Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Unatamani kuwa hivyo?Teh teh
Hivi huyo mshkaji anakula nini?
Dah!!
Exactly, mange Mwenyewe amekuwa akituamisha kuwa watu huwa wanatekwa au kutishiwa kuuwawa ili waseme kile ambacho serikali inataka, refer Nondo, Asad n.kNadhani hii move kaianda mange ili kulinda mali za familia hasa btar 26/04 inapokaribia...kumbuka serikali inaweza kufanya lolote kuikomoa familia
Mange hana uwezo wala akili ya kiwango hicho. Ipo siku muda utaongea. Juzi ameomba msamaha kwa Zitto....kuna siku atamuangukia na kuomba msamaha Watanzania.Nadhani hii move kaianda mange ili kulinda mali za familia hasa btar 26/04 inapokaribia...kumbuka serikali inaweza kufanya lolote kuikomoa familia
Wewe hujajua kanuni za mapambano na harakati,wewe ni kama BashiteMange hana uwezo huo
tehe tehe teheYaani huyu Dogo enzi za utumwa angeuzwa bei kubwa sana!
Hahahah......watu wanasema ana uwezo wa kumaliza nusu mbuzi choma mwenyewe! Kuna ukweli wowote? Wewe tuu ndo mwenye ukweli wote kuhusu hii tuhumaLilo,kumjua Namjua toka 2010 nikampotezea siyo kwamba najifanya namjua namjua kindakindaki alikuwa anasoma uingereza,likizo naonana nae,bata kwa sana tu,alikua anatembelea hammer
unataka zaidi?
Kumbe laana ya magazetini where anyone can create a story....prove it wewe uliyesema amelaaniwa maana you seem to know about it achana na stori za kina mchamba wima
Insta anakwenda kwa jina la lord_supremo1. Makulaji na manywaji kwenye meza aliyokaa kwenye profile photo yake yanajitosheleza.Teh teh
Hivi huyo mshkaji anakula nini?
Dah!!
[emoji106]Kila mtu ana uhuru wa kuishi maisha ayatakayo