Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Utabibu wa Tz huu! Apumzike kwa Amani!Kaka yake marehemu Dida Shaibu aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi fm, amesema mdogo wake alikuwa na vidonda vya tumbo akaacha matumizi ya dawa ikampelekea fangasi kupanda kichwani.
CHANZO PTVTZ
Pia soma TANZIA - Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia