumekula bangi.Mwacheni bwana kuna mengine yanauma
Kaona mambo yasiwe mengi maana nzengo inavoulizia utasema wanafufua.Mbona hamna uhusiano kati ya kuacha kutumia dawa za vidonda vya tumbo na fungus kupanda kichwani? Au huyo jamaa kafupisha story
Na alikuwa na mdomo kweli kweli si utani, mchambaji hodari mswahili haswa,Dida juzi juzi tu nilicomment Kenya pic yake nkaandika umezeeka wala hakunijibu maana kwa mdomo ule ningekutana na jibu pambeee kumbe alikuwa anapigania uhai wake
But as i know vidonda vya tumbo havina fungus, wale ni bacteriaKaka yake marehemu Dida Shaibu aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi fm, amesema mdogo wake alikuwa na vidonda vya tumbo akaacha matumizi ya dawa ikampelekea fangasi kupanda kichwani.
CHANZO PTVTZ
Pia soma TANZIA - Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia
Kaka yake marehemu Dida Shaibu aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi fm, amesema mdogo wake alikuwa na vidonda vya tumbo akaacha matumizi ya dawa ikampelekea fangasi kupanda kichwani.
CHANZO PTVTZ
Pia soma TANZIA - Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia
Il video nimechek ni 12 weeks ago ukienda kuchek comments pale waja wamejiachia na ye ye wala hajajibu mtu kumbe alikuwa Hali sio 🥲Na alikuwa na mdomo kweli kweli si utani, mchambaji hodari mswahili haswa,
Aliamua kukupuuza tu, au alikuwa anaumwa km usemavyo sababu hata kaka yake kasema aliacha dawa akawa ni kupiga tungi tu, ni wazi kuna jambo lilikuwa linamtafuna taratibuIl video nimechek ni 12 weeks ago ukienda kuchek comments pale waja wamejiachia na ye ye wala hajajibu mtu kumbe alikuwa Hali sio 🥲
Unajua had ugonjwa ufike kwa jamii mwenyewe anakuwa ameshateseka Kimya kimya MDA mrefu
Comments ni nyingi mno za kumchamba. Mwingine ameandika kazi kuchamba tu kudumu kwenye ndoa aaahhAliamua kukupuuza tu, au alikuwa anaumwa km usemavyo sababu hata kaka yake kasema aliacha dawa akawa ni kupiga tungi tu, ni wazi kuna jambo lilikuwa linamtafuna taratibu
Cryptococcal...Yah huyu kaongea ukweli ila kauficha kiutuuzima sema hapo hapo kaongelea pdidy mara uchaguzi serikali za mitaa n.k mzee mwanasiqsa sana yule naona kwao dida wote waongeaji
R.i.p sister
Halafu kumbe ni yeye.Story za jf huwa ni za jamaa zao tu, humu kunaishi watakatifu, malaika matajiri na wasomi wasio na shida kabisa, kila kizuri ni chao ila vibaya vya jamaa jirani ndg na rafiki zao🤣🤣🤣
Eh kuna yanayoumiza kupoteza mtu asiwaambie mtu nimaumivuTumeacha mkuu.!Asubuhi tulikuwa tumekula bangi.